Village-in
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 2,184
- 4,517
Wewe mweke wazi tu,hata kama atabadiri I'd lakini angalau hata huko tutaujua tu mwandiko wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angemtaja tu huyo ni kibaka kama vibaka wengine tu.Yaan ni dhambii
😂😂😂 wana walitaka kupita na pesa ya dada ya mtaji ‘300k
Amemtaja mbonaWewe mweke wazi tu,hata kama atabadiri I'd lakini angalau hata huko tutaujua tu mwandiko wake
Nlikushauri option tatu nashukuru mbili umezizingatia! Kuhusu meza sijajua location uliyopo ila kama ungekua dar 🤔🤔 kariakoo meza ni 60000 kwa mweziNi nmeamua sasa kuuza biashara ya Matunda Na genge mpaka sasa nmefatilia process ya kupata eneo nmepata sasa nafatilia utengenezaji wa Banda la kawaida Tu ambalo naomb Mungu lisimalize laki moja
Anatumia Jina la wiztech umu jf[emoji23][emoji23][emoji23] ilaa watu… haya huyo tapeli popote alipo tunamsabahi.
Ana utapeli wa kishamba
Sasa zile uniform za sheli ndo zinacost 130k??
Hajajua hata kucheza na uhalisia.. em litaje kwanze walipopoe
Yuko huko juu?Amemtaja mbona
Anasema anaitwa wiztechYuko huko juu?
Kwa jina hilo maana yake huyu njemba ni mwizi pia wa kutumia tecnology yaani mtandao. Ndio wale wa tuma humu.Anasema anaitwa wiztech
wiztech njoo hapa tapeli mkubwa wewe kudadeki zako, utanitambua leo kubababako, unataka kutapeli 130k kudadeki.Abatumia Jina la wiztech umu jf
Lina uwizi wa kibouyahhongera..ungesema ni nani! ..pole sana
😅😅😅😅🤔Kwa jina hilo maana yake huyu njemba ni mwizi pia wa kutumia tecnology yaani mtandao. Ndio wale wa tuma humu.
Jina linaendana na utapeli wake 😁Anatumia Jina la wiztech umu jf
Kuna watu hawawezi badili miandikoWewe mweke wazi tu,hata kama atabadiri I'd lakini angalau hata huko tutaujua tu mwandiko wake
ashatajwa mzee tapeli ni wiztech litafute uliibie kimasiharahuyo tapeli ukificha ID YAKE NA WEWE NI MNAFIKI NA MUONGO.
Aisee!Habari Za uzima Wana jamii wenzangu Mimi ni Yule mdada nilieleta wazo langu kuhusu biashara Kwa mtaji mdogo WA laki tatu Tu..mashukuru nmepata mawazo mazuri nmefatilia Kwa utulivu nanimesoma maoni ya kila mtu ..maoni yangu Ni nmeamua sasa kuuza biashara ya Matunda Na genge mpaka sasa nmefatilia process ya kupata eneo nmepata sasa nafatilia utengenezaji wa Banda la kawaida Tu ambalo naomb Mungu lisimalize laki moja Na mtaji wangu Nataka ubaki Kama laki moja Tu iyo ndo nitaanza nayo matengenezo mengin ntatengeneza Kadri Mungu atavyonijalia Asante San mmenifungua mawazo nilikuwa Nawaz Sana ...kitu chakufanya kila nikiwaza nashindwa kutoka Na mtaji kuwa Ni changamoto.. NB tuweni Makini umu ndani sio wote wema wakati nipo kwenye mchakato alitokea mtu uku DM akahaidi kunipa kazi nilifurahi Sana kazi yenyew Ni ya sheli Na akadai IPO arusha Kama kawaida mimi nilimsikiliza ..akaniunganisha Na meneja feki ILi wanitapeli ela Ni story ndefu siwez kueleza Lakin mwisho wa siku uyu boss akaomb ela ya uniform Kama sh laki 1 Na elf 30 ..Dah Mungu Yuko upande wangu sikufanikiwa kutuma nadhani ningetuma Leo ningekuwa Na majonzi mapya ...my take ..mtu kaomba ushauri afanye nini ILi ajikomboe Na Maisha Na utegemezi sasa usiwe Tena chanzo cha kumrudisha nyuma uyu mtu Asanteni Na nawatakia siku njema