Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,076
- 5,483
- Thread starter
- #41
Kaka huyo dem tunaishi nae muda tu hapo kwahiyo tatzo hakunaKweli kabisa
Hivi mwanaume unaanzaje kwenda geto la mwanamke,,hii ni risk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka huyo dem tunaishi nae muda tu hapo kwahiyo tatzo hakunaKweli kabisa
Hivi mwanaume unaanzaje kwenda geto la mwanamke,,hii ni risk
Kilichokupeleka na elfu 20 yako mkononi ni kitu gani??Kwani nimefanyaje mkuu mbona nilitoka kirahisi tu
Nilienda kujaribu kumla kimasihara after that ningempa hata 20kSasa ulifuata nini
Tatizo lipo,,Kaka huyo dem tunaishi nae muda tu hapo kwahiyo tatzo hakuna
Tatizo hiyo pesa ni kubwa sana mkuu angesema hata 20kWewe kutokutoa pesa, hushangazwi...
Lakini yeye kutokutoa uvungu, washangazwa...
Eboh!!!
Lipi mkuuTatizo lipo,,
Tena tatizo kubwa.
Ungemlainisha.Piga sound za kufufua wafu!Ulipotoka tu,ulimpa nafasi ya kutafakari na kukuona kama mcheza comedy tu.That was supposed to be a man to man arena!Usirudie makosa.Kuniruhusu kuingia mwanzo ni pale alipodhani nimemletea hela kumbuka hilo
Hiyo ningempooza baada ya kumgonga kimasiharaKilichokupeleka na elfu 20 yako mkononi ni kitu gani??
Kwanza haujiamini,Lipi mkuu
Ulichokisema ni sahihi mkuu tatzo huyu mwanamke tunaishi nae nyumba moja tena vyumba jirani kumdanganya na sound kama hizo niliona kwa baadae itakuja kuniletea shida ni bora nimuache tuUngemlainisha.Piga sound za kufufua wafu!Ulipotoka tu,ulimpa nafasi ya kutafakari na kukuona kama mcheza comedy tu.That was supposed to be a man to man arena!Usirudie makosa.
NB:Toa hela ya tuisheni niliyokupatia.
Usirudie tena[emoji35]Hiyo ningempooza baada ya kumgonga kimasihara
Kaka kwa navyomfahamu huyo mwanamke gheto kwangu asingekuja hilo nina uhakika nalo kwa 100%Kwanza haujiamini,
Ungekuwa unajiamini usingeenda room kwa huyo mmama na kuanza kujieleza kuhusu kukosa hiyo laki,
Ungemuita geto kwako na angekuja kwa kujua umemuitia pesa,,,ungemuimbisha chombezo ungemla na kumgea hiyo ishirini.
Weye ndiyo wakuja kweli!Unaogopa kupiga sound?Utabaki unajikuna masikio hivyohivyo!Ulichokisema ni sahihi mkuu tatzo huyu mwanamke tunaishi nae nyumba moja tena vyumba jirani kumdanganya na sound kama hizo niliona kwa baadae itakuja kuniletea shida ni bora nimuache tu
🤣🤣 Mbavu zinauma kwa kicheko mbona atajutaKashamuona apeche[emoji23]
Sasa ajiandae kudharaulika.
😂😂Weye ndiyo wakuja kweli!Unaogopa kupiga sound?Utabaki unajikuna masikio hivyohivyo!
🤣Kama ningekuwa baba yako nisingekurithisha hata mifugo.Mifugo wangekuzidi akili na kuanza kukuongoza.Shame!
Pole sana, hiyo 20k nenda kachome nyama upunguze machungu.😂😂😂😂 niliganda kwanza pale mlangoni kwa muda, acha tu yani sitamani hata hiyo siku ijirudie
Ajipe muda wa kupumzika kwanza.Akichoma nyama ale,atajing'atang'ata huku anatetemeka akikumbuka noma lililomtokea.😂😂😂😂Pole sana, hiyo 20k nenda kachome nyama upunguze machungu.
ungebeba hiyo 20 mapema alafu angeuliza ungemwambia kuna hela naisikilizia baadae tu naipata sema nin hii 20 hapa angalau unywe soda kwanza au unasemaje??? yani asingetoboa walahiiNilienda kujaribu kumla kimasihara after that ningempa hata 20k