kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,872
- 16,319
Ulikua unampa anayoyataka?Ni kweli nampenda na nilikua na matarajio makubwa kwake ila imekua tofaut nimegundua hawez acha kitu alichozoea japo alinihaidi anataka kutulia namimi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulikua unampa anayoyataka?Ni kweli nampenda na nilikua na matarajio makubwa kwake ila imekua tofaut nimegundua hawez acha kitu alichozoea japo alinihaidi anataka kutulia namimi
Ndiyo, hii picha yako ilivuja hapa juziMimi ninayo?
Shukran mkuu! imekua ghafla sana japo najua ana hulka hiyo ila alinisisitiza anataka kutulia namimi ila imekua tofautFanya mambo yako punguza mawasiliano uku ukitafuta mwngne inaonesha bado ujaikubali hali unaumia kwa sababu unampenda
Sidhan kama ni sahihi,Naona kama nitampa ushindi sana na anajua namuamini sanaMjibu text yake ila mwambie unachohisi alafu subiri majibu
Siwezi mtimizia kila kitu ila alionesha kuridhika na mimiUlikua unampa anayoyataka?
Kweli nampenda ila hakuna kitu kinaniuma kama kusalitiwa yani najihisi mnyonge sanaChamuimu bro sio kuachana nae ila kuzungumza nae vzur uwez achana na mtu pasipo ushaid jiulize utaachana na wangapi ndugu yangu amna kinachoshndkana kwenye mazngumzo na unaashiria kbsa bado unampenda
Mkuu amua kusamehe ikiwa nafsi yako inakuongoza kwenye msamaha,ila ikiwa inataka muachane basi usilazimishe ifuate....usipingane na nafsi yakoSiwezi mtimizia kila kitu ila alionesha kuridhika na mimi
Jeuri hyo hana. Mwanamme akipenda hawezi kuwachaHujui namna ya kumuacha mtu?
Mwambie usije kwangu na usinipigie simu.
Halafu mpige block
Yani sina jinsi ya kuelezea yote ila mimi sina wivu wa kishamba na huwa nnaamini sana hisia zangu pia kwa kuunganisha na mazingira ya huyu mpenz wangu tangu nimemfahamu nimejiridhisha bado hajaacha hulka yake japo wakati tunaanza alinisimulia wazi maisha yake ya nyuma na akadai hataki kuishi vile tena ila naona bado ile kitu anaipendaKwanza kabisa, pole sana kwa hilo unalopitia.
Ingawa sikuliona hilo bandiko lako la awali ila nina maswali machache kwako;
Umejuaje 'wazi' kuwa mtu huyo anakusaliti wakati kulingana na maelezo yako hauna ushahidi kamili?
Je umehisi tu?
Unawezaje kuzihakikisha hisia zako za kuwa unasalitiwa ni za kweli?
Sina nia mbaya kukuuliza hivyo sababu kama ni kweli unasalitiwa basi ni wazi kuwa hustahili kuendelea kukaa katika mahusiano hayo na kwamba haikuwa sahihi kuwa na mahusiano hayo kuanzia mwanzo (in the first place).
Lakini kama ni hisia tu, si vyema kufanya maamuzi ambayo hukujiridhisha kabla ya kuyafanya. Ukivunja uhusiano na mtu kutokana na hisia tu kuwa anakusaliti kisha ukagundua baadaye kuwa alikuwa mwema utafanyaje?
Shukran mkuu! imekua ghafla sana japo najua ana hulka hiyo ila alinisisitiza anataka kutulia namimi ila imekua tofaut
Anampenda kweli kweli afu ajiamini dah hii inatesa hiiAfu shida ......Bado unampenda
Ni kweli mkuu maana nilikua namatarajio makubwa kwake ila imekua tofaut sana na imenihuzunisha japo alinihaidi kwamba anataka kutulia namimi lakini imekua tofaut
Sasa kwa kuwa sina ushahidi wa kumuonesha ndio maana naomba ushauri njia gani bora za kuachana na mtu kama huyu
Huyu ni kweli ananipenda ila kuna maisha flan ya kuliwa liwa kimasihara yameshaingia kwenye damu asa kuyaacha kbsa inakua shidaukitaka maisha yaendelee we kikubwa angalia tuu mwanamke km anakupenda.kama anakupenda haijifichi wala hawez kugeresha anakupenda usijue.wanawake hawa wanatongozwa wanachat na wanaume kila aina!kwa hiyo isikupe presha hiyo wala usionyeshe unamfatilia we kuwa simpo tuu maisha yaendelee.ila kikubwa nakushauri usiwe na mwanamke 1 kuwa na angalau 3 hii itakupa tulizo la moyo
Asante mkuu ngoja niishi kivingine sai,kuanzia sasa nimemuua moyoni na hta akilazimisha kuendelea nitamtumia kama anavotumiwa na hawa wanaomla ila care zote zmeishaTatizo Umewekeza Kwake Huyo Mwanamke
Lazima Uumie Unamtunza Halafu Unagundua Anafanya Hovyo. Umesema Alikwambia Atatulia Na Umehisi Kashindwa Kutulia
Huyo Amekufanyia Hivyo Sababu Anajua Unampenda Sana Huwezi Kumwacha
Simama Eneo Lako, Mwache Aende Zake
Salaam Mpaka Lini