Mrejesho: Nilisema nitamwambia brother kuhusu mke kumsaliti

Mrejesho: Nilisema nitamwambia brother kuhusu mke kumsaliti

Kwani kakangu unamfahamu mkuu,picha siwezi kuweka humu,unataka nifungwe

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii story ni ya uongo bila kapicha
kwanza taarifa hii ya kufumaniwa ni SIRI yenu lakin kuvunjwa mikono na miguu ni uzushi kwani tuneikuta mitandaoni, Hospital au Kituo cha POLISI
pili huyo Mke wa kaka yako hawezi muacha huyo jamaa
mojawapo ni vibamia, mwanamke huwezi mchezea juuu juu au umwache miezi 6 eti upo Congo
 
Hii story ni ya uongo bila kapicha
kwanza taarifa hii ya kufumaniwa ni SIRI yenu lakin kuvunjwa mikono na miguu ni uzushi kwani tuneikuta mitandaoni, Hospital au Kituo cha POLISI
pili huyo Mke wa kaka yako hawezi muacha huyo jamaa
mojawapo ni vibamia, mwanamke huwezi mchezea juuu juu au umwache miezi 6 eti upo Congo
Na Kama ni mjeda ameenda kikazi aondoke huko kurudi bongo kirahisi hivyo?
 
Jamaa anahoji kwamba ni vipi kama jamaa hakujua kama mwanamke ameolewa na ni vipi kama mwanamke ndiye aliemtongoza jamaa?
Ebu niache nipunzike,ina maana rafiki yako wa karibu hawezi kujua mke wako,maswali gani hayo,na hata kama alimtongoza anajua huyu ni mke wa rafiki yangu,

Mda wa kupunzika huu uliza maswali yeye kichwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na Kama ni mjeda ameenda kikazi aondoke huko kurudi bongo kirahisi hivyo?
haka kajamaa kana wivu na shemeji yake
Jeshini ukiondoka bila ruksa umejifuta na wakikukamata unashtakiwa (absent without official leave) AWOL
Mwanamke huyo haridhiki vijana wengi wa kumsugua nngoja tuombe namba zake
 
Ebu niache nipunzike,ina maana rafiki yako wa karibu hawezi kujua mke wako,maswali gani hayo,na hata kama alimtongoza anajua huyu ni mke wa rafiki yangu,

Mda wa kupunzika huu uliza maswali yeye kichwa

Sent using Jamii Forums mobile app

Samahani mkuu sikuona mtiririko wa habari yako vyema kumbe alikuwa ni rafiki, kweli hakufanya jambo sahihi alikosea sana lakini kwa upande wa pili hakustahili adhabu aliyo pewa sisi ni nani mpaka tu hukumu

Mshahuri pia kaka yako aliangalie tatizo kwa jicho la tatu

If and only if it’s True
 
Hayo ni mawazo yako mkuu,uwezi kuleta ujinga ndani ya familia yetu tukaaa kimya hiyo haiwezekani hata kwa mlio wa bunduki

Sent using Jamii Forums mobile app
Kakaako mwenyewe yuko congo vitani,halafu binti wa watu mmemuoa mbichi tu,anaachiwa ugwadu bila kugegedwa eti asubiri tu mpaka kakaako arudi mpaka miaka mi3,wapi wapi hiyo? Hata mnyama tu hawezi kuvumilia,iwe ndio mwanamke anaetongozwa kila siku? Hapo ilitakiwa tu utumie busara nyingine. Vinginevyo kumsaidia ungekuwa unamgegeda mwenyewe. Wivu tu umekujaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mimi sikai kwa kakangu,najitengemea mwenyewe,nilianza kujitegemea baada tu kumaliza chuo,na wala hakuna anayejua kama mi ndo nilimtonya brother,na mpaka sasa hivi shemeji amenipigia simu yupo hotel fulani na kaka ameniambia nimwambie arudi nyumbani na tayari nimeshazungumza na brother,na hawezi kumpiga mke wake,maana mwanaume ndo alimshawishi shemeji na brother yuko njiani kuelekea kwenye majukumu yake,nimemwambia shem nitakupitia hapo jioni nikupeleke home.tunafanya mambo kwa akili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa yangu,katika yoooote ,hapa ndipo unaharibu,kuamini kuwa shemejiyo ameshawishiwa tu na mwanaume.Kati ya binadamu usiopaswa kuwaamini ni jinsia ke.Naamini,shemejio ameliwa kwakuwa aliwashwa tuu na kuutafuta mkuyenge yeye mwenyewe au alitongozwa na akaridhia.Haya sasa mmemfanya vibaya huyo mgoni wenu na kumwacha Shem.Yuyo kakaako ataondoka nashemejio atawashwa tena na wanaume wengine watamtia waziwazi au kwa siri.Hovyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika viumbe wote namanisha viumbe wa baharini na nchi kavu ni mwana mke pekee aliyewahi ongea na shetani Live kabisa yaani mchana kweupeee..mtajijua wenyewe sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mi naishi kwangu,najipikia mwenyewe na sitaki kuoa kwa sasa,wala sina mpango

Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi duniani wanatenda dhambi pengine bila kujua. Umefanya dhambi kubwa na wewe pia. Malipo yako ni hapa hapa duniani. Subiri uoe,lazima ugegedewe mke. Tena wewe hatagegeda kwa kujificha. Watakufunga hapo pembeni uone ya mke wako inavyogegedwa. Utatoa macho tu mke wako anatoa ushirikiano kwa wagegedaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulichokifanya ni wambea pekee watakifurahia.

Grow up, learn and observe the way unaweza solve matatizo bila kusababisha matatizo zaidi huo ndio utu wa mtu.

Unaweza furahia shemeji yako kuachwa lkn ukasahau kuwa kaka ako kwa tukio hilo anaweza okota changudoa mwenye wire!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa kabisa umenena vyema huwezi kufurahia kuvunja nyumba ya mtu, hangetafuta namna bora ya ku solve huo msala kwa amani na nyumba ikaendelea kuwepo.
 
Back
Top Bottom