The Wolf
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,412
- 20,685
ameshatoa running cost pamoja na kulaMbona hujatoa running cost hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ameshatoa running cost pamoja na kulaMbona hujatoa running cost hapo
Okameshatoa running cost pamoja na kula
Umeshawahi kukutana na mdada dereva kwenye uber ama taxify?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Yeah nilikutana na mmoja kama week 3 zimepita. Alinibeba East 24. Alinipa huduma nzuri nikampa nyota zote 5 na kombe.Umeshawahi kukutana na mdada dereva kwenye uber ama taxify?
Nilianza process za kujiunga ila shemeji yako akawa ananisisitiza juu ya heshima ya wateja,udhalilishaji wa kijinsia na gender related issuesYeah nilikutana na mmoja kama week 3 zimepita. Alinibeba East 24. Alinipa huduma nzuri nikampa nyota zote 5 na kombe.
In life of money the only thing separates the have and the dont have is how they manage their money.Hiyo ni sawa na 1.8M mwisho wa mwezi bado anaona ndogo. Kuna watu wanapata 1/3 ya hiyo na wanapush life kama kawaida.
Hela ukairudisha?Hahaaa mkuu umenikumbusha siku nimepewa hela nikaoshe gari
Nikaamua tu nioshe mwenyewe jamaa akanikuta nikamwambia nafanya mazoezi. Mara moja moja siyo mbaya.
Kwani na driver si huwa wanarate wateja? Vitu vingine ni kazi kuzia lakin. Akili kumkichwa hapo.Nilianza process za kujiunga ila shemeji yako akawa ananisisitiza juu ya heshima ya wateja,udhalilishaji wa kijinsia na gender related issues
Nikarudi chini kujitafakari upya.Bado sijapata maamuzi sahihi.
HapanaHela ukairudisha?
Kweli kabisaKwani na driver si huwa wanarate wateja? Vitu vingine ni kazi kuzia lakin. Akili kumkichwa hapo.
Nami umenikumbusha mbali sana, kulikuwa na kamkweche pick-up, kakiharibika vitu vidogo vidogo kama ni cross-joint, bushes, tie rod ends, ball joints au distributor n.k. kwanza najifanya naenda kwa fundi, kumbe chini ya mwembe mbali na home, najifua mwenyewe, mkwanja kwenye wallet! Hatari sana...Hahaaa mkuu umenikumbusha siku nimepewa hela nikaoshe gari
Nikaamua tu nioshe mwenyewe jamaa akanikuta nikamwambia nafanya mazoezi. Mara moja moja siyo mbaya.
Kwani na driver si huwa wanarate wateja? Vitu vingine ni kazi kuzia lakin. Akili kumkichwa hapo.
Nilianza process za kujiunga ila shemeji yako akawa ananisisitiza juu ya heshima ya wateja,udhalilishaji wa kijinsia na gender related issues
Nikarudi chini kujitafakari upya.Bado sijapata maamuzi sahihi.
Huduma nzuri ndio ikojeYeah nilikutana na mmoja kama week 3 zimepita. Alinibeba East 24. Alinipa huduma nzuri nikampa nyota zote 5 na kombe.
Hahaaa mkuu umenikumbusha siku nimepewa hela nikaoshe gari
Nikaamua tu nioshe mwenyewe jamaa akanikuta nikamwambia nafanya mazoezi. Mara moja moja siyo mbaya.
Yaani huyu jamaa ni kiazi60,000×30×3= 5,400,000/= net profit(minimum) na bado unalalamika...
Hiyo corrolla yako ulinunua bei gan?
Kombe?Yeah nilikutana na mmoja kama week 3 zimepita. Alinibeba East 24. Alinipa huduma nzuri nikampa nyota zote 5 na kombe.