Mrejesho: Nimepata mume kutoka Jamiiforums

Mrejesho: Nimepata mume kutoka Jamiiforums

wanaume tunapohitaji kitu utatuita kila aina ya maneno matamu likiwemo hilo la mume bora kutokana na unyenyekevu,huduma na mengineyo lakini kwa hii sinema tutarajie mrejesho mwingine
 
Mimi ni mmojawapo ambaye nimepata mke kupitia JF tumefunga ndoa mwaka jana na hadi sasa tunaendelea vizuri namshukuru Mwenyezi Mungu.Nanyi Inshaallah mutafanikiwa
shukrani mkuu naamini na kwetu pia itawezekana..
 
Hongera sana japo umepata vichambo vya kutosha....usijali hii ndo J f.Kila la kheri naamini uliyempata ana shida na mke, Mungu awajaalie maisha yenye furaha na amani katika uchumba wenu hadi mtakapojaliwa kufunga ndoa.
,asante naamini mungu ni mwwma,na nilivumilia vichambo vyote vya humu, mungu awabariki
 
wanaume tunapohitaji kitu utatuita kila aina ya maneno matamu likiwemo hilo la mume bora kutokana na unyenyekevu,huduma na mengineyo lakini kwa hii sinema tutarajie mrejesho mwingine
haya wee subiria sinema, chukua na kiti ukae kabisa.....
 
wanaume tunapohitaji kitu utatuita kila aina ya maneno matamu likiwemo hilo la mume bora kutokana na unyenyekevu,huduma na mengineyo lakini kwa hii sinema tutarajie mrejesho mwingine
na kaa ukisubiri umaarufu nlokuwa nautafuta,loh
 
Less than a year mmeshafahamiana vya kutosha mpaka kutaka kufunga ndoa. Mtoa mada joined JF June 2015 Kila la heri wapendwa! Yawezekana kumbe
 
Habari zenu,

Nilileta habari ya kutafuta mume soma; Nimechoka kumsubiri, nahitaji kuolewa Napenda kuwashukuru wale wote milojitokeza kwa nia nzuri au mbaya na kubwa namshukuru Mungu wangu kwa nikipatia mume bora, kutoka hapahapa JamiiForums, nilimpata mume na karibuni tutafunga ndoa. Mtakaribishwa tena kwenye harusi yetu.

Asanteni wote
Huyo mchumba wa haraka haraka ivyo mama. ...! Nina maswali mengi sana imekuwaje umejiaminisha hivyo, maana huo uzi ulileta hapa JF 29 DECEMBER 2015, ndani ya miezi 2, ameshakuwa mchumba? Au wewe ni wale wale, maharage ya Mbeya, ndio maana boyfriend wa mwanzo alisita kutangaza nia...!?

Eeeh Mungu, angali kizazi cha leo, ukiangazie kisipotee!
 
"
Habari zenu,

Nilileta habari ya kutafuta mume soma; Nimechoka kumsubiri, nahitaji kuolewa Napenda kuwashukuru wale wote milojitokeza kwa nia nzuri au mbaya na kubwa namshukuru Mungu wangu kwa nikipatia mume bora, kutoka hapahapa JamiiForums, nilimpata mume na karibuni tutafunga ndoa. Mtakaribishwa tena kwenye harusi yetu.

Asanteni wote
Naomba niwe Bestman kwenye harusi yako"
 
na kaa ukisubiri umaarufu nlokuwa nautafuta,loh
kumbe ulikuwa unatafuta umaarufu? Hongera lakini umaarufu haupimwi katika vitu kama Hivi kuwa muangalifu sana utakapo megwa na kuachwa ni majuto yako... Kaa chini na utafakali hivi ungelileta hili bandiko baada ya ndoa kungeharibika kitu
 
Back
Top Bottom