Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa mkuu,hta mimi naona ni bora nimgeuze kipozeo ila care zote nakata akijiamua itakua ndo picha limeishia hapoTatzo huna ushahidi mkuu we endelea kula mema ya nchi kama mpo karibu
Poa nakuchekiMkuu hatukuona hzo msg mkuu ikiwezekana nipm hzo msg nkupe ushauri
Yani kiufupi yuko huru kutoka hta usikuUngeandika story kidogo ya usalitii ilivyo tokea kwenye comment tujuee maana sio kila mtu ali soma
Sent using mt4 app
Mkuu usharudi toka Maandishi matatu?Asante mkuu ngoja niishi kivingine sai,kuanzia sasa nimemuua moyoni na hta akilazimisha kuendelea nitamtumia kama anavotumiwa na hawa wanaomla ila care zote zmeisha
Nakuhaidi
Kwa ushaurii wanguu maana naona bora lako mimi manzi alinisalitii na best yangu kabisa ila sikumuacha ghafla nilikata mawasiliano ya kwenda kwaoo na pesa ndo ikawa mwisho.Yani kiufupi yuko huru kutoka hta usiku
Na mara zote tangu tumeanza mahusiano yeye huwa ni mtu wa kulala mda umeenda sana na alinambia kashazoea labda awe anaumwa sana so juzi usiku nilimtxt saa mbili usiku hakujibu ila ujumbe ulifika,nilipoona kimya nikapiga simu haikupokelewa
Amekuja kujibu jana saa tano asubuhi hata sijamuuliza akadai eti alilala mapema sana jana afu muda huo saa tano asubuhi ndo anaamka na sio kawaida yake kabisa
Nikakumbuka kuna siku tena alipotea hewan ghafla akaja kunicheki kesho yake saa tano asubuhi eti sms zilikata ndo ameunga
Na mara zote huwa hata kija kulala kwangu hataki aamke asubuhi yeye huwa ni saa nne ndo anarejea kwao
Kwa hiyo kwa ufupi saa nne ndo mida yake ambayo huwa anaondoka kurudi kwao na ndo maana alinitafuta saa tano asubuhi baada ya kuwa amefika kwao.
Nakushauri tu umuite, mtoke out na mpeleke sehemu nzuri na tulivu. Hakikisha sikuhiyo umetupia na umependeza vizuri.Ni kweli mkuu maana nilikua namatarajio makubwa kwake ila imekua tofaut sana na imenihuzunisha japo alinihaidi kwamba anataka kutulia namimi lakini imekua tofaut
Sasa kwa kuwa sina ushahidi wa kumuonesha ndio maana naomba ushauri njia gani bora za kuachana na mtu kama huyu
The bossHujui namna ya kumuacha mtu?
Mwambie usije kwangu na usinipigie simu.
Halafu mpige block
Asante mkuu japo najua hawez kosa cha kusema na kwa kuwa sina hoja ya nguvu sana itaonekana ni kama nimeamua kumtafutia sababu ndo maana nlitaka kwa kuwa yeye anajua alichofanya ni bora tuachane juu kwa juu kuliko kuanza kuwindanaNakushauri tu umuite, mtoke out na mpeleke sehemu nzuri na tulivu. Hakikisha sikuhiyo umetupia na umependeza vizuri.
Kisha muagizie chakula kizuri na kinywaji anacho pendelea, na katikati ya mazungumzo mueleze vile unavyo jisiki juu yake. Mwambie jinsi alivyo kuumiza na kukujeruhi, na mueleze jinsi ambavyo haumuamini tena ingawa bado unampenda sana.
Wakati yote haya yakiendelea, jitahidi kuonyesha upendo wa wazi kwake na usionyeshe hasira kwake hata chembe.
Baada ya hapo, mpe nafasi na umsikikize. Kisha fanya maamuzi ya kumsamehe ama kumuacha kwa kueleza wazi.
Hata mimi niliambiwa una tako fulani hivi la kupanda juu ya kiuno.Mimi ninayo?
Ohhhhhh.....Asante mkuu japo najua hawez kosa cha kusema na kwa kuwa sina hoja ya nguvu sana itaonekana ni kama nimeamua kumtafutia sababu ndo maana nlitaka kwa kuwa yeye anajua alichofanya ni bora tuachane juu kwa juu kwa juu kuliko kuanza kuwindana
Huyu kashakua mkavu hakunjiki
Haya mambo ya kuanza kuharibu muda na gharama kwa ajili ya mhuni mmoja hapanaOhhhhhh.....
Kumbe jibu unalo tayari..[emoji41][emoji41]
Go ahead then...
Vitu havierewekiMkuu, ebu jaribu kufanya maisha yasiwe magumu.
Yaani tayari umesha amua kumuacha, then unakuja kutuomba ushauri upi tena..??
Ama mimi sijakuelewa..!!
Poa mkuu,hta mimi naona ni bora nimgeuze kipozeo ila care zote nakata akijiamua itakua ndo picha limeishia hapo
Au unataka kusema kitu mkuuKuwa makini mkuu
Hata mimi kinachoniumiza ni hichoIlishawahi kujikuta hii enzi natafuta mwenza wa maisha, nikakumbana na kichwa mbovu mmoja hivi tena aliwahi kuwa classmate wangu, aisee ni bonge moja la changamoto ila nilichoamua kufanya ni kwamba
1.sitopiga simu wala kutuma msg
2.sitopokea simu yake wala kujibu msg
3.hata nikikutana naye hakuna stori
Nilifanya hivi kwa sababu nilitambua wazi kabisa nampenda sana mwanamme ambaye ni chaguo langu kabisa lakini kwa bahati mbaya sana sio fungu langu wala si ridhiki yangu.
Nashukuru Mungu nilifanikiwa kwa 100%.