Mrejesho mtaji wa laki 3: Nimeamua kuuza biashara ya matunda na genge

Mrejesho mtaji wa laki 3: Nimeamua kuuza biashara ya matunda na genge

Ni nmeamua sasa kuuza biashara ya Matunda Na genge mpaka sasa nmefatilia process ya kupata eneo nmepata sasa nafatilia utengenezaji wa Banda la kawaida Tu ambalo naomb Mungu lisimalize laki moja
Nlikushauri option tatu nashukuru mbili umezizingatia! Kuhusu meza sijajua location uliyopo ila kama ungekua dar 🤔🤔 kariakoo meza ni 60000 kwa mwezi
 
hongera..ungesema ni nani! ..pole sana
Lina uwizi wa kibouyah
😂😂
Huu wizi ulinikuta 2019…nimetuma CV hazijapita hata nusu saa napewa jibu ati nimepata kazi… wakataja na gross salary, nyie nyieee

Mie nikashtuka,, mbona imekuwa rahisi hivi? haya mara simu hii hapa inapigwa, kupokea naambiwa ofisi ziko Posta, kukata ticket za ndege.. nimechaguliwa sbb ndo fresh from school akili bado iko on point nitafundishika kirahisi.
😂😂
Mara ooh kuna pesa unatakiwa utume za uniform… nikasema sawa, ongea na mlezi wangu huyu umpe gharama zote, nikapasi simu kwa bro. Ni bro akawaambia fanyeni kila kitu mshahara wake wa kwanza mtauchukua wote.
🤣🤣 wakakata simu, baadae wakapiga wakaanza kunichamba.
 
Habari Za uzima Wana jamii wenzangu Mimi ni Yule mdada nilieleta wazo langu kuhusu biashara Kwa mtaji mdogo WA laki tatu Tu..mashukuru nmepata mawazo mazuri nmefatilia Kwa utulivu nanimesoma maoni ya kila mtu ..maoni yangu Ni nmeamua sasa kuuza biashara ya Matunda Na genge mpaka sasa nmefatilia process ya kupata eneo nmepata sasa nafatilia utengenezaji wa Banda la kawaida Tu ambalo naomb Mungu lisimalize laki moja Na mtaji wangu Nataka ubaki Kama laki moja Tu iyo ndo nitaanza nayo matengenezo mengin ntatengeneza Kadri Mungu atavyonijalia Asante San mmenifungua mawazo nilikuwa Nawaz Sana ...kitu chakufanya kila nikiwaza nashindwa kutoka Na mtaji kuwa Ni changamoto.. NB tuweni Makini umu ndani sio wote wema wakati nipo kwenye mchakato alitokea mtu uku DM akahaidi kunipa kazi nilifurahi Sana kazi yenyew Ni ya sheli Na akadai IPO arusha Kama kawaida mimi nilimsikiliza ..akaniunganisha Na meneja feki ILi wanitapeli ela Ni story ndefu siwez kueleza Lakin mwisho wa siku uyu boss akaomb ela ya uniform Kama sh laki 1 Na elf 30 ..Dah Mungu Yuko upande wangu sikufanikiwa kutuma nadhani ningetuma Leo ningekuwa Na majonzi mapya ...my take ..mtu kaomba ushauri afanye nini ILi ajikomboe Na Maisha Na utegemezi sasa usiwe Tena chanzo cha kumrudisha nyuma uyu mtu Asanteni Na nawatakia siku njema
Aisee!
Matapeli hayana huruma!

Yaani pamoja na ufinyu mtaji bado mtu anataka atapeli hapohapo!
Petro stations uniform huwa zinatolewa bure.

Hebu wataje hao matapeli.

All the best,
Ngoja na Mimi nipitie huo Uzi wako ambao wadau wametoa maoni ya biashara.
 
Back
Top Bottom