Mrejesho: Nilisema nitamwambia brother kuhusu mke kumsaliti

Mrejesho: Nilisema nitamwambia brother kuhusu mke kumsaliti

J putin

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2018
Posts
1,263
Reaction score
1,206
Hii iwe fundisho kwa wengine wapenda wake za watu,

Ni kweli nilimpigia simu kakangu ,kakangu ni mmoja wa makanda hapa nchini wanaolinda amani nchi za wenzetu,

Alinishukuru sana kwa upendo niliyoonyesha kwake kama ndugu.

Mpaka naandika uzi huu,kakangu jana alikuja bila taarifa yoyote,na alifanya tukio moja hatari sana,(commandor siyo mtu mzuri)

Leo nipo kazini napigiwa simu njoo nyumbani kwa kakako,nikasema kuna nini,kwa brother,kwenda kushudia ........ni aibu kusema...

Niwaambia tu nyie mnaocheza na wake za watu acheni hiyo tabia ,nawaambieni acheni jamani

Ni hivyo tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii iwe fundisho kwa wengine wapenda wake za watu,

Ni kweli nilimpigia simu kakangu ,kakangu ni mmoja wa makanda hapa nchini wanaolinda amani nchi za wenzetu,

Alinishukuru sana kwa upendo niliyoonyesha kwake kama ndugu.

Mpaka naandika uzi huu,kakangu jana alikuja bila taarifa yoyote,na alifanya tukio moja hatari sana,(commandor siyo mtu mzuri)

Leo nipo kazini napigiwa simu njoo nyumbani kwa kakako,nikasema kuna nini,kwa brother,kwenda kushudia ........ni aibu kusema...

Niwaambia tu nyie mnaocheza na wake za watu acheni hiyo tabia ,nawaambieni acheni jamani

Ni hivyo tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulichokifanya ni wambea pekee watakifurahia.

Grow up, learn and observe the way unaweza solve matatizo bila kusababisha matatizo zaidi huo ndio utu wa mtu.

Unaweza furahia shemeji yako kuachwa lkn ukasahau kuwa kaka ako kwa tukio hilo anaweza okota changudoa mwenye wire!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikweli hajafanya jambo jema. Ila wapo watu ambaokuchepuka kwao ni mwiko. Ww tu hujapata kuwaona ila wapo
Umbea utakuuua,,, unaonekana una mdomo mrefu, unasherekea kuvunjika kwa ndoa za watu ? Amna asiechepuka kwenye dunia hii !

Jitu zima Bado unakaa kwa kaka ? Lini utakuwa mwanaume ? Ondoka hapo kapambane kivyako

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulichokifanya ni wambea pekee watakifurahia.

Grow up, learn and observe the way unaweza solve matatizo bila kusababisha matatizo zaidi huo ndio utu wa mtu.

Unaweza furahia shemeji yako kuachwa lkn ukasahau kuwa kaka ako kwa tukio hilo anaweza okota changudoa mwenye wire!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo ni mawazo yako mkuu,uwezi kuleta ujinga ndani ya familia yetu tukaaa kimya hiyo haiwezekani hata kwa mlio wa bunduki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kugongewa ni inauma mkuu,tena usiongee hivyo,brother ni mtu wa amani sana na siku zote anatuambia mdogo wangu fanya raha zote hapa duniani ila isithubutu kutembea na mke wa mtu,nadhani majibu yake nimeona leo
Nikweli hajafanya jambo jema. Ila wapo watu ambaokuchepuka kwao ni mwiko. Ww tu hujapata kuwaona ila wapo

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee naona umefurai mgeda kumnyoosha shemejio..sio mbaya ila Sasa sijui utapikiwa na nani..

Kuna jamaa yangu alikutana na demu matata kagongea mzigo kapewa demu akashika mimba ya jamaa badae ndio anamwambia yy n mke wa mtu..mbaya zaidi demu kamwambia asiwe na Shaka Tena akamuita mahali waongee kumbe alimuita kumtunu Kwa kumpa mimba....huku akimponda mmewe kwa kushindwa kumjaza kwa kipindi walichokaa

Wanawake ni tatizo,,wao ndio mwanzo wa kuruhuSU kugongwa.

Ushauri wangu kwa wanaume tuliooa..TUWAKAZE WAKE ZETU MPAKA KIZAZI KIWAKE MOTO..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mi naishi kwangu,najipikia mwenyewe na sitaki kuoa kwa sasa,wala sina mpango
Aisee naona umefurai mgeda kumnyoosha shemejio..sio mbaya ila Sasa sijui utapikiwa na nani..

Kuna jamaa yangu alikutana na demu matata kagongea mzigo kapewa demu akashika mimba ya jamaa badae ndio anamwambia yy n mke wa mtu..mbaya zaidi demu kamwambia asiwe na Shaka Tena akamuita mahali waongee kumbe alimuita kumtunu Kwa kumpa mimba....huku akimponda mmewe kwa kushindwa kumjaza kwa kipindi walichokaa

Wanawake ni tatizo,,wao ndio mwanzo wa kuruhuSU kugongwa.

Ushauri wangu kwa wanaume tuliooa..TUWAKAZE WAKE ZETU MPAKA KIZAZI KIWAKE MOTO..

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii iwe fundisho kwa wengine wapenda wake za watu,

Ni kweli nilimpigia simu kakangu ,kakangu ni mmoja wa makanda hapa nchini wanaolinda amani nchi za wenzetu,

Alinishukuru sana kwa upendo niliyoonyesha kwake kama ndugu.

Mpaka naandika uzi huu,kakangu jana alikuja bila taarifa yoyote,na alifanya tukio moja hatari sana,(commandor siyo mtu mzuri)

Leo nipo kazini napigiwa simu njoo nyumbani kwa kakako,nikasema kuna nini,kwa brother,kwenda kushudia ........ni aibu kusema...

Niwaambia tu nyie mnaocheza na wake za watu acheni hiyo tabia ,nawaambieni acheni jamani

Ni hivyo tu

Sent using Jamii Forums mobile app
ENDELEA KILISHWA NA KAKA!
 
Wala siyo kuwakaza tuheshimu ndoa za watu
Aisee naona umefurai mgeda kumnyoosha shemejio..sio mbaya ila Sasa sijui utapikiwa na nani..

Kuna jamaa yangu alikutana na demu matata kagongea mzigo kapewa demu akashika mimba ya jamaa badae ndio anamwambia yy n mke wa mtu..mbaya zaidi demu kamwambia asiwe na Shaka Tena akamuita mahali waongee kumbe alimuita kumtunu Kwa kumpa mimba....huku akimponda mmewe kwa kushindwa kumjaza kwa kipindi walichokaa

Wanawake ni tatizo,,wao ndio mwanzo wa kuruhuSU kugongwa.

Ushauri wangu kwa wanaume tuliooa..TUWAKAZE WAKE ZETU MPAKA KIZAZI KIWAKE MOTO..

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom