JF hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.Habari zenu,napend kuwashukuru wale wote mlojitokeza kwa nia nzuri au mbaya, Najua wengi mlikuwa hamna nia nzuri,Na wote mlotoa maneno ya kashifa kwangu, Nakubwa namshukuru mungu wangu kwa nikipatia mume bora,Kutoka hapahapa JF ,Nlimpata mume na karibuni tutafunga ndoa. Mtakaribishwa tena kwenye harusi yetu.Ahsanteni wote
hatujapanga ni lini ndo tupo kwenye mchakato
Acha kufukunyua mambo ya watu... Unataka unepelekee umbea gani...?Taja id yake uyo bwana shemej
Someka basi na wewe? Tu viboxxxxxxxxxxxxxxx tu
Mangi kakataaahahahaa wekunywa hapo kwa mangi ntakuja kulipa, mangi mpe coca baridi
Habari zenu,napend kuwashukuru wale wote mlojitokeza kwa nia nzuri au mbaya, Najua wengi mlikuwa hamna nia nzuri,Na wote mlotoa maneno ya kashifa kwangu, Nakubwa namshukuru mungu wangu kwa nikipatia mume bora,Kutoka hapahapa JF ,Nlimpata mume na karibuni tutafunga ndoa. Mtakaribishwa tena kwenye harusi yetu.Ahsanteni wote