Mrejesho: Nimepata mume kutoka Jamiiforums

Mrejesho: Nimepata mume kutoka Jamiiforums

Tangazo tar 29 Dec 2015

Leo ni tar 26 Feb 2016

Umeshajihakikishia ndani ya siku zisizozidi 60!

Mungu akuongozeni na niwatakie kila la kheri, usisahau kutujulisha JF harakati za harusi huenda ukapata mchango kutoka JF, hata wa mawazo.
 
Habari zenu,

Nilileta habari ya kutafuta mume soma; Nimechoka kumsubiri, nahitaji kuolewa Napenda kuwashukuru wale wote milojitokeza kwa nia nzuri au mbaya na kubwa namshukuru Mungu wangu kwa nikipatia mume bora, kutoka hapahapa JamiiForums, nilimpata mume na karibuni tutafunga ndoa. Mtakaribishwa tena kwenye harusi yetu.

Asanteni wote
Duh kumbe inawezekana eeeeh
Hongera
 
"KikulachoChako - Dec 29, 2015 Hitaji la kutaka kuolewa....linakufanya
upoteze uwezo wako wa kufikiri na
kuchanganua mambo......kufunga ndoa
ni jambo la kwanza na kuhimiri
mikikimikiki ya ndoa ni jambo la
pili......... Maamuzi ya ndoa ni moja kati ya
maamuzi yanayohitaji umakini wa hali
ya ju kwani ni maamuzi
yanayopelekea kubadilisha mfumo
mzima wa maisha yako......... Ndoa ni mahali penye furaha.....ni
muunganiko unaoleta faraja ndani ya
mioyo ya wapendanao.....unatakiwa
uishi na mtu anayeishi ndani
yako......kwa sababu hakuna shule au
chuo kinachofundisha namna ya kupenda........ KUPANGA NI KUCHAGUA......."

Sina cha kuongeza, ila jiongeze ndo utaelewa namaanisha nini.
cc: rubylove, KikulachoChako.
 
Tangazo tar 29 Dec 2015

Leo ni tar 26 Feb 2016

Umeshajihakikishia ndani ya siku zisizozidi 60!

Mungu akuongozeni na niwatakie kila la kheri, usisahau kutujulisha JF harakati za harusi huenda ukapata mchango kutoka JF, hata wa mawazo.
Nikweli
 
"KikulachoChako - Dec 29, 2015 Hitaji la kutaka kuolewa....linakufanya
upoteze uwezo wako wa kufikiri na
kuchanganua mambo......kufunga ndoa
ni jambo la kwanza na kuhimiri
mikikimikiki ya ndoa ni jambo la
pili......... Maamuzi ya ndoa ni moja kati ya
maamuzi yanayohitaji umakini wa hali
ya ju kwani ni maamuzi
yanayopelekea kubadilisha mfumo
mzima wa maisha yako......... Ndoa ni mahali penye furaha.....ni
muunganiko unaoleta faraja ndani ya
mioyo ya wapendanao.....unatakiwa
uishi na mtu anayeishi ndani
yako......kwa sababu hakuna shule au
chuo kinachofundisha namna ya kupenda........ KUPANGA NI KUCHAGUA......."

Sina cha kuongeza, ila jiongeze ndo utaelewa namaanisha nini.
cc: rubylove, KikulachoChako.
sijakuekewa hata kidogo, jaribu kufupisha labda utaeleweka
 
Mimi ningeliona bora sana iwapo ungeshukuru baada ya ndoa, maana uchumba ni kitu rahisi sana na utaona kila aina ya uzuri shida kufikia hatua ya ndoa yenyewe. Hata hivyo ninawatakia kila la kheiri mushinde vishawishi vyote.
 
Hapana semeji, aio mkali muulize haya mchumba wangu, si wamjua eee
Namjua sana, achana na wasioamini ofcoz nimeona km umepaniki vile my shem jamani, usikasirike mwaya.
 
Habari zenu,

Nilileta habari ya kutafuta mume soma; Nimechoka kumsubiri, nahitaji kuolewa Napenda kuwashukuru wale wote milojitokeza kwa nia nzuri au mbaya na kubwa namshukuru Mungu wangu kwa nikipatia mume bora, kutoka hapahapa JamiiForums, nilimpata mume na karibuni tutafunga ndoa. Mtakaribishwa tena kwenye harusi yetu.

Asanteni wote

hongera kama ni kweliii, labda kama hutajali tupe takwimu wangapi walileta applications, wangapi kati ya walioleta application zao au ku show interest ulipata fursa ya kuonana nao na kuwa interview?
 
U
Habari zenu,

Nilileta habari ya kutafuta mume soma; Nimechoka kumsubiri, nahitaji kuolewa Napenda kuwashukuru wale wote milojitokeza kwa nia nzuri au mbaya na kubwa namshukuru Mungu wangu kwa nikipatia mume bora, kutoka hapahapa JamiiForums, nilimpata mume na karibuni tutafunga ndoa. Mtakaribishwa tena kwenye harusi yetu.

Asanteni wote
Ukimpa tamu kabla ya ndoa kosa!!! Mfunge ndoa kwanza
 
Mimi ningeliona bora sana iwapo ungeshukuru baada ya ndoa, maana uchumba ni kitu rahisi sana na utaona kila aina ya uzuri shida kufikia hatua ya ndoa yenyewe. Hata hivyo ninawatakia kila la kheiri mushinde vishawishi vyote.
asante
 
Back
Top Bottom