Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,711
- 3,279
- Thread starter
- #61
Yeah! shukran hii nayo idea ya kibabe sanaKwa ushaurii wanguu maana naona bora lako mimi manzi alinisalitii na best yangu kabisa ila sikumuacha ghafla nilikata mawasiliano ya kwenda kwaoo na pesa ndo ikawa mwisho.
Yeye akija ni kugonga tu basi hadi siku akauliza kwahiyoo saizi wewe ni wa kunila tu. Nikajibu ndioo aliondoka mwenyewe na waliachana na jamaa pia namuana saizi kachoka balaa yuko tu. Hadi best zake wanauliza vipi mbona siwaelewi.
Na uzurii na mimi nika mla mpenzi wake best yangu na kimyaa kama sijuii vilee
Sent using mt4 app
kwamba ajiamue mwenyewe