Mrejesho: Mume wangu nimechoka kukusubiri

Mrejesho: Mume wangu nimechoka kukusubiri

1. Non Drinker

2. Non Smoker

3. Si Mtokaji sana ( Ingawa I sometimes rarely do it when i'm stressed )

4. Siyo Shabiki saaana wa mpira.

5. Elimu | Diploma | Kazi Mlinzi | Makazi Dar | Asili Butiama, Mara | Kabila Zanaki

6. Umri 30.

7. Umbo | Mwembamba | Mrefu Mweusi Kiasi | Lafudhi ya Kizanaki

NiPM | If Serious.
 
Asiwe na zile mitazamo za kiafrica ili tusiwe na migogoro( only great thinker will understand)
Hapa ndipo unapotaka kukwama mdogo wangu.
Narudia kukunukuu "only great thinker will understand", yaani wewe kama GT utanielewa hapo kwanini ukwame kwa kuhitaji mume mwafrika ambae hatakiwi kuwa na mtazamo wa kiafrika wakati amezaliwa na kulelewa na waafrika.

Zaidi ya 90% ya tabia na mitazamo yetu inakuwa ina shabihiana na malezi au mazingira tuliyokulia.
 
Kila la kheri mkuu, ikiwa itamoendeza Mungu akupe wepesi kwa hitaji la moyo wako.
Karibu sana Dodoma, kama haujapata nyumba usihofu kunisemesha.
Kuna nyumba inapangishwa, ipo umbali wa dakika 3 hadi kituo cha daladala, imezungushiwa ukuta na geti, ina mpangaji wa kushare nae (mtakuwa wapangaji wawili), nyumba ipo Nkuhungu karibu na St. Home school.
Karibu tena hapa Dom

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila la kheri mkuu, ikiwa itamoendeza Mungu akupe wepesi kwa hitaji la moyo wako.
Karibu sana Dodoma, kama haujapata nyumba usihofu kunisemesha.
Kuna nyumba inapangishwa, ipo umbali wa dakika 3 hadi kituo cha daladala, imezungushiwa ukuta na geti, ina mpangaji wa kushare nae (mtakuwa wapangaji wawili), nyumba ipo Nkuhungu karibu na St. Home school.
Karibu tena hapa Dom

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Habari za muda huu wana jf

Miezi kadhaa iliyopita nilituma ujumbe hapa jukwaani kwa lengo la kutafuta mwenzio wa maisha, niseme tu nashukuru mana ujumbe ulipokelewa vema hakuna aliyenibeza kama wafanyiwavyo wengine lakini bahati nzuri au mbaya nilikuwa too general kitu ambacho kilipelekea kuwa na pm nyingi hata zingine si kuweza kufungua wala kujibu, (I'm sorry kama nitakuwa nimekosea kusema hayo).

Bado nahitaji kuwa serious relationship
Sifa zangu
Mkristo :Madhehebu ya protestant
Umri:27-30
Elimu:BSc.
Kazi:Nina mkataba wa kudumu
Ukanda:Kanda ya kaskazini
Rangi: Maji ya kunde
Urefu:Above 150
Body : Mwembamba
Nilikuwa dar es salaam kimakazi ila kwa sasa nitakuwa dodoma makazi mapya

Sifa za mwanaume ambaye nimekuwa nikimuomba
Asiwe mlevi au mnywaji wa pombe sigara, asiyependa tattoo, kiduku wala mambo yanayofanana na hayo(na Amini kila mtu ana vipaumbele vyake)

Mkristo mwenye hofu ya Mungu anayependa ibada na asiye na mambo mengi

Awe mtafutaji ambaye yupo tayari kushaurika

Inafaa awe na elimu kama yangu au anizidi kama elimu yake ipo chini awe mwenye kujiamini sana Asiwe na zile mitazamo za kiafrica ili tusiwe na migogoro( only great thinker will understand)

Hayo nafikiri yanatosha

Mungu naomba nisaidie nisikutane na mabaharia naomba pm aje mtu sahihi peke yake , amen

Karibu






Sent using Jamii Forums mobile app
Mara paaaa nmeusoma Uzi !!!
 
Back
Top Bottom