Mrejesho: Safari yangu ya kwenda kulima mkoa wa Katavi - Wilaya ya Tanganyika, kijiji cha Mwese 4

Mrejesho: Safari yangu ya kwenda kulima mkoa wa Katavi - Wilaya ya Tanganyika, kijiji cha Mwese 4

Saf sana mzee yule dada mtu poa sana mkarimu sana na mfahamu ........ nilikuwa na waza kimasihara watuhumiwa kuwepo msala sana kwao rooms ziko karibu sana nilskia Yuko huku kijiji Cha mbele kama unaenda bulombola na kajeje
Mapanda njia unakufahamu mkuu
 
Nilifikia namba NNE wakaniambia mavuno bado nisubiri baada ya wiki mbili so naomba mrejesho kijiji specific cha maharage nikapige kambi huko.
Lubalisi au igonge
Shuka lubalis pesa kama Iko debe 30000 huku ukiwa na pesa una walalia wameanza vuna watu wako busy na pombe
 
Back
Top Bottom