kwa hivyo vichache tu? tayari sina changu. Akiongeza nitakua siruhusiwi hata kuchangia kwenye huu uzi.Sawa binamu, unaogopa akiongeza vigezo utajikuta umetolewa kwenye kinyang'anyiro[emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Chura iwe chura kwer,isiwe kichurachura..ngoja nije.
Walikuwa wengi nikashindwa kuchaguaMe sijakuelewa kwa hiyo hizo pm nyingi ulizopata bado ulikosa.
Labda ungesema waliokuja walikuja huku wakijua fika vigezo hawana au ulikutana na nini?
Hauko serious kumbe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] binamu bwanakwa hivyo vichache tu? tayari sina changu. Akiongeza nitakua siruhusiwi hata kuchangia kwenye huu uzi.
Hapa ndipo unapotaka kukwama mdogo wangu.Asiwe na zile mitazamo za kiafrica ili tusiwe na migogoro( only great thinker will understand)
Oh! A scientist must be precise my dear. Kutafuta mchumba ni risk sana, si rahisi ila wachumba hupatikana kimasihara tu. Kama huna mtoto ni afadhali ila ukiwa naye, ni shughuli pevu
kiduku wala mambo yanayofanana na hayo
[emoji38][emoji38][emoji38]Kila la kheri mkuu, ikiwa itamoendeza Mungu akupe wepesi kwa hitaji la moyo wako.
Karibu sana Dodoma, kama haujapata nyumba usihofu kunisemesha.
Kuna nyumba inapangishwa, ipo umbali wa dakika 3 hadi kituo cha daladala, imezungushiwa ukuta na geti, ina mpangaji wa kushare nae (mtakuwa wapangaji wawili), nyumba ipo Nkuhungu karibu na St. Home school.
Karibu tena hapa Dom
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi we walikufanyaje kwani? Kila nikuonapo ni malalamiko tu
huyo kwenye avatar ni wewe?
Mara paaaa nmeusoma Uzi !!!Habari za muda huu wana jf
Miezi kadhaa iliyopita nilituma ujumbe hapa jukwaani kwa lengo la kutafuta mwenzio wa maisha, niseme tu nashukuru mana ujumbe ulipokelewa vema hakuna aliyenibeza kama wafanyiwavyo wengine lakini bahati nzuri au mbaya nilikuwa too general kitu ambacho kilipelekea kuwa na pm nyingi hata zingine si kuweza kufungua wala kujibu, (I'm sorry kama nitakuwa nimekosea kusema hayo).
Bado nahitaji kuwa serious relationship
Sifa zangu
Mkristo :Madhehebu ya protestant
Umri:27-30
Elimu:BSc.
Kazi:Nina mkataba wa kudumu
Ukanda:Kanda ya kaskazini
Rangi: Maji ya kunde
Urefu:Above 150
Body : Mwembamba
Nilikuwa dar es salaam kimakazi ila kwa sasa nitakuwa dodoma makazi mapya
Sifa za mwanaume ambaye nimekuwa nikimuomba
Asiwe mlevi au mnywaji wa pombe sigara, asiyependa tattoo, kiduku wala mambo yanayofanana na hayo(na Amini kila mtu ana vipaumbele vyake)
Mkristo mwenye hofu ya Mungu anayependa ibada na asiye na mambo mengi
Awe mtafutaji ambaye yupo tayari kushaurika
Inafaa awe na elimu kama yangu au anizidi kama elimu yake ipo chini awe mwenye kujiamini sana Asiwe na zile mitazamo za kiafrica ili tusiwe na migogoro( only great thinker will understand)
Hayo nafikiri yanatosha
Mungu naomba nisaidie nisikutane na mabaharia naomba pm aje mtu sahihi peke yake , amen
Karibu
Sent using Jamii Forums mobile app
56Nasu kaka yangu nje ya JF anaulizia uzito wako...kama.hutojali.