Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Mie pia nasimama na mkewe, maan huyo mkewe amefanya hivyo kwa kulipiza kisasi kwa matukio ya mumewe, maaan amesema mkewe kataja wanawake anaohisi anatembea nao, na ukweli kawapatia wote sasa hapo nn?
Mkewe hana kosa lolote, tiba ya usaliti ni kisasi.
Kabisa mkuu
 
Uzinzi unalipa yaani amezini na nyumba unamzawadia! Higo ni incentive tosha ya wake kuzini.
 
Kuachana na mke kisa,kachepuka sio njia sahihi ilihali mna watoto wadogo,inauma ila piga moyo konde angalia maisha ya watoto wako,pili Kama na ww unavua chup za wanawake wengne,kuwa na moyo mpana tu ili maisha yaende,maana yeye kafanya kulipiza,
 
ni kweli lakini zinaenda sambamba na hii
Ndio ni sambamba kwa sababu katika kuchepuka kwa mwanamke kunauwezekano wa kuzaliwa mtoto asie na vinasaba na baba wa familia.
Hili tatizo lingine, lakini iwapo unajihakikishia watoto hao ni damu yako, na waishi kwa furaha na matumaini makubwa kati ya baba na mama, Basi sio vyema kukata Tumaini na furaha ya watoto kisa tu mke katoka.

Zipo njia nyingi anazoweza kutumia mwanaume kudili na mwanamke aliechepuka, na kila mwanaume anazo kwa namna yake hivyo swala la kuachana kwa sababu hio Ina kua Ni last opinion.
 

Hoja namba 2 ya wife izingatiwe, anahisi una wanawake na mmoja ni mchepuko of which is true kama ulivyokiri[emoji848]. Sasa kama wewe una mchepuko kwa nini yeye asiwe nae [emoji23][emoji23]? Au pa kwako pameuma sana, pa wife unafikiri hapaumi? Jamani usaliti unaumiza pande zote, hata wanawake wakisalitiwa wanaumia kama anavyoumia mwanamke.
 
Kumaintain ni ngumu halafu mtu mzima kumwambia mwambia hivyo anaona kama unamuinjoy! Anaenda anazoea halafu inakuwa sio ishu kwake sababu mnaishi wote,,,ndio ugumu ulipo aisee! Ila akiambiwa na stranger anapata goosebumps so kila kitu kinataka kiasi, you cant overdo it japo ni vyema kumsifia mkeo daily
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…