Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio fear of unknown mkuu kaa kijasusi usikae kifala utapotea kwenye ramaniHili sasa liko beyond na hisia zangu na wala haliniumizi.......Never allow the fear of unknown in your life chief.....
Kwa hiyo we huamini wapo wake za watu wanaojielewa na wasiobeba grudges kama wewe?Mrejesho wa upande mmoja. Kwa kifupi umeamua kuwa boya ili ndoa idumu unafanya kila anachokitaka mkeo
Kwa hiyo we huamini wapo wake za watu wanaojielewa na wasiobeba grudges kama wewe?
"...............Kama mke wetu ................"Kaka kuwa makini, maana ng'ombe hunenepeshwa ili wafae siku ya kuchinjwa..
Jitahid not to lay off your guard maana huwez jua mamaa anawaza nini na anapanga kipi kichwani.
Kama huyu mke wetu hakua mchepukaji, niamini mimi hilo donda bado bichi kupona bado sanaaaa hivyo hawez kusamehe ghafla tu.
Kama mke wetu kakusamehe tu na yameisha basi chunguza sana sana sana mkuu wangu wa kazi, chunguza sana nini kinaendelea.
Naongea haya nikiwa kama nyani mtu mzima ambaye nishakwepa na bado nakwepa mishale mingi.
Watch out my friend mwanamke ana akili zilizojificha sana, kuzijua huhitaji haraka na kufanya haste conclusions.
Kuna njia ionekanayo sawa machoni pa mtu, ila mwishon huelekea kwenye maangamizi
Kila lakheri
DeepPond yeye anasemaje au mama J ndiye muamzi?Wakuu , nipende kuchukua nafasi hii kuwashukuru wote walionitia moyo kwa kunishauri katika changamoto hii niliyopitia nawashukuru wale wote pia mlionipondea na kunilaumu.
Kwa kweli niseme hili suala lilikuwa limepangwa na mungu litokee maana limetumika kama turning point katika maisha yangu, nimebadilika sana yaani katika hili ndo nimepata kujua kwamba michepuko Haina shukrani na daima haina cha kupoteza, nimejifunza michepuko inapoteza sana muda na pesa waweza firisika kupitia kwayo, nimejifunza pia tamaa ya mwili hata ufanye vipi huwezi kuisatisfy maana wanawake ni wengi wenye sifa na vigezo tofauti.
Mimi na mke wangu kwa sasa tunapendana sana, nimejishusha na nimebadilika kwa Vitendo, nawahi sana Kurudi home, Napata muda wa kukaa Naye ananisimulia umbea wa kazini kwake,tunakunywa na kula wote.
Suala la kitandani kabadilika sana ananipa utamu wa kutosha sana, hana tena visingizio mara nimechoka mara nitakupa kesho mara ooh mbona humalizi hayo mambo hana tena.
Ikitokea nikachelewa kurudi usiku atahakikisha nakula na yeye akiwepo pembeni yangu hata uwe usiku vipi huku tukipiga stori.
Michepuko yote nimefuta automatically afu cha ajabu yule mchepuko aliyekuwa namba moja features zake zote nzuri zimebadilika akawa nazo mke wangu afu yeye namuona si Mtamu tena kama wife, yaani mchepuko namuona hamna kitu tenaaa hvo Naye nimembwaga kwa sasa nainjoi kwa wife.
Kiufupi hili suala limekuwa chachu ya mabadiliko chanya katika maisha yangu binafsi na kwa ndoa yangu kwa ujumla.
Mungu hadeal na ujinga kama huoKwa kweli niseme hili suala lilikuwa limepangwa na mungu litokee
NaamKaka kuwa makini, maana ng'ombe hunenepeshwa ili wafae siku ya kuchinjwa..
Jitahid not to lay off your guard maana huwez jua mamaa anawaza nini na anapanga kipi kichwani.
Kama huyu mke wetu hakua mchepukaji, niamini mimi hilo donda bado bichi kupona bado sanaaaa hivyo hawez kusamehe ghafla tu.
Kama mke wetu kakusamehe tu na yameisha basi chunguza sana sana sana mkuu wangu wa kazi, chunguza sana nini kinaendelea.
Naongea haya nikiwa kama nyani mtu mzima ambaye nishakwepa na bado nakwepa mishale mingi.
Watch out my friend mwanamke ana akili zilizojificha sana, kuzijua huhitaji haraka na kufanya haste conclusions.
Kuna njia ionekanayo sawa machoni pa mtu, ila mwishon huelekea kwenye maangamizi
Kila lakheri
Kuacha michepuko ni kama kuacha kuingia JF.Wakuu , nipende kuchukua nafasi hii kuwashukuru wote walionitia moyo kwa kunishauri katika changamoto hii niliyopitia nawashukuru wale wote pia mlionipondea na kunilaumu.
Kwa kweli niseme hili suala lilikuwa limepangwa na mungu litokee maana limetumika kama turning point katika maisha yangu, nimebadilika sana yaani katika hili ndo nimepata kujua kwamba michepuko Haina shukrani na daima haina cha kupoteza, nimejifunza michepuko inapoteza sana muda na pesa waweza firisika kupitia kwayo, nimejifunza pia tamaa ya mwili hata ufanye vipi huwezi kuisatisfy maana wanawake ni wengi wenye sifa na vigezo tofauti.
Mimi na mke wangu kwa sasa tunapendana sana, nimejishusha na nimebadilika kwa Vitendo, nawahi sana Kurudi home, Napata muda wa kukaa Naye ananisimulia umbea wa kazini kwake,tunakunywa na kula wote.
Suala la kitandani kabadilika sana ananipa utamu wa kutosha sana, hana tena visingizio mara nimechoka mara nitakupa kesho mara ooh mbona humalizi hayo mambo hana tena.
Ikitokea nikachelewa kurudi usiku atahakikisha nakula na yeye akiwepo pembeni yangu hata uwe usiku vipi huku tukipiga stori.
Michepuko yote nimefuta automatically afu cha ajabu yule mchepuko aliyekuwa namba moja features zake zote nzuri zimebadilika akawa nazo mke wangu afu yeye namuona si Mtamu tena kama wife, yaani mchepuko namuona hamna kitu tenaaa hvo Naye nimembwaga kwa sasa nainjoi kwa wife.
Kiufupi hili suala limekuwa chachu ya mabadiliko chanya katika maisha yangu binafsi na kwa ndoa yangu kwa ujumla.
SIRUDI NASEMA SIRUDIKuacha michepuko ni kama kuacha kuingia JF.
UTARUDI TU! 😅😅😅😅
Huu ujumbe uzingatiwe, sio na wewe mtoa mada bali na kila mtu asiye na masikio ya ndani kabisa.... Hata mimi nina uzoefu mkubwa na haya yaliyoandikwa hapa si kwa kusimuliwa bali kwa kuyaishi na kujionea live kwa watu wangu wa karibuKaka kuwa makini, maana ng'ombe hunenepeshwa ili wafae siku ya kuchinjwa..
Jitahid not to lay off your guard maana huwez jua mamaa anawaza nini na anapanga kipi kichwani.
Kama huyu mke wetu hakua mchepukaji, niamini mimi hilo donda bado bichi kupona bado sanaaaa hivyo hawez kusamehe ghafla tu.
Kama mke wetu kakusamehe tu na yameisha basi chunguza sana sana sana mkuu wangu wa kazi, chunguza sana nini kinaendelea.
Naongea haya nikiwa kama nyani mtu mzima ambaye nishakwepa na bado nakwepa mishale mingi.
Watch out my friend mwanamke ana akili zilizojificha sana, kuzijua huhitaji haraka na kufanya haste conclusions.
Kuna njia ionekanayo sawa machoni pa mtu, ila mwishon huelekea kwenye maangamizi
Kila lakheri
YatapitaWakuu , nipende kuchukua nafasi hii kuwashukuru wote walionitia moyo kwa kunishauri katika changamoto hii niliyopitia nawashukuru wale wote pia mlionipondea na kunilaumu.
Kwa kweli niseme hili suala lilikuwa limepangwa na mungu litokee maana limetumika kama turning point katika maisha yangu, nimebadilika sana yaani katika hili ndo nimepata kujua kwamba michepuko Haina shukrani na daima haina cha kupoteza, nimejifunza michepuko inapoteza sana muda na pesa waweza firisika kupitia kwayo, nimejifunza pia tamaa ya mwili hata ufanye vipi huwezi kuisatisfy maana wanawake ni wengi wenye sifa na vigezo tofauti.
Mimi na mke wangu kwa sasa tunapendana sana, nimejishusha na nimebadilika kwa Vitendo, nawahi sana Kurudi home, Napata muda wa kukaa Naye ananisimulia umbea wa kazini kwake,tunakunywa na kula wote.
Suala la kitandani kabadilika sana ananipa utamu wa kutosha sana, hana tena visingizio mara nimechoka mara nitakupa kesho mara ooh mbona humalizi hayo mambo hana tena.
Ikitokea nikachelewa kurudi usiku atahakikisha nakula na yeye akiwepo pembeni yangu hata uwe usiku vipi huku tukipiga stori.
Michepuko yote nimefuta automatically afu cha ajabu yule mchepuko aliyekuwa namba moja features zake zote nzuri zimebadilika akawa nazo mke wangu afu yeye namuona si Mtamu tena kama wife, yaani mchepuko namuona hamna kitu tenaaa hvo Naye nimembwaga kwa sasa nainjoi kwa wife.
Kiufupi hili suala limekuwa chachu ya mabadiliko chanya katika maisha yangu binafsi na kwa ndoa yangu kwa ujumla.
