Mrejesho: Kilichonipata Malta ni zaidi ya Ukraine, siku 18 za kufa na kupona

Tulikuonya hukusikia ukatuona sisi hamnazo ...nikikumbuka na wale jamaa walio kujaza upumbavu eti mwanaume kambi popote usiogope.[emoji1][emoji1] Haya Sasa tayari umesha kuwa wa mfano kwa vijana wa wenye akili za hovyo Kama wewe.

Ndio malipo ya kukisiliza kichwa Cha chini[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Mzee Cosovo na stori zako, vip ile ya Mwanza mbona huimalizii,Kuna jamaa alikusaidia kidogo
 
Crap 💩
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…