Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Moja kati ya ushauri bora kabisa!
 
Achana na hiyo kondoo kifuatacho atakuua, mwanamke akifikia kuvua chupi kwa mwanaume mwingine huyo sio wako, jitenge na shetani man au komaa utazikwa
 
Mungu akubariki mkuu nakutabiria ustahimilivu ktk ndoa mda ukifika
Amina mkuu mengine tunayaexperience wenyewe afu watu wanakuja kubomoa ndoa za wenzao, na yeye afikirie mbona kama si mchepuko kumpotezea asingefika nyumbani kwake siku iyo? Na kwa vyovyote mchep naye alikuwa kwa mpenzi wake uko 😜😜😜
 
Pima watoto dna .kama kuna asiye wako aondoke naye piga chini milele
 
Ndoa ndoana.... msamehe
 
Mwanaume anaathirika sana kisaikolojia, sema hawa wadada hawajui tu.

Nadhani ndo maana hata biblia imeruhusu kumuacha mke kwa habari ya uzinzi
Ni kweli mkuu, ni vile tu wanawake hawajui..
Tena huyu mleta uzi namsifu kwa ujasiri wa kuandika uzi, hiki ndiyo kimemsaidia ku "withstand" situation anayooitia.

Angekaa tu kimya bila kutoa la moyoni, angeweza kudondoka au kuua/kujiua
 
Umeongea vizuri ila hapo kusema hutaoa mmm
Mkuu nimeshuhudia marafiki baadhi waliachana na wake zao, wakaoa tena...
Maisha yao yakaenda vibaya zaidi.....basi ile hali ikawa kama imeniathiri.....nikajisema mfano itakee sioi....
Na nikioa labda uzeeni nitafute mzew mwenzangu wa kuzikana..
Maisha haya..[emoji119][emoji119][emoji26][emoji26][emoji119][emoji119]
 
Kwa hiyo wanaume ndo wachepuke?
 
Napenda busara zako
 
Ni kweli mkuu, ni vile tu wanawake hawajui..
Tena huyu mleta uzi namsifu kwa ujasiri wa kuandika uzi, hiki ndiyo kimemsaidia ku "withstand" situation anayooitia.

Angekaa tu kimya bila kutoa la moyoni, angeweza kudondoka au kuua/kujiua

Ngoja waje wanawake nao waseme vile wanajisikia wakichitiwa [emoji3], sijui wao hawaathiriki kisaikolojia, wanaona poa tu kina baba mjengo wakiwa na mpango wa kando
 
Hongera mkuu binafsi ilishanitokea nikaangalia mdada wakuoa nikaona kizunguzungu nikamrudisha wife kwasasa heshima ipo watoto wanafuraha nahatua zamaisha kidogo zipo sikatai kama bado yapo lakini sijaona dalili
 
Baba hii dunia ningumu nikujiandaa kukabiliana nayo tu wapo walioacha wake kwamazingira haya halafu wakaoa yaliyowakuta mwisho wakatamani bora hata kule mwanzo yani hawa watu kunamwingine anachepuka ila usimamizi wafamilia namipango ya maisha kila mtu anatamani kuwa nae
 
That's nature. Mwanaume akichepuka wanawake mnajisikia normal na kusamehe ni rahhsi, but kwa mwanaume haijawahi kuwa normal this is the reason why wanaume wana-react sn pale wake zao wakichepuka na ni ngumu sn kusamehe ukigundua umechapiwa.

Wewe ni me au ke? Kama ni mwanaume umejuaje kama wanawake wanajisikia normal tu wakichepukiwa? Umewahi kuwa mwanamke ukaiona hiyo hali vile inakuwa ukichepukiwa? Au mna assume tu mwanaume akichepuka mwanamke anajisikia normal tu [emoji848][emoji848]. Msiwasemee wanawake, na wao wanavurugukiwa mno wakisalitiwa. Usaliti unauma pande zote jamani [emoji42][emoji42]
 
Ni maamuzi yako Mkuu. Si kila ushauri lazima uufanyie kazi. Jana tumeona humu mchepuko anadai June 5, 2021 watakuwa wanasherehekea 15 years anniversary wamechoropoa mimba tatu na mtoto wa mwisho mchepuko anahisi yeye ni Baba.
Ushauri.kama huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…