....Na huko nje zaidi ni wanafuata mchezo wa 'Tundu Dogo' tu maana hawaupandu nyumbani kutokana na Waume zao kuwaendea kiheshima heshima tu na kutothubutu kuwaomba huko!! Kumbe huko nje Wanatifuliwa tu!
Atakuwa amesaliti kikosi kazi kilichosimama na yeye kutetea alichofanyiwa. Mabaharia sasa watamgeuzia Kibao..Bila shaka watakuwa tu wako pamoja sema jamaa bado ana hasira kiaina ukipita mwezi ama miezi2 watakuwa kama ndo wanaanza mahusiano........kama kila mmoja atajirudi kwa mwenzie kwa moyo wake woote for the sake of their children na kusahau makando kando ndoa yao itakuwa na amani kabisa
Anabadili ID maisha yanasonga.Atakuwa amesaliti kikosi kazi kilichosimama na yeye kutetea alichofanyiwa. Mabaharia sasa watamgeuzia Kibao..
Ndio inafuta kumbukumbu kuwa alitombwa nje?Njia mzuri ya kufanya wapende watoto wako usiwaache utawatesa. Hakuna kitu kizuri kama kuka baba na mama na watoto wako. Mtafute rafiki yake au jamaa yake wa karibu mtafune utasahau machungu yote. Yamenitokea nikafanya hivyo nikapata amani maisha yanaendelea.
Hapo ndio unakuja kuamini hakuna mkate mgumu mbele ya chai yani mbususu ya demu imeshinda nguvu mawazo ya mabaharia wote humu? tuamini atarudi tu.Anabadili ID maisha yanasonga.
Aseme watu wajueWatakuwa wameyamaliza.
kabunda88
Mwanaume sio malaya bali ni ameumbwa kujaza mimba viumbe vya kike mbali mbali ili kuendeleza uzao! Majike mengi yanaweza kukaa na dume moja kila mmoja akipatiwa huduma ya mimba na sex!Kwani mnakuwa mnajisikiaje, mbona si tukijua tunaona normal tu ni umalaya wenu?
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Hahaha kabeba “squirting tools” kabisa 😂😂😂Wanawake wa leo hata hamueleweki mnataka nini....View attachment 1803769
Hakuna cha asili hapo acheni kujitungia uhalalishaji dhidi ya zinaa...hii ipo sana kwa wanaume wa kiafrikaMwanaume sio malaya bali ni ameumbwa kujaza mimba viumbe vya kike mbali mbali ili kuendeleza uzao! Majike mengi yanaweza kukaa na dume moja kila mmoja akipatiwa huduma ya mimba na sex!
Msitulaumu sana ni swala la asili tu
Mie sikuelewa mkuu na siku na tatizo katika kitendea kazi kabisa! Mi ni yule mtu ambaye nilikuwa naweza kushughulika na mbususu mpaka zile cream za utamu zikamuisha bibie kisha inafika stage mazingira yanakuwa ya kiangazi na ukame then zoezi linaghairishwa sababu naanza A ila sifiki herufi Z kwa muda mrefu!ok majibu yako nimeyakuta post za nyuma, kuwa alitoroka baada ya muuza chips kugonga
hivi hawa wanawake ni kwamba hawaridhiki au alitaka kuonja taste nyingine akidhani ni match la kibabe?
kuna ka kitu kana wawasha siwalaumu hata sisi wanaume tupo hivyo lkn bora ulimuacha
Mkuu unawasha motoMwanaume sio malaya bali ni ameumbwa kujaza mimba viumbe vya kike mbali mbali ili kuendeleza uzao! Majike mengi yanaweza kukaa na dume moja kila mmoja akipatiwa huduma ya mimba na sex!
Msitulaumu sana ni swala la asili tu
Angalia hata wanyama tu bibie, sie tumeumbwa kwa mfano wao na naamini wazungu wangelileta hili enzi za ukoloni na kuwaelewesha basi leo tungekuwa na familia imara sana!Hakuna cha asili hapo acheni kujitungia uhalalishaji dhidi ya zinaa...hii ipo sana kwa wanaume wa kiafrika
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Mie sikuelewa mkuu na siku na tatizo katika kitendea kazi kabisa! Mi ni yule mtu ambaye nilikuwa naweza kushughulika na mbususu mpaka zile cream za utamu zikamuisha bibie kisha inafika stage mazingira yanakuwa ya kiangazi na ukame then zoezi linaghairishwa sababu naanza A ila sifiki herufi Z kwa muda mrefu!
Katika mazingira hayo sikutaraji kama hilo lingeweza kuwa sababu bali ni umalaya wake mrembo tu!
Wanakuwaga na sababu za kimalaya tuThat's why tunasema akichepuka aondoke hawana sababu maalumu hawa
Nifundishe mbinu za kutrack Mawasiliano ya demSina hakika sababu nilitrack mawasiliano ya manzi na chats na calls zao na jamaa alikuwa anaashiria kuwa ndio siku ya kwanza anataka kuja kumpiga pumzi ila akawa kama anamuulizia sana juu ya usalama wake kwamba ni freshi nikija hapo hapo geto! By that time nilikuwa nakaa self moja tu!
Demu akanipanga mimi toka jana yake kuwa dadaake kesho atakuja kwa ajili ya graduation ya mtoto wa kaka yao! So kaomba alale pale kwetu alale na ndugu yake kwa kuwa mie sikuwa na hiana nikasema acha tu nimpishe sababu kwao walikuwa hawajui kuwa anakaa kwangu walijua kapanga kivyake.
Basi mie kwa kuwa na maseke kile kitu sikukielewa nikaamua nifanye ujasusi kumbe kweli ilikuwa ule usiku napigwa tukio la hatari kama ningejiachia huko niliko!
Nilichofanya nikampigia simu jioni kwasababu picha linaanza hakunipa feedback juu ya huyo mtu kafika au la! Toka asubuhi mpaka Saa 3 usiku mtu atoke Dar hajafika tu na gari ya mwisho kabla ya 2 inakuwaga ishatia timu!
Nikaanza kuhisi usanii ule! Kufungua database yangu kweli nakuta ni mwamba wanapangana kuwa aje amkaze maana mie sipo na alimdanganya yupo single nadhani! Nilichokifanya nikawahi eneo la tukio nikabana mahali nikawa nashuhudia kila kitu kummmk. Baada ya kuingia ndani tu sikufanya ajizi nikajongea mlangoni na kugonga kibabe! Alipofungua mlango hakuamini anachokiona!
Chumba ilinunuliwa spray sikuhio chumba kinanukia balaa na maji jamaa anachemshiwa aoge huku kashaagiziwa chipsi kuku! Kummmy wanawake hawa waoneni tu..ni kama akili ilipiga short nilifukuza yule jamaa nikabana mlango. Ilikuwa nafanya umafia wa ajabu siku ile maana nilishavua mkanda! Muuza chips alipoleta chips ndio kutoka azipokee akapata na upenyo hapo hapo wa kutoroka kifo!
Dah ile mbinu inataka moyo mkuu!Nifundishe mbinu za kutrack Mawasiliano ya dem
Hakuna shida mim moyo ninaoDah ile mbinu inataka moyo mkuu!
Hakuna shida mim moyo ninao
Fata hio linkHakuna shida mim moyo ninao
Mbona siioni?Fata hio link