cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Jamaa amevunjwa mikono yote miwili na miguu yake ila jamaa amekutwa hana penis,na cha ajabu alivyovunjwa ndo imewaacha watu hoi yaani hatujui ametumia nini kumvunja
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hapo wewe umefaidika na nini?Jamaa amevunjwa mikono yote miwili na miguu yake ila jamaa amekutwa hana penis,na cha ajabu alivyovunjwa ndo imewaacha watu hoi yaani hatujui ametumia nini kumvunja
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahaHii iwe fundisho kwa wengine wapenda wake za watu,
Ni kweli nilimpigia simu kakangu ,kakangu ni mmoja wa makanda hapa nchini wanaolinda amani nchi za wenzetu,
Alinishukuru sana kwa upendo niliyoonyesha kwake kama ndugu.
Mpaka naandika uzi huu,kakangu jana alikuja bila taarifa yoyote,na alifanya tukio moja hatari sana,(commandor siyo mtu mzuri)
Leo nipo kazini napigiwa simu njoo nyumbani kwa kakako,nikasema kuna nini,kwa brother,kwenda kushudia ........ni aibu kusema...
Niwaambia tu nyie mnaocheza na wake za watu acheni hiyo tabia ,nawaambieni acheni jamani
Ni hivyo tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mke wa mtu sumu
Wake wa watu ni watamu na tutaendelea kuwala mbushsu zao.Hii iwe fundisho kwa wengine wapenda wake za watu,
Ni kweli nilimpigia simu kakangu ,kakangu ni mmoja wa makanda hapa nchini wanaolinda amani nchi za wenzetu,
Alinishukuru sana kwa upendo niliyoonyesha kwake kama ndugu.
Mpaka naandika uzi huu,kakangu jana alikuja bila taarifa yoyote,na alifanya tukio moja hatari sana,(commandor siyo mtu mzuri)
Leo nipo kazini napigiwa simu njoo nyumbani kwa kakako,nikasema kuna nini,kwa brother,kwenda kushudia ........ni aibu kusema...
Niwaambia tu nyie mnaocheza na wake za watu acheni hiyo tabia ,nawaambieni acheni jamani
Ni hivyo tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungefunguka ili iwe funzoLeo nipo kazini napigiwa simu njoo nyumbani kwa kakako,nikasema kuna nini,kwa brother,kwenda kushudia ........ni aibu kusema.
Kwahiyo unaona sawa kukitembeza kwa wahuni wenzio wakati umeolewa?Umbea utakuuua,,, unaonekana una mdomo mrefu, unasherekea kuvunjika kwa ndoa za watu ? Amna asiechepuka kwenye dunia hii !
Jitu zima Bado unakaa kwa kaka ? Lini utakuwa mwanaume ? Ondoka hapo kapambane kivyako
Sent using Jamii Forums mobile app
Umefanya jambo jema mkuu.. ukiona uharibifu unafanyika uzuie kwa namna yeyote ile... ukiunyamazia unapata dhambi...Asante mkuu,ila wengine wanasema mi ni mbeya acha niwe mbeya kwa ndugu yangu
Sent using Jamii Forums mobile app