Mrejesho: Kilichonipata Malta ni zaidi ya Ukraine, siku 18 za kufa na kupona

Japan kuna Yakuza mob.
 

Huyo ndugu ni mwizi, aliwaibia wajapani. Kwenye usafirishaji wa mizigo hakuna kitu kama gari kupotea mazima.

Alicheza na moto amevuna alichokipanda. Tukiamua kufanya biashara, uaminifu ni mtaji mkubwa zaidi ya pesa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Nilifanikiwa ila baadae kale kajamaa kalikuja na mob ya vijana kama 14 hivi wakaniteka,nilipata shida nusu kufa
Ko kweli uliliwa mande? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Duuuuuh. Hadi inagopesha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…