Mikitariyani
Senior Member
- Jan 4, 2017
- 112
- 103
Sasa si umeshaliwa pesa ya mafunzo au uliingia bure.Wenzako wana ajira ya uhakika.Mimi ndo nimemaliza mafunzo Arusha sijaanza kutrade nataka nipate mawazo kwanza
Wanakuonjesha kafaida kidogo,then ukinogewa na kuongeza mtaji wanakupulukutisha.Kuna jamaa yangu mmoja ni Mzimbabwe ..anacheza hyo kitu..anasema currency now zina fluctuate sana..ni bora kusubili adi November, au december
Naunga mkono hojaNakushauri achana na hii kitu...kaka mafunzo ya mwezi mmoja,kuna maguru wa financial market wanaumkza kichwa kila siku hiyo ni field yao wamezaliwa na kukulia Wall Street...we uje ule Pesa kifala tuu...
Nakupa ujanja...na wewe tafuta watu uwatrain urudishe Pesa yako...ama nenda shamba kabla hujajuta zaidi
Kijana mdogo ONTARIO aliyejizolea jina kubwa na hata kubadili jina lake na kuwa Mkuu na Chief akiiitwa na watu wa rika mbalimbali wazee kwa vijana. Kijana huyu ameleta sauti za matumaini kubwa miongoni mwa watu wengi, binafsi nampongeza sana kwa jitihada alizozionyesha.
Bila shaka mpaka sasa zaidi ya watu 500 watakuwa wamepata mafunzo kutoka kwa kampuni yake ya TMT (The Million Team). Nashukuru kuwa amewahi kuleta ushahidi wa mafanikio hapa jukwaani japo angali kwa watu wachache.
Uzi huu unalenga kuitisha mrejesho huru usiofungamana na UPANDE wa TMT bali uwe huru kwa maana ya kwamba wanufaika wote watupw mrejesho. Bahati nzuri asilimia zaidi ya sabini ni wanachama humu. Natarajia kuwa zaidi ya wanufaika mia tatu wamo humu. Idadi hii ni kubwa sana nilitarajia tuanze kuona thread za members wengi zikibadilika humu kutoka kulia maisha magumu na kulia kwa furaha za mafanikio.
Hebu ninaomba wanufaika wote tuje hapa tutoe mrejesho huru usiopendelea, kama umenufaika au umenusurika. Mrejesho huu pia unaweza kutoa taswira juu ya biashara hii kwa wakati ujao. Kumbuka watu wengi wakiishia kulalamika kwa kuliwa serikali sikivu ikisikia itajua ni utapeli na itafunga, hivyo natumaini pia kuwa mrejesho huu utanufaisha TMT kwa kuchukua hatua za kuboresha ama kuharibu kutokana na ubora kuzidi.
Asante
Majaribu2013
Mtoto wa Ontario.
Alwayss we bank blue
We jamaa Wa kuitwa Ontario uendelee kuishi miaka mingi utaacha kumbukumbuku uliotukuka miongon mwa vijana Wa Tanzania kwa kutupatia hii biashara
Nimefanya training TMT Mwanza nikaanza Na mtaji Wa 90$ now naeleka 150 mpaka hii wiki iishe Na project kufika 250$
[HASHTAG]#fornoreason[/HASHTAG] [HASHTAG]#tmt[/HASHTAG]
View attachment 615760
Usiku Mwema Wakuu.
Nani mwenyeshida ya dola mbili zako mpaka akupukutishe hi sio kamali soko ukiliendea pupa Unapoteza yote ni kuhusu strategy si kuotea kama makamali yenuWanakuonjesha kafaida kidogo,then ukinogewa na kuongeza mtaji wanakupulukutisha.
Nilidhan nawewe ni mnufaika ushatusua kwenye huo mchongo ndio maana nikaufungua uzi wako kwa haraka,kumbe unawaita waje watoe ushuhudaKijana mdogo ONTARIO aliyejizolea jina kubwa na hata kubadili jina lake na kuwa Mkuu na Chief akiiitwa na watu wa rika mbalimbali wazee kwa vijana. Kijana huyu ameleta sauti za matumaini kubwa miongoni mwa watu wengi, binafsi nampongeza sana kwa jitihada alizozionyesha.
Bila shaka mpaka sasa zaidi ya watu 500 watakuwa wamepata mafunzo kutoka kwa kampuni yake ya TMT (The Million Team). Nashukuru kuwa amewahi kuleta ushahidi wa mafanikio hapa jukwaani japo angali kwa watu wachache.
Uzi huu unalenga kuitisha mrejesho huru usiofungamana na UPANDE wa TMT bali uwe huru kwa maana ya kwamba wanufaika wote watupw mrejesho. Bahati nzuri asilimia zaidi ya sabini ni wanachama humu. Natarajia kuwa zaidi ya wanufaika mia tatu wamo humu. Idadi hii ni kubwa sana nilitarajia tuanze kuona thread za members wengi zikibadilika humu kutoka kulia maisha magumu na kulia kwa furaha za mafanikio.
Hebu ninaomba wanufaika wote tuje hapa tutoe mrejesho huru usiopendelea, kama umenufaika au umenusurika. Mrejesho huu pia unaweza kutoa taswira juu ya biashara hii kwa wakati ujao. Kumbuka watu wengi wakiishia kulalamika kwa kuliwa serikali sikivu ikisikia itajua ni utapeli na itafunga, hivyo natumaini pia kuwa mrejesho huu utanufaisha TMT kwa kuchukua hatua za kuboresha ama kuharibu kutokana na ubora kuzidi.
Asante
Majaribu2013
Mtoto wa Ontario.
Mkuu asala ipo kama ujawa makini na sokoNimefuatilia thread zote za Ontario na Forex yake na nimegundua yafuatayo.
1: Hii biashara sio real maana hakuna biashara ya kupata faida tu au asilimia kubwa wanapata tu faida hakuna hasara.
2:Huwez kupata ukwel wa hii biashara kuputia jf maana Ontario anapata faida kubwa kwa training na jf wanapata %.
3: Thread na comments za wanaosema ukwel zinafutwa maprma sana ivyo ni ngumu kupata upande wa pili wa story.
Hata linus tolvad alitengeneza linux lakini akaichia iwe open wengine watengeneze na wajifunze leo hii google kupitia android wanapiga hela kuliko hata alietengeneza linux kwa hiyo usikaliliBilly Gate na utajiri wote alionao sijaona akiita watu nao wafanye hiyo biashara anayofanya yeye, ndio kwanza ana monopoly soko la operating system.
Yaaani hawataweza kukuelewa mkuu kuna baadhi ya watanzania ni shida sana vichwa vichafu vimeoza ni watu wa kupinga kila kitu bila hata kuchunguzaScam brokers wapo na genuine wapo , hili tunalijua.
Hivi kwani mnadhani Ontaria tumemlipa sh ngapi? Elfu 65 tu.....account tunafungua wenyewe bank. Pesa kwa brokers tunaweka wenyewe.....kisha broker wanatulipa withdraws zetu.
Sasa mi nawashangaa haters....scam ni nani? TMT?, ONTARIO? BROKERS, au nani ni scam? Poleni sana......tapeli nani na kamtapeli nani?
Maana kule hakuna ujanja ujanja wanataka your valid ID na residency documents.....
Poleni sana....ntakuja kutoa ushuhuda inshaa Allah ila kwa sasa tuacheni kwanza.
Mtakoma mwaka huu!!Billy Gate na utajiri wote alionao sijaona akiita watu nao wafanye hiyo biashara anayofanya yeye, ndio kwanza ana monopoly soko la operating system.