Mrejesho: Nilisema nitamwambia brother kuhusu mke kumsaliti

Mrejesho: Nilisema nitamwambia brother kuhusu mke kumsaliti

Hii iwe fundisho kwa wengine wapenda wake za watu,

Ni kweli nilimpigia simu kakangu ,kakangu ni mmoja wa makanda hapa nchini wanaolinda amani nchi za wenzetu,

Alinishukuru sana kwa upendo niliyoonyesha kwake kama ndugu.

Mpaka naandika uzi huu,kakangu jana alikuja bila taarifa yoyote,na alifanya tukio moja hatari sana,(commandor siyo mtu mzuri)

Leo nipo kazini napigiwa simu njoo nyumbani kwa kakako,nikasema kuna nini,kwa brother,kwenda kushudia ........ni aibu kusema...

Niwaambia tu nyie mnaocheza na wake za watu acheni hiyo tabia ,nawaambieni acheni jamani

Ni hivyo tu

Sent using Jamii Forums mobile app

Wanajeshi na Wake zao huwa wanashindana kuchepuka, usikute shemeji yako alikuwa anamegwa na mjeda ambaye ni rafikiwa kaka yako.
 
Hii iwe fundisho kwa wengine wapenda wake za watu,

Ni kweli nilimpigia simu kakangu ,kakangu ni mmoja wa makanda hapa nchini wanaolinda amani nchi za wenzetu,

Alinishukuru sana kwa upendo niliyoonyesha kwake kama ndugu.

Mpaka naandika uzi huu,kakangu jana alikuja bila taarifa yoyote,na alifanya tukio moja hatari sana,(commandor siyo mtu mzuri)

Leo nipo kazini napigiwa simu njoo nyumbani kwa kakako,nikasema kuna nini,kwa brother,kwenda kushudia ........ni aibu kusema...

Niwaambia tu nyie mnaocheza na wake za watu acheni hiyo tabia ,nawaambieni acheni jamani

Ni hivyo tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mbona kama unajisemesha mwenyewe kwenye branket?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Safi sana kijana..sema makamanda nao utakuta wanakaa huko mwaka mzima so katika hali ya ubinadam mwanamke lazima aingie matamanio kwa sababu za kimazingira na vyakula so kugongewa hakukwepeki hapo..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upuuzi kama ni kweli uhame kwa kaka yako la sivyo utapoteza uhai kama panya kwa sumu.Unazani shemeji yako ni bongolala kwakuwa umemsetup.
 
Upuuzi kama ni kweli uhame kwa kaka yako la sivyo utapoteza uhai kama panya kwa sumu.Unazani shemeji yako ni bongolala kwakuwa umemsetup.
Mkuu mimi sikai kwa kakangu,najitengemea mwenyewe,nilianza kujitegemea baada tu kumaliza chuo,na wala hakuna anayejua kama mi ndo nilimtonya brother,na mpaka sasa hivi shemeji amenipigia simu yupo hotel fulani na kaka ameniambia nimwambie arudi nyumbani na tayari nimeshazungumza na brother,na hawezi kumpiga mke wake,maana mwanaume ndo alimshawishi shemeji na brother yuko njiani kuelekea kwenye majukumu yake,nimemwambia shem nitakupitia hapo jioni nikupeleke home.tunafanya mambo kwa akili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom