Mrejesho: Kanifukuza ndani

Mrejesho: Kanifukuza ndani

Weye ndiyo wakuja kweli!Unaogopa kupiga sound?Utabaki unajikuna masikio hivyohivyo!
Sawa mkuu
ungebeba hiyo 20 mapema alafu angeuliza ungemwambia kuna hela naisikilizia baadae tu naipata sema nin hii 20 hapa angalau unywe soda kwanza au unasemaje??? yani asingetoboa walahii
Hapo ndipo nilipojichanganya
 
Kwenye kikao cha mabaharia hukuhudhuria???? Si tulikubaliana mwanamke ambaye huna future naye siku zote usimwambie ukweli, Yaani ushapata nafasi ya kuingia ndani kwake halafu bado unasema huna hela[emoji849][emoji849], Ulitakiwa umwambie ndiyo ninayo na mbususu ungepewa siku hiyo hiyo
Mwamba hakuhuzuria kikao ndo maana anapelea kiaina.
 
Kwenye kikao cha mabaharia hukuhudhuria???? Si tulikubaliana mwanamke ambaye huna future naye siku zote usimwambie ukweli, Yaani ushapata nafasi ya kuingia ndani kwake halafu bado unasema huna hela[emoji849][emoji849], Ulitakiwa umwambie ndiyo ninayo na mbususu ungepewa siku hiyo hiyo
Kwa huyu dada sidhan....angempa hela kabisa labda vingnevyo sidhani kama angefanikiwa kugusa hata kiuno tu.
 
DEMAND is the WILLINGNESS and ABILITY of a person to buy certain goods or services. Kwahiyo unaona kua ukitaka kitu/huduma kwanza lazima uwe willing kulipia na pili uwe na uwezo wa kulipia.
 
Back
Top Bottom