Mrejesho: Nahisi nimesalitiwa

Mrejesho: Nahisi nimesalitiwa

Kwa ushaurii wanguu maana naona bora lako mimi manzi alinisalitii na best yangu kabisa ila sikumuacha ghafla nilikata mawasiliano ya kwenda kwaoo na pesa ndo ikawa mwisho.

Yeye akija ni kugonga tu basi hadi siku akauliza kwahiyoo saizi wewe ni wa kunila tu. Nikajibu ndioo aliondoka mwenyewe na waliachana na jamaa pia namuana saizi kachoka balaa yuko tu. Hadi best zake wanauliza vipi mbona siwaelewi.

Na uzurii na mimi nika mla mpenzi wake best yangu na kimyaa kama sijuii vilee

Sent using mt4 app
Yeah! shukran hii nayo idea ya kibabe sana
kwamba ajiamue mwenyewe
 
Asante mkuu ngoja niishi kivingine sai,kuanzia sasa nimemuua moyoni na hta akilazimisha kuendelea nitamtumia kama anavotumiwa na hawa wanaomla ila care zote zmeisha
Nakuhaidi
Akija Kwako, Futa Malengo Yako Kwake
Akija Kula Tembea, Akieleza Shida Muda Huo Huo Unakuwa Masikini Ingawa Atajua Unafanya Uhuni Bora


Huko Anakodanganywa Baadaye Nao Watamtupa Kando Atakumbuka Shuka Kumekucha
 
Akija Kwako, Futa Malengo Yako Kwake
Akija Kula Tembea, Akieleza Shida Muda Huo Huo Unakuwa Masikini Ingawa Atajua Unafanya Uhuni Bora


Huko Anakodanganywa Baadaye Nao Watamtupa Kando Atakumbuka Shuka Kumekucha
Sure,naona kajihakikishia namba anaishi anavojisikia
 
Ukiona mtu anaulizia namna ya kumuacha mtu ujue hana ubavu wa kumuacha
Nnao ila hivi vitu vinahitaji wakati mwingine mbinu za ziada kuvihandle maana baada ya vita mapenzi ndo yanafuata kwa visa vingi
 
we block tu maneno ming ya nini kama huwezi muacha endelea kula
Kama Hawezi Awe Mvumilivu Akija Kwake Anapiga, Akienda Kwa Wengine Nao Wanapiga
Masuala Haya Yanakwenda Kasi Sana
Uvumilivu Ni Muhimu.
Bora Kama Anajimudu Amwache Aanze Upya
 
Mbona simple tu,sitisha mawasiliano nae,akileta K piga, akiomba buku mtose,
Akiuliza mbona sikuelewi nawe mjibu pia sikuelewi!!!
Akiuliza mipango ya ndoa mwambie bado upoupo kidogo,,
Mazoea yakizidi ya kukupa K ,muombe ndogo 0713.... Akikubali kutoa msanue mwambie siwezi kuoa mtu anayetoa jicho,,,ha ha ha..

Akigoma kutoa nawe mkazie mwambie ndio maana nimebadilika kwa vile hunisikilizi mm nataka nini?
Mwisho wa picha lazima atajua wewe si muoaji bali ni baharia mmoja hivi mafia ,,

Cheza na akili yake mkuu na tunaomba mrejesho maana mbinu hizi huko kwingine huwa wanalipia kuzipata,,,
Wewe gharama yako ni mrejesho,,asante
 
Inategemea na aina ya uhusiano uliopo,unataka aje awe mke? au yupo kwa ajili ya kukutimizia haja zako tu?
Kama unataka aje awe mke,piga chini uanze moja.
 
Back
Top Bottom