Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Ww ulivyokuwa unatoooooooo.....mba nje ilikuwa poa ila yeye kuliwa kidogo tu imekuuuuumaaa. Kuchepuka mchepuke nyie ila tukifanya sisi mnalia mmeonewaa
 
Jambo lako ni gumu sana linahitaji hekima sana, jipe muda wa kutosha kutafakari na kuamua.
 
Living stone jiwe linaloishi umemkura mke wa jamaetu una roho mbaya km jina lako jiwe
 
Piga chini harafu tafuta pisi Kali kuliko yeye,, harafu oa tulia
 
Samehe ili kuwa na watoto wenye malezi ya baba na mama. Pia umesema nawe unamichepuko hivyo samehe tu
 
Wwe umejuwaje Kama kaliwa kidogo!? Thibitisha!!

Saivi watu wakijua wanakula mke wa mtu wanapaka mkongo, wanakunywa energy drink na paracetamol akikamatiwa hapo uchi una waka moto. Eti kaliwa kidogo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] labda kaliwa ndogo sio kidogo.
 
hujaoa ww -huna nafasi ya kucomment hapa

Go and Grow up afu uje tena apa
 
Weka mihemko kando, si suala binafsi la mimi kuoa ana la hebu jikite kwenye athari ya ushauri.
Na hasa angalia faida na hasara za anachotaka kufanya mahisia yako yahifadhi kwa matumizi yako binafsi. Kwahiyo unataka waachane halafu watoto wake ulee weye?
hujaoa ww -huna nafasi ya kucomment hapa

Go and Grow up afu uje tena apa
 

Hajasema kwa ubaya bali sidhani Kama anajua uchungu wa kujua mke wa halali wa ndoa akiliwa inaumaje. Lakini pia sio sahihi kumuacha mana Hakuna alie perfect ka nalo hili “everybody cheats, it’s known when caught if not they play it safe”, sio kisa ujamkamata Ndio useme akusaliti analiwa vzuur tu.
 
Sasa mtaingizaje madume wawili shimo moja? Achana naye huyo!
 
AKIPANDACHO MTU NDICHO AVUNACHO. Ulipanda usaliti(uzinzi) umevuna usaliti.

Ibilisi aliyekupa Roho ya Tamaa ndiye aliyempa Yeye Roho ya tamaa.

Unapo oa unaenda Kwenye Imani yako unaamini Mungu kawaunganisha. Je kwa nin huiweki ndoa yako mikononi kwa Mungu aitawale. Adui kaingia umeacha mlango wazi.

Kila siku watu wanaanza Upya. Unakiona kibanzi cha mkeo chako hukukiona shame. Pumbafu kabisa.

Hutakaa ufanikiwe na ufalme wa Mungu kuuona ni kazi maana U kipofu na Mfu. Yeyote aliye kinyume na Mungu ni kipofu.

Tubu. Mrudie mkeo nae atubu muanze upya. Wanadamu mmheshimuni Mungu.

Watoto wataridhi hilo la kuachana ni lazima. Wataoa wataacha.Ataolewa ataachwa ili uzinzi uendelee shetani aendelee kuvuna. Hata wewe huko kwenu au kwao mwanamke fatilia waliowatangulia Ndio maisha zinaa kuachana. Na mnaenda kuabudu na sadaka unatoa na Mtumishi wako kipofu haoni shida zetu[emoji13] Dini ni mavi. Mlilie Mungu kwa ajir ya kizazi chako ndugu yangu. Acha dhambi Usimpe nafasi ibilisi tena ni MUONGO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…