Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Mkuu siku hizi hata akili zenyewe zinadunda , sijuwi tuishi nao kwa namna gani yaan

...hakuna formula maalum,
Maana kila mtu na mtu wake.

Mfano;
kama mwamba alivyofanya hapo, karudi nyumbani bila taarifa...ndio akili yenyewe hiyo.
Huyo mke hata akitaka chepuka tena itambidi atumie mbinu mpya.
 
Dada...
Kutombewa sikia tu...
Usiombe hiki kitu kimkute ndugu yako yoyote wa kiume...
Kika mwanafamilia roho itamuuma..

Sijui kwa nini wanaume tuliumbiwa wivu huu..?[emoji119][emoji119][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji119][emoji119]

Na ukitombewa, omba usijue..
Acha kabisa. Kutombewa kunauma sana usiombe kabisa. Ukiwaza tu kwamba mke wangu anaweza chorongwa na mtu mwingine inauma sembuse kujua kabisa amechorongwa... Ila hao wamekutana wazinzi wote wapambane na hali yao tu. Kuacha mke sio kutatua tatizo wakae chini watafakari walipokosea then walee watoto...

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Hapo ndio wanaume wengi tunakosea sana! Mwanamke siyo kupiga show tu ndio kunamtuliza asichepuke! Na wala siyo kweli wanakochepukia hukuta show sijui ya maana kuliko walioiacha! Mambo ni complicated sana i see [emoji848]!
Naunga mkono hoja .unaweza piga show bado akachepuka
 
Kwani mnakuwa mnajisikiaje, mbona si tukijua tunaona normal tu ni umalaya wenu?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Kuna hali huwa tunajisikia..hali ngumu sana..
Unahisi roho inatoka lakini haitoki...

Unahisi ni jioni, ila siyo jioni,
Unahisi giza ila siyo giza..

Unahisi njaa ila hakuna kinachopita mdomoni..
Usingizi hauji...

Ukipita mahali ukaona watu wanacheka, unahisi wanakucheka, unahisi wameshajua kila kitu..

Dunia unahisi kama vile imebadili mzunguko, juna uhisi limebaddili mwanga.

Unakaa tu ndani ukiwa mkiwa, kama una roho ndogo unajinyonga au unakunywa sumu, au unaua mtoto wa watu...

Mbaya zaidi ukishatombewa, nguvu za kiume zinaisha pale unapokutana na mkeo....Ukivhomeka dyudyu unakumbuka Msela naye alichomeka hapa, akapiga bao...basi dyudyu linalala.....hata ukilibust kwa betri ya gari ya 24v haliamki..

Hii hali mwanaume anaweza kuishi nayo mwezi moaka miezi..

Dada witnessj narudia tena, Kutombewa sikia tu...usiombe kutombewa...na usiombe ndugu yako wa kiume atombewe...
 
Acha kabisa. Kutombewa kunauma sana usiombe kabisa. Ukiwaza tu kwamba mke wangu anaweza chorongwa na mtu mwingine inauma sembuse kujua kabisa amechorongwa... Ila hao wamekutana wazinzi wote wapambane na hali yao tu. Kuacha mke sio kutatua tatizo wakae chini watafakari walipokosea then walee watoto...

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Acha ndugu yangu...Naomba sana hata nikitombewa nisijue...na wakija wambea kuniambia mkeo yupo gest fulani anachezea dyudyu, naomba nipate hekima za kutokwenda kwenye fumanizi, bali nipate hekima za kupakia nguo zake kwenye begi, nikodishw bajaji ipeleke kwao
 
Sasa hapa tatizo liko wapi? Si iko wazi kabisa mwanaume kuna angle anakwama, ndo nafasi yake inazibwa na hilo tango, lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na hiyo papuchi ikishazoe hilo tango, sahau kufukishwa kileleni na mwanaume huyu aliyeumbwa kwa mfano wa Mungu..[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji26][emoji26]
 
Kuna hali huwa tunajisikia..hali ngumu sana..
Unahisi roho inatoka lakini haitoki...

Unahisi ni jioni, ila siyo jioni,
Unahisi giza ila siyo giza..

Unahisi njaa ila hakuna kinachopita mdomoni..
Usingizi hauji...

Ukipita mahali ukaona watu wanacheka, unahisi wanakucheka, unahisi wameshajua kila kitu..

Dunia unahisi kama vile imebadili mzunguko, juna uhisi limebaddili mwanga.

Unakaa tu ndani ukiwa mkiwa, kama una roho ndogo unajinyonga au unakunywa sumu, au unaua mtoto wa watu...

Mbaya zaidi ukishatombewa, nguvu za kiume zinaisha pale unapokutana na mkeo....Ukivhomeka dyudyu unakumbuka Msela naye alichomeka hapa, akapiga bao...basi dyudyu linalala.....hata ukilibust kwa betri ya gari ya 24v haliamki..

Hii hali mwanaume anaweza kuishi nayo mwezi moaka miezi..

Dada witnessj narudia tena, Kutombewa sikia tu...usiombe kutombewa...na usiombe ndugu yako wa kiume atombewe...
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Kuna hali huwa tunajisikia..hali ngumu sana..
Unahisi roho inatoka lakini haitoki...

Unahisi ni jioni, ila siyo jioni,
Unahisi giza ila siyo giza..

Unahisi njaa ila hakuna kinachopita mdomoni..
Usingizi hauji...

Ukipita mahali ukaona watu wanacheka, unahisi wanakucheka, unahisi wameshajua kila kitu..

Dunia unahisi kama vile imebadili mzunguko, juna uhisi limebaddili mwanga.

Unakaa tu ndani ukiwa mkiwa, kama una roho ndogo unajinyonga au unakunywa sumu, au unaua mtoto wa watu...

Mbaya zaidi ukishatombewa, nguvu za kiume zinaisha pale unapokutana na mkeo....Ukivhomeka dyudyu unakumbuka Msela naye alichomeka hapa, akapiga bao...basi dyudyu linalala.....hata ukilibust kwa betri ya gari ya 24v haliamki..

Hii hali mwanaume anaweza kuishi nayo mwezi moaka miezi..

Dada witnessj narudia tena, Kutombewa sikia tu...usiombe kutombewa...na usiombe ndugu yako wa kiume atombewe...
Mwanaume anaathirika sana kisaikolojia, sema hawa wadada hawajui tu.

Nadhani ndo maana hata biblia imeruhusu kumuacha mke kwa habari ya uzinzi
 
Mleta mada mimi kila nikifikiria pale kwenye ameamka na kwenda zake kazini tu

mwili wote unakufa ganzi 🙆‍♀️ 🙆‍♀️ 🙆‍♀️ 🙆‍♀️ 🙆‍♀️ 🙆‍♀️ 🙆‍♀️
 
Mkuu mi sijaoa,

Lakini nashauri Umsamehe mwenzio mkae muishi pamoja na kulea watoto.

Kwa sababu kama kucheat na wewe ulicheat, kama kuumia nae aliumia the same sasa tazama usaliti wake ni kama malipo ya dhambi zako. Ukijitazama peke yako utaishia kuwatesa watoto tu kaka.

Katika Uandishi wako umeonekana kuwa Objective sana naamini utanisikiliza.

Tubu, Tulia na mkeo, msihi nae atulie mjenge Familia yenu.
Kumbe hata ambao hamjaoa mnajua hongera mkuu
 
Kumbe hata ambao hamjaoa mnajua hongera mkuu
Ndoa zina mambo mengi sana ya kupitia na nyakati nyingi tofauti, ukute ata uyo anayeshauri anaishi na mkewe uku kukiwa na rumours baadhi ya watoto sio wake lakini hana mpango wa kuachana na mkewe, wengi wanakurupuka na ushauri wa kuachana bila kuangalia pande zote mbili na watoto walionao wataishi katika hali gani, nafikiri ata wakisameheana wakaishi watakuwa na mwanzo mzuri wa amani ndani ya ndoa yao adi kuzeeka pamoja
 
Ila kwann sisi wanaume tunapenda kukomaa sana tukifumania,,
Mimi najijua napiga nje mkewako akipigwa nje ata kimas hara bahati mbya mtu huelewi,,
Aisee mimi kuna mazingira flani ivi nkiona sjachapiwa kwa dharau kuchokonoa kwangu mambo ndo kumefanya nmejua alaf kajutia kosa lake,,na skuti af lyf linasonga fresh.,
Wanawake watu flani ukishamstukia mara moja ukatumia kosa lake kama fimbo aisee atakunyenyekea maisha yote.
Sf mkuu kuna watu wanataka wanawake wafanye mambo ambayo wao hawawezi halafu unamwacha kesho mnakutana kupasha kiporo
 
Baada ya mimi kurudi home siku ambayo wife hakutarajia ntarudi ,sikumkuta nyumbani na nilipompigia simu yy alijibu yupo home anaangalia tamthilia.

Nimekaa kuanzia saa moja usiku mpka saa sita usiku ndio anatokea,
Alipatwa na kama bumbuwaz hiv hakuamin km nipo home nilimnasa vibao akadondoka chin na kuomba nimsamehe haja fanya chochote kibaya

Nilimsikiliza lakin hakuwa na hoja yeyote ambayo inarizisha ukamwelewa yeye alisimamia msimamo wake huo alikuwa kwa shoga yake walikuwa wanaangalia muvi ndio maana kachelewa.

Alivyofika tu chakwanza kawahi kuchukua ndoo aende bafun akaoge niliamin kweli tayar kashaliwa
Sikumkagua huko chin sikuona km kuna haja ya kufanya hivo maana ni km uzalilishaji jibu linaonyesha tu ametoka kuliwa,alivyo maliza kuoga ,

Nikachukua simu yake na kumwambia toa password akawa hataki nikapiga ngumi ya uso akatoa password niliyo yakuta humo unaeza kuzimia,

Moja nikaenda kwny calls nikakutana na calls za jamaa za saa kumi na mbili kamili jion

Pili hamna calls hata moja inayo husisha rafiki yake inayo onyesha jana waliwasiliana kukutana

Tatu kwny whasp msg nikakutana na zajamaa pia na waliplan toka saa tano asubuh nilitaka niziweke humu but nimeshindwa kuweka ila ilikuwa km hivi

Jamaa:hey beautiful missed you

Mke: hey baby missing you more

Jamaa: missed your voice sana

Mke : thanks uko free leo?
Jamaa: yes tuonane bas please
Mke😱k ntakwambia.

Hiyo ilikuwa mida ya saa tano hivi asubuh hapa nakumbuka wife alipiga simu km mara 3 nikawa sikupokea nilikuwa kwny bus narud Dar na nililala nikakuta tu msg anasema
Hey baby nataka kujua unaendeleaje na unarudi lin? hapo nilimjibu Jmos usiku hiv akasema poa

Kwny saa kumi na mbili alimtafuta jamaa tena

Mke : hey uko wap tunakutana wap?
Jamaa:maaeneo ya studio kuna sehem inaitwa garden nini sijui..
Mke😛oa

Mke mida hiyo ndio kaenda na calls za jamaa ni kama saa 1830hrs nafikir alikuwa akimwelekeza

Yote hayo na msg zote hizo bado wife hajakubali km alikuwa kwa jamaa amekataa katakata

Msela aliye kutana nae kamsave LivingStone nakumbuka wakati tunakaa kijitonyama tulipanga nyumba moja na rafiki zake Mallow walikuwa wakiimba hapo na kuvuta bangi tu ile nyumba tulikuja kuhama hata kodi haijaisha na sikujua haswa tatizo nini pale ila alisistiza tu tuhame maji ni shida , nikasema poa nilitafta sehem nyingine nikalipa

Pale tukapangisha mwingine, mke alikuwa akiwasifia sifia anasema wajua kuimba ila bado hawajatoka kimziki but sikumzingatia ila namba
Wamepeana huko na ukichek jamaa ni yupo yupo anahaso na mziki mambo ya gym Bangibangi tu

Ila ndio hivo kila kitu kinamwisho wakuu akili kwangu kichwani wife kaliwa na and aground wa mziki sijui kwann wanawake wanapenda masela tu mambo ya gym nashangaa sana mtu kama huyo kuvunja ndoa yangu nipo nae toka 2016,

Wakuu ambo mko kwny ndoa mnanishaur nini?
hapa itabidi kutumia busara sana nmefanya nae vitu vingi na huyu manzi leo huu analiwa kimasihara tu inauma sana,

Cha kushangaza alimpigia simu jamaa ,alivyopokea tu jamaa inaonyesha ni wapenz na jamaa alikana ndio ww sio mpenz wangu but sio lazima niwe mpenz wako ndio ufanye .

Watoto wangu wawili mdogo ana 2years na mkubwa 4years wataishi bila Baba na mama pamoja inauma ila ndio itabid iwe hivo

Sintafanya haraka ntamwacha hapa kwny hii nyumba mimi ntaenda kupanga kwingine but watoto wangu atabaki nao yeye bado ni wadogo na ntafocus kuwahudumia na kuwasomeshe but
Itakuwa ngum sana kuwa nae tena wife haswa unapojua ameliwa na mtu wa dizan gan

Usaliti ni kitu kibaya sana wakuu leo hii Livingstone anavunja ndoa yangu hivhiv naona na katika kuchepuka kote sijawahi toka na mke wa mtu Kwann lkn imetokea kwangu?

Story hii ni ya kweli Mungu shahid hakuna nilipo ongeza japo sijaweza kuongea yote yalio tokea sintomaliza,

Hoja zake kubwa
1/ alifanya hivo kujifrahisha nafsi na haimaanishi alienda kwa jamaa
2/Kanitajia wanawake ambao yeye anahis mimi natoka nao katika hao mmoja niyule mchepuko wangu which is true
3/ jana alitoka kwenda kwarafiki yake kwa kuwa aliboreka home alikuwa alone

Hapaameamka na kwenda zake kazin na ubaya tunafanya sehem mmoja kaz,

Imeniuma sana wakuu sijalala kabisa leo hii iskie tu kwa mtu

Nawasilisha mtanisamehe kwa uandish nimevurugwa sana.

Unashauriwa kusoma kisa kilichotangulia: Leo nahisi mke wangu anachepuka huko alipoenda
Njia mzuri ya kufanya wapende watoto wako usiwaache utawatesa. Hakuna kitu kizuri kama kuka baba na mama na watoto wako. Mtafute rafiki yake au jamaa yake wa karibu mtafune utasahau machungu yote. Yamenitokea nikafanya hivyo nikapata amani maisha yanaendelea.
 
Ndoa zina mambo mengi sana ya kupitia na nyakati nyingi tofauti, ukute ata uyo anayeshauri anaishi na mkewe uku kukiwa na rumours baadhi ya watoto sio wake lakini hana mpango wa kuachana na mkewe, wengi wanakurupuka na ushauri wa kuachana bila kuangalia pande zote mbili na watoto walionao wataishi katika hali gani, nafikiri ata wakisameheana wakaishi watakuwa na mwanzo mzuri wa amani ndani ya ndoa yao adi kuzeeka pamoja
Mungu akubariki mkuu nakutabiria ustahimilivu ktk ndoa mda ukifika
 
Kuna kauli inasema simba akishaonja damu ya binadamu hawezi kuacha kuitafuta. Piga chini hana sababu ya msingi. Issue sio kwamba alilala na nani?
 
Back
Top Bottom