Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kanike ka ng'wana malinde nkoiMsukuma hata akipata Ph.D ya Kemia usomi wake nina shaka nao.
Ahene nabhona watola kaanike ka ng'wani ako angoo?
mwangaruka nkoi, uleho?mwangaluka vava
Katiba yako inasema ni muda gani ndio nastahili kupata?Kamata fursa hiyo ya toto la kisukuma... wiki mbili tu unaweza kufanikiwa kama blaza ake alivyofanikiwa...
Yee, aleyooo babehi.kanike ka ng'wana malinde nkoi
Katiba yako inasema ni muda gani ndio nastahili kupata?Kamata fursa hiyo ya toto la kisukuma... wiki mbili tu unaweza kufanikiwa kama blaza ake alivyofanikiwa...
PS: Kwa mnaotusema vibaya, kwamba haiwezekani kufall in love ndani ya wiki 2, endeleeni na imani zenu. Naomba msubiri picha na kadi za mialiko ya harusi. Pia nipo kwenye mawasiliano na uongozi wa JF kuhusu utaratibu uliopo wa kuconfirm couple wa JamiiForums. Mimi na mwenzangu tunaamini upendo ni upendo, hauna kipimo cha muda. Kama wewe unaamini ni lazima ukae miezi 2 au 6 ndio ujue kuwa flani ni mke/mme wako. Follow what you believe, don't judge others.Na ujue kajoin2017 /katengeneza ID 2017 na keshampata mke mwema
Ndio mkuu.Kumbe huwa mnapata kweli
PS: Kwa mnaotusema vibaya, kwamba haiwezekani kufall in love ndani ya wiki 2, endeleeni na imani zenu. Naomba msubiri picha na kadi za mialiko ya harusi. Pia nipo kwenye mawasiliano na uongozi wa JF kuhusu utaratibu uliopo wa kuconfirm couple wa JamiiForums. Mimi na mwenzangu tunaamini upendo ni upendo, hauna kipimo cha muda. Kama wewe unaamini ni lazima ukae miezi 2 au 6 ndio ujue kuwa flani ni mke/mme wako. Follow what you believe, don't judge others.Du,mbona kama sijaelewa vile!!!Umetuaminisha kuwa umepata mke mwema ajabu ukasisitiza kuwa mnatarajia kwenda kwa wazazi kutambulishana mbona naona kama ni kile kipindi chetu pendwa cha lugha gongana!!!Maana nimesoma kwa makini andiko lako nikitegemea kujuwa ndoa imefungwa lini maana uchumba umesema ni mbele kwa mbele.Umri huna haja nao hata akilingana na mama yako twende tu,okay ni mawazo mazuri nakupongeza.
PS: Kwa mnaotusema vibaya, kwamba haiwezekani kufall in love ndani ya wiki 2, endeleeni na imani zenu. Naomba msubiri picha na kadi za mialiko ya harusi. Pia nipo kwenye mawasiliano na uongozi wa JF kuhusu utaratibu uliopo wa kuconfirm couple wa JamiiForums. Mimi na mwenzangu tunaamini upendo ni upendo, hauna kipimo cha muda. Kama wewe unaamini ni lazima ukae miezi 2 au 6 ndio ujue kuwa flani ni mke/mme wako. Follow what you believe, don't judge others.Mke mwema?
PS: Kwa mnaotusema vibaya, kwamba haiwezekani kufall in love ndani ya wiki 2, endeleeni na imani zenu. Naomba msubiri picha na kadi za mialiko ya harusi. Pia nipo kwenye mawasiliano na uongozi wa JF kuhusu utaratibu uliopo wa kuconfirm couple wa JamiiForums. Mimi na mwenzangu tunaamini upendo ni upendo, hauna kipimo cha muda. Kama wewe unaamini ni lazima ukae miezi 2 au 6 ndio ujue kuwa flani ni mke/mme wako. Follow what you believe, don't judge others.Hongera ndani ya siku ishirini umeshapata wa kukidhi vigezo
Kama ni kweli una bahati aisee ila umakini unahitajika kuna wengine waigizaji balaa usije ukaja na thread ya malalamiko
PS: Kwa mnaotusema vibaya, kwamba haiwezekani kufall in love ndani ya wiki 2, endeleeni na imani zenu. Naomba msubiri picha na kadi za mialiko ya harusi. Pia nipo kwenye mawasiliano na uongozi wa JF kuhusu utaratibu uliopo wa kuconfirm couple wa JamiiForums. Mimi na mwenzangu tunaamini upendo ni upendo, hauna kipimo cha muda. Kama wewe unaamini ni lazima ukae miezi 2 au 6 ndio ujue kuwa flani ni mke/mme wako. Follow what you believe, don't judge others.We acha tu... Nimecheka sana
PS: Kwa mnaotusema vibaya, kwamba haiwezekani kufall in love ndani ya wiki 2, endeleeni na imani zenu. Naomba msubiri picha na kadi za mialiko ya harusi. Pia nipo kwenye mawasiliano na uongozi wa JF kuhusu utaratibu uliopo wa kuconfirm couple wa JamiiForums. Mimi na mwenzangu tunaamini upendo ni upendo, hauna kipimo cha muda. Kama wewe unaamini ni lazima ukae miezi 2 au 6 ndio ujue kuwa flani ni mke/mme wako. Follow what you believe, don't judge others.Kamata fursa hiyo ya toto la kisukuma... wiki mbili tu unaweza kufanikiwa kama blaza ake alivyofanikiwa...
Asante La mujar🙂Waoo!!! Na umoende ivo milele... Moyo usukume damu kimadoido ivoivo till the end of you guys! Mungu awatangulie sana
yaani we acha tuWatu wanashindwa Kutofautisha Kati Ya 'LOVE' na 'CRUSH'..
Pole sana Mkuu
Mkuu acha sanifu.Kijana acha jamaa atumie fursa, tunataka serikali ya viwanda.
Asante mkuu, zimefika.Hongera mkuu!.Msalimie shemeji angu.
Ushindwe kwa jina la Yesu.Ukirud kwa uzi "KUMBE YULE DEMU SIO"
Ntakua wa kwanza kucomment.. *take care*
Sio huyo. Ni mtu na heshima zake, asante.Kama uliyempata ni Richaabra, hesabu umeliwa...