Mrejesho: Nahisi nimesalitiwa

Mrejesho: Nahisi nimesalitiwa

Singasinga

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2011
Posts
2,711
Reaction score
3,279
Habari wakuu

Jana nilileta uzi wangu hapa ulikua unahusu hisia zangu kwa mpenzi wangu kuwa kanisaliti usiku wa kuamkia jana. Na zile dot nilizoleta (Screenshot) wote mliziunga mkono kwamba ni kweli kuna usaliti ndani yake.

Sasa jana kiukweli aliendelea kutuma SMS kadhaa za kunisalimia ila sikumjibu chochote hadi usiku sana wakati nataka kulala nikamjibu akauliza nilipokua siku nzima ila nadhan hazikuzidi SMS 3 tukaagana.

Hata asubuhi hii kanisalimia na sijamjibu chochote maana huwa sio kawaida yake kunitxt asubuhi sana hivi nadhan ni kama anajishtukia.

Sasa wakuu naombeni ushauri ni njia gani za kuachana na mtu kama huyu ambae hauna ushahidi kamili wa kumuonesha ila unajua wazi kakusaliti?
 
Mwache Aende Zake
Kusikia Kwa Kenge Hadi Atoke Damu Puani Na Masikioni.
Akishindwa Huko Asirudi Kwako Hakuna Kuomba Pesa.

Ujumbe Unaomjibu Huyo Mpenzi Uwe Kama Ule Wa Hawala Ya Fedha.
Andika Neno Moja
 
Njia ya kuachana nae? Mzee si unapiga chini tu ww uanendelea na mishe zako! Ukianza kumuambia habari za nahisi umenisaliti atajitetea sana na ww unaonekana unampenda huyo manzi so lazima utatafuta mwanya wa kuamini utetezi wake!
 
Mkuu, ebu jaribu kufanya maisha yasiwe magumu.
Yaani tayari umesha amua kumuacha, then unakuja kutuomba ushauri upi tena..??
Ama mimi sijakuelewa..!!
Ni kweli mkuu maana nilikua namatarajio makubwa kwake ila imekua tofaut sana na imenihuzunisha japo alinihaidi kwamba anataka kutulia namimi lakini imekua tofaut

Sasa kwa kuwa sina ushahidi wa kumuonesha ndio maana naomba ushauri njia gani bora za kuachana na mtu kama huyu
 
Mbn kama sikuelewi.huna ushahidi lkin unajua kakusaliti❗!unataka kumfungulia mashtaka mahakamani❓

Hataukipewa ushauri humu ndani mkuu hautaufanyia kazi na kuufurahia kwa moyo wako wote kwa sababu hujui nini unataka.

Usikilize moyo.
 
Njia ya kuachana nae? Mzee si unapiga chini tu ww uanendelea na mishe zako! Ukianza kumuambia habari za nahisi umenisaliti atajitetea sana na ww unaonekana unampenda huyo manzi so lazima utatafuta mwanya wa kuamini utetezi wake!
Kabisa kaka sitaki hata tufikie muda wa kujadili hii issue ndo maana naomba ushauri njia gani bora za kuyamaliza haya mahusiano?
 
Back
Top Bottom