Mrejesho: Msaada, nataka kujiua, shukrani wana JF kwa msaada wenu mkubwa

Aiseee ushuhuda kama huu unanifanya nitoe machozi hakika Mungu wetu ni mkuu..

Na amekufanya uwe kichwa na amebariki kazi ya mikono yako..

Usiache kumsifu na kumtukuza m happy for you bro like for real hii story imenigusa sanah japo sikujui na machozi yamenitoka
 
Mungu anabaki kua Mungu. Ubarikiwe mkuu
 
Aisee umeniongezea nguvu ya maombi, umenifanya niendelee kuamini iko siku na mimi atanipa mtoto, Barikiwa sana
Pole sana Mama. Mungu ni tumaini la waliopoteza tumaini. Endelea kumtumainia.
 
Sasa nimeelewa kumbe nina wengine humu huwa wanaleta mada na kuchangia mada wakiwa abnormal
 
Pole sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…