Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Hahahah ndo maana mimi naishi kwa ajili ya kufurahisha nafsi yangu,we were born to be selfish to enjoy life on earth planet...piga chini pata mtoto mkali endelea na maisha,maisha ni matamu sana ukiwa na pesa unajichagulia tu wa kupiga sio kuoa hata mahitaji ya watoto miezi 6 usitoe wakukumbuke wote watatu
 
Marioo anajua sana..
 
Amekucheza vibaya sana mbaya zaidi mhuni mwenyewe Livingstone unamjua
Piga chini hiyo mbanga arifu
 
Hii haina kuuliza,piga chini muache na chukua watoto wako,hii kusema watoto wadogo mi sionagi udogo,nilisha wahi kuchukua mtoto wangu akiwa na mwaka mmoja na sasa ako na 22yrs

kati ya vitu usivyo paswa kumsamehe mwanamke ni uzinzi,maana atakudharau na ataishi hivyo ila kwa kujificha tu.

Toka enzi za manabii ni Mwanaume peke yake ndo amewahi kua na mwanamke zaidi ya mmoja mpaka leo hii na siyo mwanamke.
 

Aiseee, chumbani kwako kabisaaa!? Duuh!.... mnatutisha waoaji wapya[emoji38]
 
Hivi wewe naona huwajui binadamu...
 
Anaachaje kuumia? Ukute na mlango wa pili wameupitia. So sad!

Na jamaa lazima aende kwa mchepuko kujipooza machungu maana amekiri kuwa nao, akifika huko story itakua ni kumsimanga mkewe jinsi alivyochepuka, ilhali na yeye yuko na mchepuko [emoji23]. Safari bado ni ndefu sana
 
Na jamaa lazima aende kwa mchepuko kujipooza machungu maana amekiri kuwa nao, akifika huko story itakua ni kumsimanga mkewe jinsi alivyochepuka, ilhali na yeye yuko na mchepuko [emoji23]. Safari bado ni ndefu sana
Kazi na iendelee
 
Kwani bodaboda sio watu acha kudharau waja, bodaboda anajiingizia kipato chake wala haibi unakuja kukashifu watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…