WOLF SEPTICEMIA
Senior Member
- Dec 11, 2017
- 168
- 102
Mpk muda huu ninaye tangu niandke mkuuulimpata lini
Jiandaeni na kadi wakuuTunakutakia kila la heri katika maisha yenu mapya ya ndoa.Lakini mkuu hujatuambia kama umefunga ndoa au umekwapua tu kama mwewe na kifaranga!
Poa mkuuHongera Mkuu
Kapicha tafadhali mkuu
[emoji15] [emoji56] [emoji16] [emoji125] [emoji125]
Kuwa mvumilivu mkuuHongera sie wengine tunatafuta bado hatujapata,nn siri ya mafanikio yako?