J putin
JF-Expert Member
- Oct 5, 2018
- 1,263
- 1,206
- Thread starter
- #41
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upuuzi kama ni kweli uhame kwa kaka yako la sivyo utapoteza uhai kama panya kwa sumu.Unazani shemeji yako ni bongolala kwakuwa umemsetup.
Umbea utakuuua,,, unaonekana una mdomo mrefu, unasherekea kuvunjika kwa ndoa za watu ? Amna asiechepuka kwenye dunia hii !
Jitu zima Bado unakaa kwa kaka ? Lini utakuwa mwanaume ? Ondoka hapo kapambane kivyako
Sent using Jamii Forums mobile app
Your so fucken brooo kwaiyo roho yako imeridhika apo siku nyingine fanya juudi za kumsaidia mtu na siyo kumuangamizaJamaa amevunjwa mikono yote miwili na miguu yake ila jamaa amekutwa hana penis,na cha ajabu alivyovunjwa ndo imewaacha watu hoi yaani hatujui ametumia nini kumvunja
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeye ata akinichukia ila tayari nilishamwambia ukweli na ametenda kwa vitendo ,mi kwa sasa hakuna anachonisaidia nacho brother,labda ushauri tu wa mawazo maana hata huo ushauri naweza kupata kwa marafiki zangu pia,Sasa wasipoachana jiangalie sana shemeji yako atakuchukia na mtakuwa maadui wa kudumu
Spy[emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
bro wake angeweza kupata magonjwa ya zinaa kuputia kwa mke so bado ni jambo jema alilofanya. kamuepusha na vitu vingi.
Sent using Jamii Forums mobile app
https://jamii.app/JFUserGuide you tooYour so fucken brooo kwaiyo roho yako imeridhika apo siku nyingine fanya juudi za kumsaidia mtu na siyo kumuangamiza
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera spy post #0_ ni ya shemeji yako na anaendelea kuunganisha dots uko alipo.kuwa makini.
Safi sana kijana..sema makamanda nao utakuta wanakaa huko mwaka mzima so katika hali ya ubinadam mwanamke lazima aingie matamanio kwa sababu za kimazingira na vyakula so kugongewa hakukwepeki hapo..
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu tupe kionjo basi unaelezea juu juu hata hueleweki.Hii iwe fundisho kwa wengine wapenda wake za watu,
Ni kweli nilimpigia simu kakangu ,kakangu ni mmoja wa makanda hapa nchini wanaolinda amani nchi za wenzetu,
Alinishukuru sana kwa upendo niliyoonyesha kwake kama ndugu.
Mpaka naandika uzi huu,kakangu jana alikuja bila taarifa yoyote,na alifanya tukio moja hatari sana,(commandor siyo mtu mzuri)
Leo nipo kazini napigiwa simu njoo nyumbani kwa kakako,nikasema kuna nini,kwa brother,kwenda kushudia ........ni aibu kusema...
Niwaambia tu nyie mnaocheza na wake za watu acheni hiyo tabia ,nawaambieni acheni jamani
Ni hivyo tu
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu tupe kionjo basi unaelezea juu juu hata hueleweki.
Hii iwe fundisho kwa wengine wapenda wake za watu,
Ni kweli nilimpigia simu kakangu ,kakangu ni mmoja wa makanda hapa nchini wanaolinda amani nchi za wenzetu,
Alinishukuru sana kwa upendo niliyoonyesha kwake kama ndugu.
Mpaka naandika uzi huu,kakangu jana alikuja bila taarifa yoyote,na alifanya tukio moja hatari sana,(commandor siyo mtu mzuri)
Leo nipo kazini napigiwa simu njoo nyumbani kwa kakako,nikasema kuna nini,kwa brother,kwenda kushudia ........ni aibu kusema...
Niwaambia tu nyie mnaocheza na wake za watu acheni hiyo tabia ,nawaambieni acheni jamani
Ni hivyo tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kugongewa ni inauma mkuu,tena usiongee hivyo,brother ni mtu wa amani sana na siku zote anatuambia mdogo wangu fanya raha zote hapa duniani ila isithubutu kutembea na mke wa mtu,nadhani majibu yake nimeona leo
Sent using Jamii Forums mobile app
HANA KABISA AU KIKO CHA MWANAMKE.. SASA ANAKOJOA AJEJamaa amevunjwa mikono yote miwili na miguu yake ila jamaa amekutwa hana penis,na cha ajabu alivyovunjwa ndo imewaacha watu hoi yaani hatujui ametumia nini kumvunja
Sent using Jamii Forums mobile app