MREJESHO: Nahisi nimeharibu ndoa yangu na sitarajii kama amani itakuwepo tena nyumbani kwangu. Simu imeniumbua!

MREJESHO: Nahisi nimeharibu ndoa yangu na sitarajii kama amani itakuwepo tena nyumbani kwangu. Simu imeniumbua!

Wakuu , nipende kuchukua nafasi hii kuwashukuru wote walionitia moyo kwa kunishauri katika changamoto hii niliyopitia nawashukuru wale wote pia mlionipondea na kunilaumu.

Kwa kweli niseme hili suala lilikuwa limepangwa na mungu litokee maana limetumika kama turning point katika maisha yangu, nimebadilika sana yaani katika hili ndo nimepata kujua kwamba michepuko Haina shukrani na daima haina cha kupoteza, nimejifunza michepuko inapoteza sana muda na pesa waweza firisika kupitia kwayo, nimejifunza pia tamaa ya mwili hata ufanye vipi huwezi kuisatisfy maana wanawake ni wengi wenye sifa na vigezo tofauti.

Mimi na mke wangu kwa sasa tunapendana sana, nimejishusha na nimebadilika kwa Vitendo, nawahi sana Kurudi home, Napata muda wa kukaa Naye ananisimulia umbea wa kazini kwake,tunakunywa na kula wote.
Suala la kitandani kabadilika sana ananipa utamu wa kutosha sana, hana tena visingizio mara nimechoka mara nitakupa kesho mara ooh mbona humalizi hayo mambo hana tena.
Ikitokea nikachelewa kurudi usiku atahakikisha nakula na yeye akiwepo pembeni yangu hata uwe usiku vipi huku tukipiga stori.

Michepuko yote nimefuta automatically afu cha ajabu yule mchepuko aliyekuwa namba moja features zake zote nzuri zimebadilika akawa nazo mke wangu afu yeye namuona si Mtamu tena kama wife, yaani mchepuko namuona hamna kitu tenaaa hvo Naye nimembwaga kwa sasa nainjoi kwa wife.

Kiufupi hili suala limekuwa chachu ya mabadiliko chanya katika maisha yangu binafsi na kwa ndoa yangu kwa ujumla.
Michepuko utawarudia tu.

Time will tell [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ikitokea nikachelewa kurudi usiku atahakikisha nakula na yeye akiwepo pembeni yangu hata uwe usiku vipi huku tukipiga stori.


Awali umetuambia unawahi sana kurudi na anakusimulia umbea wa kazini kwao.

Hii ikitokea umerudi usiku unatoka wapi Tena?

Mkuu baada ya miezi3 naomba ulete mrejesho mwingine Tena hapa hpahapa na uni quotes
 
"...............Kama mke wetu ................"
considering the guy as we are brothers. Na kwa mila zetu wanyakyusa, mke wa kaka yako au mdogo ako ni sawa na mkeo ty na unawajibika kwake na watoto wake(watoto wa kaka yako au mdogo ako ki kwetu ni wanao kabisaa) isipokua tendo la ndoa tu.

Sina maana nyinginr mkuu! 😂
 
Wakuu , nipende kuchukua nafasi hii kuwashukuru wote walionitia moyo kwa kunishauri katika changamoto hii niliyopitia nawashukuru wale wote pia mlionipondea na kunilaumu.

Kwa kweli niseme hili suala lilikuwa limepangwa na mungu litokee maana limetumika kama turning point katika maisha yangu, nimebadilika sana yaani katika hili ndo nimepata kujua kwamba michepuko Haina shukrani na daima haina cha kupoteza, nimejifunza michepuko inapoteza sana muda na pesa waweza firisika kupitia kwayo, nimejifunza pia tamaa ya mwili hata ufanye vipi huwezi kuisatisfy maana wanawake ni wengi wenye sifa na vigezo tofauti.

Mimi na mke wangu kwa sasa tunapendana sana, nimejishusha na nimebadilika kwa Vitendo, nawahi sana Kurudi home, Napata muda wa kukaa Naye ananisimulia umbea wa kazini kwake,tunakunywa na kula wote.
Suala la kitandani kabadilika sana ananipa utamu wa kutosha sana, hana tena visingizio mara nimechoka mara nitakupa kesho mara ooh mbona humalizi hayo mambo hana tena.
Ikitokea nikachelewa kurudi usiku atahakikisha nakula na yeye akiwepo pembeni yangu hata uwe usiku vipi huku tukipiga stori.

Michepuko yote nimefuta automatically afu cha ajabu yule mchepuko aliyekuwa namba moja features zake zote nzuri zimebadilika akawa nazo mke wangu afu yeye namuona si Mtamu tena kama wife, yaani mchepuko namuona hamna kitu tenaaa hvo Naye nimembwaga kwa sasa nainjoi kwa wife.

Kiufupi hili suala limekuwa chachu ya mabadiliko chanya katika maisha yangu binafsi na kwa ndoa yangu kwa ujumla.
Kumbe naye mkeo amejirekebisha, haukusema kama alikuwa anakunyima, au kukuambia umalize haraka amechoka naye kwa upande wake ameshaelewa pengine hivyo vitendo vilipelekea ukatafuta plan B

Hongera sana, endeleeni mlipoishia, Yesu akamwambia yule mwanamke wala na mimi sikuhukumu enenda zako na usitende dhambi tena
 
Wakuu , nipende kuchukua nafasi hii kuwashukuru wote walionitia moyo kwa kunishauri katika changamoto hii niliyopitia nawashukuru wale wote pia mlionipondea na kunilaumu.

Kwa kweli niseme hili suala lilikuwa limepangwa na mungu litokee maana limetumika kama turning point katika maisha yangu, nimebadilika sana yaani katika hili ndo nimepata kujua kwamba michepuko Haina shukrani na daima haina cha kupoteza, nimejifunza michepuko inapoteza sana muda na pesa waweza firisika kupitia kwayo, nimejifunza pia tamaa ya mwili hata ufanye vipi huwezi kuisatisfy maana wanawake ni wengi wenye sifa na vigezo tofauti.

Mimi na mke wangu kwa sasa tunapendana sana, nimejishusha na nimebadilika kwa Vitendo, nawahi sana Kurudi home, Napata muda wa kukaa Naye ananisimulia umbea wa kazini kwake,tunakunywa na kula wote.
Suala la kitandani kabadilika sana ananipa utamu wa kutosha sana, hana tena visingizio mara nimechoka mara nitakupa kesho mara ooh mbona humalizi hayo mambo hana tena.
Ikitokea nikachelewa kurudi usiku atahakikisha nakula na yeye akiwepo pembeni yangu hata uwe usiku vipi huku tukipiga stori.

Michepuko yote nimefuta automatically afu cha ajabu yule mchepuko aliyekuwa namba moja features zake zote nzuri zimebadilika akawa nazo mke wangu afu yeye namuona si Mtamu tena kama wife, yaani mchepuko namuona hamna kitu tenaaa hvo Naye nimembwaga kwa sasa nainjoi kwa wife.

Kiufupi hili suala limekuwa chachu ya mabadiliko chanya katika maisha yangu binafsi na kwa ndoa yangu kwa ujumla.
Suala la muda tu..
 
Ikitokea nikachelewa kurudi usiku atahakikisha nakula na yeye akiwepo pembeni yangu hata uwe usiku vipi huku tukipiga stori.


Awali umetuambia unawahi sana kurudi na anakusimulia umbea wa kazini kwao.

Hii ikitokea umerudi usiku unatoka wapi Tena?

Mkuu baada ya miezi3 naomba ulete mrejesho mwingine Tena hapa hpahapa na uni quotes
Mkuu kuna nyakati nachelewa kurudi kutokana na nature ya kazi yangu au sometimes nikiamua kula zangu gambe
 
considering the guy as we are brothers. Na kwa mila zetu wanyakyusa, mke wa kaka yako au mdogo ako ni sawa na mkeo ty na unawajibika kwake na watoto wake(watoto wa kaka yako au mdogo ako ki kwetu ni wanao kabisaa) isipokua tendo la ndoa tu.

Sina maana nyinginr mkuu! 😂
Aisee nikajua unapiga 😂😂
 
Wakuu , nipende kuchukua nafasi hii kuwashukuru wote walionitia moyo kwa kunishauri katika changamoto hii niliyopitia nawashukuru wale wote pia mlionipondea na kunilaumu.

Kwa kweli niseme hili suala lilikuwa limepangwa na mungu litokee maana limetumika kama turning point katika maisha yangu, nimebadilika sana yaani katika hili ndo nimepata kujua kwamba michepuko Haina shukrani na daima haina cha kupoteza, nimejifunza michepuko inapoteza sana muda na pesa waweza firisika kupitia kwayo, nimejifunza pia tamaa ya mwili hata ufanye vipi huwezi kuisatisfy maana wanawake ni wengi wenye sifa na vigezo tofauti.

Mimi na mke wangu kwa sasa tunapendana sana, nimejishusha na nimebadilika kwa Vitendo, nawahi sana Kurudi home, Napata muda wa kukaa Naye ananisimulia umbea wa kazini kwake,tunakunywa na kula wote.
Suala la kitandani kabadilika sana ananipa utamu wa kutosha sana, hana tena visingizio mara nimechoka mara nitakupa kesho mara ooh mbona humalizi hayo mambo hana tena.
Ikitokea nikachelewa kurudi usiku atahakikisha nakula na yeye akiwepo pembeni yangu hata uwe usiku vipi huku tukipiga stori.

Michepuko yote nimefuta automatically afu cha ajabu yule mchepuko aliyekuwa namba moja features zake zote nzuri zimebadilika akawa nazo mke wangu afu yeye namuona si Mtamu tena kama wife, yaani mchepuko namuona hamna kitu tenaaa hvo Naye nimembwaga kwa sasa nainjoi kwa wife.

Kiufupi hili suala limekuwa chachu ya mabadiliko chanya katika maisha yangu binafsi na kwa ndoa yangu kwa ujumla.
Mzee wangu nakwambia utairudia hiyo michepuko Tu hakuna muda hapo.

Michepuko huleta hamsha hamsha ya ndoa...siku atakuzingua utaanza kutamani mademu wa nje na kuwaona ni wazuri zaidi ya shemeji yetu.

Kaa tayari kula tunda la mchepuko kaka..
 
Hakuna mwanamme mjinga ni yule anayeendeshwa na hisia na si akili
 
Wakuu , nipende kuchukua nafasi hii kuwashukuru wote walionitia moyo kwa kunishauri katika changamoto hii niliyopitia nawashukuru wale wote pia mlionipondea na kunilaumu.

Kwa kweli niseme hili suala lilikuwa limepangwa na mungu litokee maana limetumika kama turning point katika maisha yangu, nimebadilika sana yaani katika hili ndo nimepata kujua kwamba michepuko Haina shukrani na daima haina cha kupoteza, nimejifunza michepuko inapoteza sana muda na pesa waweza firisika kupitia kwayo, nimejifunza pia tamaa ya mwili hata ufanye vipi huwezi kuisatisfy maana wanawake ni wengi wenye sifa na vigezo tofauti.

Mimi na mke wangu kwa sasa tunapendana sana, nimejishusha na nimebadilika kwa Vitendo, nawahi sana Kurudi home, Napata muda wa kukaa Naye ananisimulia umbea wa kazini kwake,tunakunywa na kula wote.
Suala la kitandani kabadilika sana ananipa utamu wa kutosha sana, hana tena visingizio mara nimechoka mara nitakupa kesho mara ooh mbona humalizi hayo mambo hana tena.
Ikitokea nikachelewa kurudi usiku atahakikisha nakula na yeye akiwepo pembeni yangu hata uwe usiku vipi huku tukipiga stori.

Michepuko yote nimefuta automatically afu cha ajabu yule mchepuko aliyekuwa namba moja features zake zote nzuri zimebadilika akawa nazo mke wangu afu yeye namuona si Mtamu tena kama wife, yaani mchepuko namuona hamna kitu tenaaa hvo Naye nimembwaga kwa sasa nainjoi kwa wife.

Kiufupi hili suala limekuwa chachu ya mabadiliko chanya katika maisha yangu binafsi na kwa ndoa yangu kwa ujumla.
Subiri majibu ya mapigo
 
Alaa na yeye amejirekebisha. Ile nitakupa kesho, kichwa kinauma, tumbo linauma, siko kwenye mood, nomechoka amegundua ndio chanzo Cha kuchepuka.
Ma feminist na wanawake wasomi sijui kwanini hawajifunzi kwamba usipompa mumeo regularly Kuna sehemu atakwenda kuondoa hizi frustration. They think they know but leave these small small things to the small small women like house girls.
 
Back
Top Bottom