Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeeAbatumia Jina la wiztech umu jf
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lina uwizi wa kibouyah
[emoji23][emoji23]
Huu wizi ulinikuta 2019…nimetuma CV hazijapita hata nusu saa napewa jibu ati nimepata kazi… wakataja na gross salary, nyie nyieee
Mie nikashtuka,, mbona imekuwa rahisi hivi? haya mara simu hii hapa inapigwa, kupokea naambiwa ofisi ziko Posta, kukata ticket za ndege.. nimechaguliwa sbb ndo fresh from school akili bado iko on point nitafundishika kirahisi.
[emoji23][emoji23]
Mara ooh kuna pesa unatakiwa utume za uniform… nikasema sawa, ongea na mlezi wangu huyu umpe gharama zote, nikapasi simu kwa bro. Ni bro akawaambia fanyeni kila kitu mshahara wake wa kwanza mtauchukua wote.
[emoji1787][emoji1787] wakakata simu, baadae wakapiga wakaanza kunichamba.
Angemalizia tu aitwe wizitechHehee
Wiztech? Wizi.. afu tech
So anafanya wizi wa kitechnolojia [emoji23][emoji23][emoji23]
wiztech bro njoo basi tukuongezee technique zingine
sawa nikija dar ntakujuzaAsante Sana mm nipo dar
Asije akawa yule alienipa mchongo niende Zanzibar na laki moja n elfu Tano 🥴Mfichue kabisa ili asizidi kitapeli wengine.
nani huyo mfichue na wewe tumjueAsije akawa yule alienipa mchongo niende Zanzibar na laki moja n elfu Tano 🥴
Thread closed!Kuna Watu Wana roho mbaya sana.
Hongera sana Kwa kuthubutu.
Hahaha😃😃Naomba usinitaje mkuu nitaficha wap sura yangu😭
Mods wana utaratibu mzuri tu wa kuwafutia account matapeli, niliona kuna mmoja alikuwa anajifanya muhitaji anaomba msaada anasaidiwa hata mimi pia nilimsaidia, akalalamikiwa na watu kuwa ni tapeli Id yake ilifungiwa.Abatumia Jina la wiztech umu jf
Nadhani atakua ni ambaye ninamfikiria na Mimi, maana hata nikimtag nowadays simuoniMods wana utaratibu mzuri tu wa kuwafutia account matapeli, niliona kuna mmoja alikuwa anajifanya muhitaji anaomba msaada anasaidiwa hata mimi pia nilimsaidia, akalalamikiwa na watu kuwa ni tapeli Id yake ilifungiwa.
mi simwonei aibu maana alikula hela yangu kwa kujifanya muhitaji, alikuwa anaitwa Daynamo na Id yake ikaja kuunganishwa na Mkogoti, huwa wanakuwa na Id nyingi anajifanya anakurefer kwa mtu mwingine kumbe ndiyo yeye huyohuyo.Nadhani atakua ni ambaye ninamfikiria na Mimi, maana hata nikimtag nowadays simuoni
Ila hapo anaweza jitetea kwambaIzo Ni bahadhi ya chati zake ninyingi Sana View attachment 2819635View attachment 2819636
Yaani kwake siambiwi wala siskii neno hata waifu anajua🤣Mzoze
Mzozane
Kuna mtu aliweka tangazo la kazi Zanzibar hapa nikatuma macv. Ila jamaa wako serious mana ofisin Yao Ina location. Nimefatilia ofisin ni ya ulinzinani huyo mfichue na wewe tumjue
Binaadamu tunaishi kwa kutegemeana, si kutegemea.Habari Za uzima Wana jamii wenzangu Mimi ni Yule mdada nilieleta wazo langu kuhusu biashara Kwa mtaji mdogo WA laki tatu Tu..mashukuru nmepata mawazo mazuri nmefatilia Kwa utulivu nanimesoma maoni ya kila mtu ..maoni yangu Ni nmeamua sasa kuuza biashara ya Matunda Na genge mpaka sasa nmefatilia process ya kupata eneo nmepata sasa nafatilia utengenezaji wa Banda la kawaida Tu ambalo naomb Mungu lisimalize laki moja Na mtaji wangu Nataka ubaki Kama laki moja Tu iyo ndo nitaanza nayo matengenezo mengin ntatengeneza Kadri Mungu atavyonijalia Asante San mmenifungua mawazo nilikuwa Nawaz Sana ...kitu chakufanya kila nikiwaza nashindwa kutoka Na mtaji kuwa Ni changamoto.. NB tuweni Makini umu ndani sio wote wema wakati nipo kwenye mchakato alitokea mtu uku DM akahaidi kunipa kazi nilifurahi Sana kazi yenyew Ni ya sheli Na akadai IPO arusha Kama kawaida mimi nilimsikiliza ..akaniunganisha Na meneja feki ILi wanitapeli ela Ni story ndefu siwez kueleza Lakin mwisho wa siku uyu boss akaomb ela ya uniform Kama sh laki 1 Na elf 30 ..Dah Mungu Yuko upande wangu sikufanikiwa kutuma nadhani ningetuma Leo ningekuwa Na majonzi mapya ...my take ..mtu kaomba ushauri afanye nini ILi ajikomboe Na Maisha Na utegemezi sasa usiwe Tena chanzo cha kumrudisha nyuma uyu mtu Asanteni Na nawatakia siku njema