Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Alichokifanya ndio unachokifanya. Ngoma droo. Funika kombe mwanaharamu apite ili muendelee kulea watoto.
Acha kumpotosha, huyo mwanamke hata yeye angejua kama jamaa kamcheat angemaind na kutishia kuvunja ndo.
Mke mzinifu ni hatari sana
 
kimsboy ndo mimi alafu sijijui nini mkuu mbona same story yaniiii 🤣 🤣 🤣
 
Pole sana mkuu haya mambo bwana yasikie kwa mwenzako tu omba yasikukute ni hatari sana
 
Tatizo la kuwa na mwanamke mmoja ndio hilo
 
Achana na hiyo kondoo kifuatacho atakuua, mwanamke akifikia kuvua chupi kwa mwanaume mwingine huyo sio wako, jitenge na shetani man au komaa utazikwa
Kwahiyo mwanaume yeye hawezi kuua hata akiwavua wanawake wa wengine huko? Yeye mwenyewe alikuwa anaenda kumvua mtu wakamuahi wenzio akaenda kuchojolewa na mwingine, kumbe na huku kwake taa nyekundu inamwekula mwekula [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Finali uzeeni , ukiona Baba anaonekana kama zuzu vile tambua maisha ya ndoa enzi ujananani alikuwa mdangaji hivyo mama sahizi zamu yake, kutesa kwa zamu.
 
Kuzae nae sio issue... Huwez kuish na mtu mpuuzi hivyo... Ndo kitu gan bwana? Uishi kwa stress na kinyongo kisa ndoa...? ACHANA NAE ISHI MAISHA YAKO watoto ukiweza wachukue ukishindwa muachie utakua unahudumia
 
kimsboy ndo mimi alafu sijijui nini mkuu mbona same story yaniiii 🤣 🤣 🤣
Post # 553
kuna mwanamke niliamua kumpangisha mpaka chumba siku moja tupo wote akawa anachat na kajamaa kake mpaka jamaa akamwambia vip mshkaji hayupo?? kaka jibu acah kumzungumzia tufanye yetu… Jamaa akamwambia nakupenda sana japo wew mke wa mtu demu akamjibu nakupenda piaa yani nilivyoona zile msg niliomba sana Mungu anipe uvumilivuu maana siku ile ningeuaa walahii… kesho yake nikamwambia nataka kuishi mwenyewe kwa sasa yani hata hakakuniuliza kitu kakaacha funguo kakasepa na vitu vyake sasaa ubaya Usiku sijui jamaa ake alikuwa hana geto kanaanza kuniuliza mbona nimerudi umefunga mlango
🤣 🤣 🤣 WANAWAKE HAWA KAMA HUNA MOYO MGUMU WALAHI ATAKUENDESHA SANA
hapa ndipo nilipofananisha na story /matukio yangu, nampangia chumba ili nijimilikishe nyumbani pakichafuka yeye naye anaingiza. Kuna member amepost #559 anakuomba si ungempa funguo aendelee kulala, ndipo nikajaribu kumfafanulia huenda hulali hapo ya mbele hukumalizia km ulirudi kwa wife au mchepuko ni wife material
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kusameheana kwa kipi hasa?
KUGONGEWA hizo clips nilimaanisha mtu anafumwa red handed jamaa kakaa Vitani miaka miwili anakuta Mke kaimport kidume anaishi naye kama hana mume
 
Ulivyo muoa alikuwa bikra au ulikuta teyari ngoma wazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…