Mrejesho: Kanifukuza ndani

Usiwaze bro me nilishafukuzwa kwa staili iyo iyo na mpka sasa naendelea kumega kisela tu simtafuti, anajileta mwenyew ghetto jumba la sanaa analiwa anasepa
 

Yani jamaa umefeli sana upo ndani na unaomba utoke urudi kama kwako vile mkuu!!!! Na kwa maelezo yako uyo maza usingeweza kumla unaonekana huna mbinu.... next time ukipata tukio kama ilo umealikwa night kwa manzi nunua chupa ya wine nenda nayo kama zawadi na make sure ukifika unamkabizi then jiongeze be gentle ingia kabatini chukua glass weka muanze kunwya na kunywa yako ni mdogo mdogo huku unasoma ramani.... mdogo mdogo chombeza ukiona kashazidiwa, we unaenda kifala kibunda huna na bado unaleta mbwembwe za naenda kwangu mara moja nakuja apo sio kwako ukiingia Hakuna kutoka
 
Mtoa mada soma hapa kwa umakini.
 
Ulivoludi geto kwako ulifeli mda uleule ungeanza uchokozi.
 
Sasa umemnyima hela alokuomba ulitaka afanyeje😀😀😀😀
Sasa anakasirikia nini wakati hela ni ya mchizi? Yani mtu anaomba hela isioyake asipopewa anakasirika..
 
Nina ahadi kibao za Kuwapelekea watu moto. Lkn najiona naweka future mbya sana. Tujitafakar Sana mnaopenda utelezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…