Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
Na ngoma ikiwa droo namna hiyo, mkaelewana, hamtakaa muachane...inafikia mahali wote mnakuwa sugu...mwenzako akichepuka roho inauma kidogo tu, inatulia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ngoma draw hapo.
[emoji16][emoji16][emoji126]Hapo sasa umeongea point mrembo [emoji12][emoji7][emoji7][emoji7]
Yaani Mkuu huu uzi umenipa maelimu makubwa hasa, yaani toka umeshushwa nikapata maarifa yenuExtrovert Mie sikuelewa mkuu na siku na tatizo katika kitendea kazi kabisa! Mi ni yule mtu ambaye nilikuwa naweza kushughulika na mbususu mpaka zile cream za utamu zikamuisha bibie kisha inafika stage mazingira yanakuwa ya kiangazi na ukame then zoezi linaghairishwa sababu naanza A ila sifiki herufi Z kwa muda mrefu!
Katika mazingira hayo sikutaraji kama hilo lingeweza kuwa sababu bali ni umalaya wake mrembo tu!
Acha kulainisha mke wa jamaa alivua nguo na kuingizwa mkuyenge na msanii .labda akumbuke dogo alivyokiwa anakula doggstyleKuna vipindi vya mahaba, Kuna nyakati za kuchokana, kuna nyakati za dhiki, unakuta ata kama mwenza kajichanganya kuchepuka sa zingine sababu ni wewe mwanaume/mwanamke au ni hulka tu ama tamaa, mtu anakurupuka kushauri mwenzie eti fukuza , anajua jamaa ameishi vipi na mkewe adi kufikia mkewe kuchepuka??? Naye akae ajitafakari mwanamke ni binadamu kama walivyo wanaume
Ajue hata yeye huwa anawaingizia wengine vilevile, anafikiri mkewe huwa anajiskiaje, au maumivu ya mapenzi hayajui watu wanatoka nje adi anazaa na anasamehewa sembuse kuingiziwaAcha kulainisha mke wa jamaa alivua nguo na kuingizwa mkuyenge na msanii .labda akumbuke dogo alivyokiwa anakula doggstyle
jamaa kimsboy alimpangia chumba bint mbali na yeye alalapo, sasa alipomwambia anataka aishi mwenyewe bint akaondoka, kwa matambo, ilipofika usiku ina maana bint kwa huyo bwana mwizi hawana pa kulala, ndipo akamtext kimsboy mbona funguo ya chumba hakuiacha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sasa si ungemfungulia mlango mwenzie aingie? Lol
Haya.makitu yatatupeleka motoni mitihani mingijamaa kimsboy alimpangia chumba bint mbali na yeye alalapo, sasa alipomwambia anataka aishi mwenyewe bint akaondoka, kwa matambo, ilipofika usiku ina maana bint kwa huyo bwana mwizi hawana pa kulala, ndipo akamtext kimsboy mbona funguo ya chumba hakuiacha
INAFANANA na ya kwangu nilipomsombea nyyumba ndogo kitanda na godoro kwa kosa la kuingiza vidume, sasa kaja usiku akakuta chumba kitupu kaangua yowe, leo kanitokea anaomba msamaha angalau apate pa kulala tu, hataingiza tena mtu kumsalimia
Sijamkubalia bado hasira kunichangia chungu kimoja na kibodaboda, ingawa nami nina mke anayenihitaji kila night, nimemruhusu aolewe kanijibu wanaume wa kuoa hawapo, DUH WANAWAKE KZ IPO KM HUPO ANAJISUUZA NA YOYOTE
Naamini angeacha angekuja kuonyesha umwamba.Kwa taarifa za chinichini nilizopata, Jamaa yetu ameomba msamaha yaishe waendelee kulea watoto. Tuheshimu mawazo yake. [emoji119]
Naamini angeacha angekuja kuonyesha umwamba.
Yani sasa ndo atatufunwa kinoma mana kishajua udhaifu wa jamaa.
Duh!!! Pole Sana Mkuu...Baada ya mimi kurudi home siku ambayo wife hakutarajia ntarudi ,sikumkuta nyumbani na nilipompigia simu yy alijibu yupo home anaangalia tamthilia.
Nimekaa kuanzia saa moja usiku mpka saa sita usiku ndio anatokea,
Alipatwa na kama bumbuwaz hiv hakuamin km nipo home nilimnasa vibao akadondoka chin na kuomba nimsamehe haja fanya chochote kibaya
Nilimsikiliza lakin hakuwa na hoja yeyote ambayo inarizisha ukamwelewa yeye alisimamia msimamo wake huo alikuwa kwa shoga yake walikuwa wanaangalia muvi ndio maana kachelewa.
Alivyofika tu chakwanza kawahi kuchukua ndoo aende bafun akaoge niliamin kweli tayar kashaliwa
Sikumkagua huko chin sikuona km kuna haja ya kufanya hivo maana ni km uzalilishaji jibu linaonyesha tu ametoka kuliwa,alivyo maliza kuoga ,
Nikachukua simu yake na kumwambia toa password akawa hataki nikapiga ngumi ya uso akatoa password niliyo yakuta humo unaeza kuzimia,
Moja nikaenda kwny calls nikakutana na calls za jamaa za saa kumi na mbili kamili jion
Pili hamna calls hata moja inayo husisha rafiki yake inayo onyesha jana waliwasiliana kukutana
Tatu kwny whasp msg nikakutana na zajamaa pia na waliplan toka saa tano asubuh nilitaka niziweke humu but nimeshindwa kuweka ila ilikuwa km hivi
Jamaa:hey beautiful missed you
Mke: hey baby missing you more
Jamaa: missed your voice sana
Mke : thanks uko free leo?
Jamaa: yes tuonane bas please
Mke😱k ntakwambia.
Hiyo ilikuwa mida ya saa tano hivi asubuh hapa nakumbuka wife alipiga simu km mara 3 nikawa sikupokea nilikuwa kwny bus narud Dar na nililala nikakuta tu msg anasema
Hey baby nataka kujua unaendeleaje na unarudi lin? hapo nilimjibu Jmos usiku hiv akasema poa
Kwny saa kumi na mbili alimtafuta jamaa tena
Mke : hey uko wap tunakutana wap?
Jamaa:maaeneo ya studio kuna sehem inaitwa garden nini sijui..
Mke😛oa
Mke mida hiyo ndio kaenda na calls za jamaa ni kama saa 1830hrs nafikir alikuwa akimwelekeza
Yote hayo na msg zote hizo bado wife hajakubali km alikuwa kwa jamaa amekataa katakata
Msela aliye kutana nae kamsave LivingStone nakumbuka wakati tunakaa kijitonyama tulipanga nyumba moja na rafiki zake Mallow walikuwa wakiimba hapo na kuvuta bangi tu ile nyumba tulikuja kuhama hata kodi haijaisha na sikujua haswa tatizo nini pale ila alisistiza tu tuhame maji ni shida , nikasema poa nilitafta sehem nyingine nikalipa
Pale tukapangisha mwingine, mke alikuwa akiwasifia sifia anasema wajua kuimba ila bado hawajatoka kimziki but sikumzingatia ila namba
Wamepeana huko na ukichek jamaa ni yupo yupo anahaso na mziki mambo ya gym Bangibangi tu
Ila ndio hivo kila kitu kinamwisho wakuu akili kwangu kichwani wife kaliwa na and aground wa mziki sijui kwann wanawake wanapenda masela tu mambo ya gym nashangaa sana mtu kama huyo kuvunja ndoa yangu nipo nae toka 2016,
Wakuu ambo mko kwny ndoa mnanishaur nini?
hapa itabidi kutumia busara sana nmefanya nae vitu vingi na huyu manzi leo huu analiwa kimasihara tu inauma sana,
Cha kushangaza alimpigia simu jamaa ,alivyopokea tu jamaa inaonyesha ni wapenz na jamaa alikana ndio ww sio mpenz wangu but sio lazima niwe mpenz wako ndio ufanye .
Watoto wangu wawili mdogo ana 2years na mkubwa 4years wataishi bila Baba na mama pamoja inauma ila ndio itabid iwe hivo
Sintafanya haraka ntamwacha hapa kwny hii nyumba mimi ntaenda kupanga kwingine but watoto wangu atabaki nao yeye bado ni wadogo na ntafocus kuwahudumia na kuwasomeshe but
Itakuwa ngum sana kuwa nae tena wife haswa unapojua ameliwa na mtu wa dizan gan
Usaliti ni kitu kibaya sana wakuu leo hii Livingstone anavunja ndoa yangu hivhiv naona na katika kuchepuka kote sijawahi toka na mke wa mtu Kwann lkn imetokea kwangu?
Story hii ni ya kweli Mungu shahid hakuna nilipo ongeza japo sijaweza kuongea yote yalio tokea sintomaliza,
Hoja zake kubwa
1/ alifanya hivo kujifrahisha nafsi na haimaanishi alienda kwa jamaa
2/Kanitajia wanawake ambao yeye anahis mimi natoka nao katika hao mmoja niyule mchepuko wangu which is true
3/ jana alitoka kwenda kwarafiki yake kwa kuwa aliboreka home alikuwa alone
Hapaameamka na kwenda zake kazin na ubaya tunafanya sehem mmoja kaz,
Imeniuma sana wakuu sijalala kabisa leo hii iskie tu kwa mtu
Nawasilisha mtanisamehe kwa uandish nimevurugwa sana.
Unashauriwa kusoma kisa kilichotangulia: Leo nahisi mke wangu anachepuka huko alipoenda
Principle ipi hiyo? Hii ya uonevu? Poleeh sana.Iko wazi hii ni kanuni "mwanamke akisalitiwa mara nyingi anawaza kulipa but mwanaume akisalitiwa anafukuza" sijui kwanin mnawalaumu wanaume wakiishi kwenye hii principle.
Hakika kabisaah yaan.Yaan mtu anashauri kwa kufoka tazani yamemkuta yeye......na ukute wahusika washasameheana kitambo
Woooooooooiiiiih wee ndo mwanaume sasa, hivi unakunywa kinywaji gani?Kuchapiwa tunachapiwa sana tu, bora adabu na heshima viwepo...asiniwekee mazingira ya kujua...
Tusileteane madharau
Sent from my itel P51 using JamiiForums mobile app
Yaaan unapita mule mule.Na ngoma ikiwa droo namna hiyo, mkaelewana, hamtakaa muachane...inafikia mahali wote mnakuwa sugu...mwenzako akichepuka roho inauma kidogo tu, inatulia
Sent from my itel P51 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mambo ni vururu tyuuh.jamaa kimsboy alimpangia chumba bint mbali na yeye alalapo, sasa alipomwambia anataka aishi mwenyewe bint akaondoka, kwa matambo, ilipofika usiku ina maana bint kwa huyo bwana mwizi hawana pa kulala, ndipo akamtext kimsboy mbona funguo ya chumba hakuiacha
INAFANANA na ya kwangu nilipomsombea nyyumba ndogo kitanda na godoro kwa kosa la kuingiza vidume, sasa kaja usiku akakuta chumba kitupu kaangua yowe, leo kanitokea anaomba msamaha angalau apate pa kulala tu, hataingiza tena mtu kumsalimia
Sijamkubalia bado hasira kunichangia chungu kimoja na kibodaboda, ingawa nami nina mke anayenihitaji kila night, nimemruhusu aolewe kanijibu wanaume wa kuoa hawapo, DUH WANAWAKE KZ IPO KM HUPO ANAJISUUZA NA YOYOTE