stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Wewe kaendelee kwanza Sisi tunataka muendelezo wa mrejesho ebo hauelewi nini?kwan mkuu unataka kunishauri kitu gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kaendelee kwanza Sisi tunataka muendelezo wa mrejesho ebo hauelewi nini?kwan mkuu unataka kunishauri kitu gani?
Mke anajulikana hata kabla hujamtongoza. Sema wengi huwa hawatafuti mke ila wanatafuta kipoza ugwadu nakutaka kiwe mke na hapo ndipo Fujo zinapoanzia.🤣🤣🤣🤣🤣 juzi tu tayari wamwita mke....we ndiyo maana yanakushinda mkuu
HAVINA MIDA!Naomba nitoe shukrani zangu za dhati JamiiForums kunipatia mchumba,
Pia, sio kwamba wewe hustahili kuwa mke wangu kama sijakupa kipaumbele, la hasha ni vile nilikuwa nataka mmoja tu!
Wengine tunaweza kushirikiana katika biashara zingine, tu na zikaenda kwa uzuri.
Mazao, ng'ombe, cosmetics, vitenge, sukari,
Niko mpakani,
Naahidi, kumpenda shemeji yenu.
AHSANTE
Pia soma: Msaada: Miaka hii 43 nampataje mwenza ambaye hana mtoto
Mkishaoana mkuu,Kumbuka wote ulioachana nao uliwaita hivyohivyo mkuu....kiko wapikwan inachukua muda gani kumwita mtu mwenye mnaendana mke
Maji utaita mma🤨kw
kwani nifanyaje ili nisipigwe na kitu kizito
🤣🤣🙌🏿Mke anajulikana hata kabla hujamtongoza. Sema wengi huwa hawatafuti mke ila wanatafuta kipoza ugwadu nakutaka kiwe mke na hapo ndipo Fujo zinapoanzia.
muache mwenzako kapata mke 😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣 juzi tu tayari wamwita mke....we ndiyo maana yanakushinda mkuu
Safari ya kutafuta mke au mume ni kama safari ya kutafuta maisha. Kunawengine wanapata maisha wakiwa wadogo kuwengine wanayapata wakiwa watu wazima na wengine wanayapata wakiwa wazee. Vivyo hivyo hata katika kutafuta mke au mume usikatetamaa unapoumizwa Wala usiache kuamini. KUBALI NDOA.🤣🤣🙌🏿
AmiinSafari ya kutafuta mke au mume ni kama safari ya kutafuta maisha. Kunawengine wanapata maisha wakiwa wadogo kuwengine wanayapata wakiwa watu wazima na wengine wanayapata wakiwa wazee. Vivyo hivyo hata katika kutafuta mke au mume usikatetamaa unapoumizwa Wala usiache kuamini. KUBALI NDOA.
🤣🤣🤓muache mwenzako kapata mke 😂😂😂
Niseme tu mtoa mada kuna kitu hakipo sawa, haiezekani wewe mtu mmoja waje sjui wanawake watatu woote unasema wana mapungufu! john issa ndo ana matatizo ila ana bahati ya kupata wanawake wa kumvumilia siku mbili tatu kama manara tuMkishaoana mkuu,Kumbuka wote ulioachana nao uliwaita hivyohivyo mkuu....kiko wapi
mm nimeachana na mmoja mkuu, nikweli kuwa na mimi ntakuwa na matatizo yangu. siwezi kuwa perfectNiseme tu mtoa mada kuna kitu hakipo sawa, haiezekani wewe mtu mmoja waje sjui wanawake watatu woote unasema wana mapungufu! john issa ndo ana matatizo ila ana bahati ya kupata wanawake wa kumvumilia siku mbili tatu kama manara tu
Aisee..
😆 acha kumtisha chaliako kapata pisi apo anasema upwiru sasa basi!!HAVINA MIDA!
NA MPAKA UJAMBE