Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Na jamaa lazima aende kwa mchepuko kujipooza machungu maana amekiri kuwa nao, akifika huko story itakua ni kumsimanga mkewe jinsi alivyochepuka, ilhali na yeye yuko na mchepuko [emoji23]. Safari bado ni ndefu sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Great mind [emoji91][emoji91][emoji91]
Asipomuacha amtenge no kushirikiana nae mapenzi kila mtu afanye yake! Ahakikishe tu familia inakula na kunywa na ada zinalipwa!

Kumu entertain ibilisi kama huyo ni ngumu kwa kweli! Ajutie tu hilo kosa lake always na aje awaambie na watoto kuwa alitombwa nje ya ndoa maana lazma wataona hamna ukaribu baina ya wazazi
 
Wapi nduruuuuuuuuh, na ndo ukweli wenyewe, Tiba ya usaliti ni kisasi.
 
Wee jamaa kwa hiyo akae na malaya si bora awabadilishe kadri awezavyo?
Sawa.

Lakin kabla hajatafuta mwingine inabid atafute tatzo ni nini mpaka mke kugawa mbususu nje,inawezekana mwanaume ndo akawa chanzo cha haya.

Kama unawaza kutafuta hela zaidi bila kufikiria jukumu la kuichakaza mbususu ya mkeo kila anapokuhitaji,lazima atafute wakuichakaza nje.
 
Ni wale wanawake rejected wenye sura ngumu,unakuta hata kama kaolewa ameolewa na mtu ambaye hana uwezo kiuchumi hii ni kutokana na uzoefu wangu.
Yaan kabisaa mwanamke tena aliye olewa ana date na boda boda, tobaaaaaah hapan kwa kweli.
 
Ameeeeeen.
 
Kweli muoneeni huruma mwenzenu. Wahuni wamechakata papuchi ya mama watoto[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Hatasahau maisha yake yote.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah
 
Nature gani unayoizungumzia wee hapa? Dunia haijasimama bado poleeeeh.
 
hakuna sababu ya maana inayofanya mwanamke kugongwa nje ni UMALAYA
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sasa si ungemfungulia mlango mwenzie aingie? Lol
 
Anakupakia na Vumbi kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii ni tamthilia tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…