Mrejesho: Nilisema nitamwambia brother kuhusu mke kumsaliti

Mrejesho: Nilisema nitamwambia brother kuhusu mke kumsaliti

Hii iwe fundisho kwa wengine wapenda wake za watu,

Ni kweli nilimpigia simu kakangu ,kakangu ni mmoja wa makanda hapa nchini wanaolinda amani nchi za wenzetu,

Alinishukuru sana kwa upendo niliyoonyesha kwake kama ndugu.

Mpaka naandika uzi huu,kakangu jana alikuja bila taarifa yoyote,na alifanya tukio moja hatari sana,(commandor siyo mtu mzuri)

Leo nipo kazini napigiwa simu njoo nyumbani kwa kakako,nikasema kuna nini,kwa brother,kwenda kushudia ........ni aibu kusema...

Niwaambia tu nyie mnaocheza na wake za watu acheni hiyo tabia ,nawaambieni acheni jamani

Ni hivyo tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha
 
Hii iwe fundisho kwa wengine wapenda wake za watu,

Ni kweli nilimpigia simu kakangu ,kakangu ni mmoja wa makanda hapa nchini wanaolinda amani nchi za wenzetu,

Alinishukuru sana kwa upendo niliyoonyesha kwake kama ndugu.

Mpaka naandika uzi huu,kakangu jana alikuja bila taarifa yoyote,na alifanya tukio moja hatari sana,(commandor siyo mtu mzuri)

Leo nipo kazini napigiwa simu njoo nyumbani kwa kakako,nikasema kuna nini,kwa brother,kwenda kushudia ........ni aibu kusema...

Niwaambia tu nyie mnaocheza na wake za watu acheni hiyo tabia ,nawaambieni acheni jamani

Ni hivyo tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wake wa watu ni watamu na tutaendelea kuwala mbushsu zao.
Fanyeni mtakalo fanya
 
Kuna manzi nilimzalisha sasa boya mmoja kajidai kuoa, ila simlaumu sana yule mtoto ni mzuri ila ndo hivo uzuri wake anaufanya mtaji, nilipojua she was a hoe nikamwambia tulee tu mtoto.

Sasa kila nikikutana nae lazima nimle, nikitaka kuichakata tu namwambia leta mtoto nimuone, na yeye anakuja anakunjwa. Wake za watu watamu sana ila asiliwe mke wako tu sababu huo utamu unabakiza magnitude ileile lkn unabadilsign na kuwa uchungu
 
Nakupongeza Mkuu Kwa Hatua ulizochukua.... Wazinzi ndo wameamua kutumia...!
 
Safi kabisa, huwezi kuona kuna uharibifu kwa ndugu yako ukaendelea kukaa kimya et kisa utonekana mbea
 
Back
Top Bottom