Upo sahihi.Saivi dunia imekuwa kijiji.Nampongeza sana jamaa maana kususia kuangalia mpira siyo suluhisho.Safi tupo pazuri!
Raia wana takiwa kuamka kila wanapo Ona kuna uovu waukemee kwa nguvu zote!
Tusibaki kulalamika pekee, kama ndani tuna Ona hakuna haki basi tuna weza I tafuta nje
Watanzania, Sio wajinga!
Hakika ukiendelea hivyo unaweza kuuokoa mpira wa TanzaniaWell evidence sent . I have some one looking for more
Uto bana,Naomba mtu ambaye na clip zote za referee au a complete match, anipe link ya youtube, nitatuma email referee committee niombe review ya refa kama nitapata. I need evidences za kutosha. kama zipo nipeni.
Ni auto reply ile.Aise
Wambie FIFA,hukuwa na shida ya mashitaka ila rahayako kuona wamesoma ujumbe wako
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
SIO kweli. majibu nimepata asubui sio nilivyo tuma. na pia after evidence. majibu nimepata after 3 hours. so angalia timing ya post.Ni auto reply ile.
Hahahaahaha daah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe ndio hujawaelewa wadau, watu wamejua huyu yupo upande upi!!Jamaa kuna kitu anataka kukitengeneza hasa ni kitu positive hasa ila tatizo tumechanganyikiwa na usimba na uyanga ni ngumu sana kumuelewa. Ila hii ndio ilikuwa ni fursa kwa wapenzi wa soka la haki kuungana na huyu mwamba aliyeamua kujitolea muda wake. Maamuzi mabaya hayakuanzia jana tu bali tokea muda mrefu tu, na haikufaidisha Simba pekee hata timu zingine zimenufaika ikiwepo Yanga. Ni swala la kushirikiana nae kwa kumpa vielezo kwa kuanzia tukio la jana kisha kurudi nyuma na kuonesha matukio mengine kwa timu zinginezo pia. Hilo litasaidia kuonesha kuwa hayo matukio hayakuanzia jana na wala hakuanzia kwa timu moja
Ila kuna ugumu nauona mahali, hizi tuhuma zinatakiwa kutolewa na ushahidi wa nje wa uwanja. Mfano mawasiliano ya baina hao wapangaji matokeo, video zao za hao wapangaji wakiwa wanajadiliana kuhusu kupanga, na vielezo vingine. Ishu tuliona jana ni ya ndani ya uwanja ni ngumu sana wao kuhitimisha kuwa ni match fixing kwasababu hayo yanaonekana kama makosa ya mwamuzi jambo ambalo sio jipya kwenye mpira wa miguu hata huko ulaya tunayashuhudia.
Sina side . Ww ujaangalia mpira , That match was supposed to be reported . You must be stupid to think it was a normal match . Stand with the truth acha feelingsWewe ndio hujawaelewa wadau, watu wamejua huyu yupo upande upi!!
[emoji38][emoji38][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]aibu sanaEti interpol, hahahah we jamaa
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji28]mmemchania mkekaUlibet kiasi gani mwanaharakati?
Ashabikie redeTafuta mchezo mwingine ushabikie. Ukiweza hata draft au bao la kete. Hiyo ndiyo football dunia nzima na hapo ndipo penye utamu wenyewe.
Huko Europe pamoja na VAR lakini bado watu wanalalamika
Huu ni upuuzi kuandika kwa Kisw-English,tulia kwenye lugha moja , kwa lugha hizo unaonekana mtu ambaye hazimoSina side . Ww ujaangalia mpira , That match was supposed to be reported . You must be stupid to think it was a normal match . Stand with the truth acha feelings
Tafuta clip ya kibu akiangushwa ndani ya 18 na clip ya mabeki wa Yanga wakicheza rede,inaonekana wazi kulikua na match fixing na wahusika wakuu ni Ile kampuni ya kubet inayowadhamin. Ushahidi upo wazi mkuu, usikubali kukatishwa tamaa na mtuNaomba mtu ambaye na clip zote za referee au a complete match, anipe link ya youtube, nitatuma email referee committee niombe review ya refa kama nitapata. I need evidences za kutosha. kama zipo nipeni.