Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amen mkuu. Mungu akubariki kwa jina la YesuMungu aendelee kukubariki. Amen
Amen mkuu. Mungu akubariki kwa jina la YesuMungu aendelee kukubariki. Amen
Utapeli kwa lipi? Hii post inamtapelije mtu kwa mfano? Na wafuasi wapi hao?mhhh harufu ya utapeli, unatafuta wafuasi au?
Mkuu, nilikua nitumie dawa zile hadi naingia kaburini, ubongo ulikua na shida, baada ya maombi, nilipimwa na ubongo kukutwa sawa, kitu ambacho madaktar wenyewe walikiri hawaelewi imekuaje na sikuendelea na dawa tena huu ni mwaka wa NNE. Ni Mungu aliniponya, hii case ilishindikana kidaktari.
UTUKUFU WOTE KWA YESU KRISTO!!!
Sasa unamshukuru yesu au Mungu?Mkuu, nilikua nitumie dawa zile hadi naingia kaburini, ubongo ulikua na shida, baada ya maombi, nilipimwa na ubongo kukutwa sawa, kitu ambacho madaktar wenyewe walikiri hawaelewi imekuaje na sikuendelea na dawa tena huu ni mwaka wa NNE. Ni Mungu aliniponya, hii case ilishindikana kidaktari.
UTUKUFU WOTE KWA YESU KRISTO!!!
Namshukuru nilie mwomba na akaniponya mkuu, Mungu baba katika jina la Yesu Kristo, ambaye ni Mungu mwanaSasa unamshukuru yesu au Mungu?
Mkuu, nilikua nitumie dawa zile hadi naingia kaburini, ubongo ulikua na shida, baada ya maombi, nilipimwa na ubongo kukutwa sawa, kitu ambacho madaktar wenyewe walikiri hawaelewi imekuaje na sikuendelea na dawa tena huu ni mwaka wa NNE. Ni Mungu aliniponya, hii case ilishindikana kidaktari.
UTUKUFU WOTE KWA YESU KRISTO!!!
Amen, anastahili hakikaGood news, Sifa na utukufu ni kwa aliye Juu.