Mrejesho: Safari yangu ya kwenda kulima mkoa wa Katavi - Wilaya ya Tanganyika, kijiji cha Mwese 4

Mrejesho: Safari yangu ya kwenda kulima mkoa wa Katavi - Wilaya ya Tanganyika, kijiji cha Mwese 4

Kijijin watu sio wa choyo kukupa hifadhi ya kulala vyema ukalala Kwa mtendaji usalama store watu wanakula eneo la kutunza mzigo maeneo yapo mengi kununua pole pole inafanyika watu wanafanya
Aya wadau wa katavi now Kuna route mpya kutoka dsm to Katav chuma AN Classic wamekuja gar mpya rout ya jioni Iko ukienda mwese huwaz hulali gest na mizigo .....Kule kijijin dogo Ana niambia debe dogo 15000 maharage
 
Kijijin watu sio wa choyo kukupa hifadhi ya kulala vyema ukalala Kwa mtendaji usalama store watu wanakula eneo la kutunza mzigo maeneo yapo mengi kununua pole pole inafanyika watu wanafanya
Sawa sawa, asante.
 
Hongera sana Kiongozi. Penye nia, pana njia. Hakika wewe ni mfano kwa vijana wengi wanaoendelea kujitafuta katika hii nchi na utawala wa Samia usiotabirika.
 
Mnaosoma huu Uzi na kuhamasika njoo Kwa tahadhari kubwa.
Zingatia yafuatayo unapoamua kuja huku,
1. Mwese no.4 unaposikia pamechangamka ni pa kiboya Sana....unaweza kutembea maduka yote kuanzia Kwa mjinga Hadi Kwa kapama kule juu usipate vocha.
2. Pet movements za hapa na pale kama huna usafiri wako ni gharama Sana.
3. Topographically mwese ni mountainous Sana milima na mabonde so network ni shida.
4. Wenyeji WA mwese ni wabinafsi hasa Kwa wageni na hususan kama huna mwenyeji ni wagumu kuinteract. Washamba Sana.
5. Unapokuja beba kias In cash....huduma za kipesa ni hafifu so kama unahitaji dau kuanzia 500k unaweza usipate.
6. Guest house so far najua moja Tu na humo humo ndo kuna bar.
7. Beba power bank au kiswaswadu kinachodumu na chaji.
8. Wenyeji huchukuliana kimadaraja.
a)wanyarwanda hujikuta royals
b)waha na warundi ni cheap labour
c)watongwe hujiona kama wazawa halisi
d) wasukuma ni wafugaji na ndio kundi linalosemekana ni washamba.

In short mwese sio pazuri kisura kama umezoea uchangamfu. Fuata kilichokuleta.

Welcome my fellow gentlemen.
 
Niko lubalisi na tayari nimekabidhiwa Pori la kujitayarisha na masika bure kabisa.
Honger sana mkuu umeingia lini lubalis umeoaonnaje??? ...Nina wiki tatu toka nitokee Kuna msiba mkubwa ulitokea hapo wale walileta umeme walipata ajali na kufariki ....umefikia Kwa nani hapo bush??
 
Mnaosoma huu Uzi na kuhamasika njoo Kwa tahadhari kubwa.
Zingatia yafuatayo unapoamua kuja huku,
1. Mwese no.4 unaposikia pamechangamka ni pa kiboya Sana....unaweza kutembea maduka yote kuanzia Kwa mjinga Hadi Kwa kapama kule juu usipate vocha.
2. Pet movements za hapa na pale kama huna usafiri wako ni gharama Sana.
3. Topographically mwese ni mountainous Sana milima na mabonde so network ni shida.
4. Wenyeji WA mwese ni wabinafsi hasa Kwa wageni na hususan kama huna mwenyeji ni wagumu kuinteract. Washamba Sana.
5. Unapokuja beba kias In cash....huduma za kipesa ni hafifu so kama unahitaji dau kuanzia 500k unaweza usipate.
6. Guest house so far najua moja Tu na humo humo ndo kuna bar.
7. Beba power bank au kiswaswadu kinachodumu na chaji.
8. Wenyeji huchukuliana kimadaraja.
a)wanyarwanda hujikuta royals
b)waha na warundi ni cheap labour
c)watongwe hujiona kama wazawa halisi
d) wasukuma ni wafugaji na ndio kundi linalosemekana ni washamba.

In short mwese sio pazuri kisura kama umezoea uchangamfu. Fuata kilichokuleta.

Welcome my fellow generation Z.
Uko sahihi upande wa simu nyongeza mtu Ana tumia smartphone simu nzur hiz za mchina infinix ..redmn kule zina KAMATA hapo Kwa warund umemaliza Wana nata sana Kuna kijiwe hapo jioni kwenye madukq pembeni uwanja wa shule Yako busy watu wanakula balimi za kutosha wengine kahawa
 
Uko sahihi upande wa simu nyongeza mtu Ana tumia smartphone simu nzur hiz za mchina infinix ..redmn kule zina KAMATA hapo Kwa warund umemaliza Wana nata sana Kuna kijiwe hapo jioni kwenye madukq pembeni uwanja wa shule Yako busy watu wanakula balimi za kutosha wengine kahawa
Safi mkuu
 
Mkuu hapo nimelala kuna vikambi pale watu wamehama nimepiga mboji pale porini kama siku tano hivi pekeyangu
Pale center shuleni ujapata mwenyeji????????? Kaa vzr na walimu wako fair sana wa ple Kuna mtendaji mwingine katolewa hapo wa ikubulu kaka hapo ....mwez wa nane nakuja hapo nimetoka juzi tu huko
 
Pale center shuleni ujapata mwenyeji????????? Kaa vzr na walimu wako fair sana wa ple Kuna mtendaji mwingine katolewa hapo wa ikubulu kaka hapo ....mwez wa nane nakuja hapo nimetoka juzi tu huko
Yule mtendaji nlipewa habari zake lakini pia nlikaa porini kule nlikuwa na Mishe ya kuwasimamia wafyekaji.
Nlipata geto mwese japo binafsi sijapakubali mwese kivile kama lubalisi
 
Inategemeana una nunulia wapi au Kijiji gani, lakini Kwa upande wa mahindi Kuna center maalufu sana ya mahindi na apo ndo wanunuzi wa Mahindi wanapo kuja wanafikia hapo. Wanunuzi kutoka nchi za jirani na Mikoani wote wanapenda kufikia hapo. Maana yake ni kwamba hapo ndipo yalipo mghara ya kuhifadhia nafaka kwaiyo Kuna wale wanao enda kununua uko Kwa wakulima na kuleta kuuzia hapo, au ukipenda uwende kununua huko ni sawa.

Mara nyingi kama unataka Mzigo mkubwa unaingia huko ndani ndani unanua Kisha unachukua Trektor ya kusogeza pale. Kulingana na miundo mbinu uwezi kupeleka Semi trailer uko ndani ndani itakwama, Magari makubwa Yana park pale na kunakuwa na matrector ya kutoa kule mashambani na kusogeza pale.
Kuhusu miundo mbinu ya Barabara, kwakweli Barabara ni nzuri tu kama unatokea mikoa mingine kufika Mpanda mjini. Kutoka mjini kuja wilaya ya Tanganyika Barabara ni rough road lakini inapitika vizuri hadi kufika kwenye hizo center.. Kama Kuna kitu nimesahau kujibu uliza. Asante sana.
Brother kuna fursa nimeiona hapo kipindi cha mavuno, kwamba naweza kuja hapo na mtaji wangu nakusamya mahindi kijijini nabeba kwa trekta nauza hapo centre. Vipi hii kitu iko sawa.
 
Brother kuna fursa nimeiona hapo kipindi cha mavuno, kwamba naweza kuja hapo na mtaji wangu nakusamya mahindi kijijini nabeba kwa trekta nauza hapo centre. Vipi hii kitu iko sawa.
Mkuu unauzia centre ipi?
 
Honger sana mkuu umeingia lini lubalis umeoaonnaje??? ...Nina wiki tatu toka nitokee Kuna msiba mkubwa ulitokea hapo wale walileta umeme walipata ajali na kufariki ....umefikia Kwa nani hapo bush??
Yeah mkuu huo msiba niliusikia jamaa walipata ajali nadhani ni kuelekea huko lukoma sema sio mwenyeji Sana na Kwa kuwa sikuwafahamu so sikufatilia Sana.
 
Yule mtendaji nlipewa habari zake lakini pia nlikaa porini kule nlikuwa na Mishe ya kuwasimamia wafyekaji.
Nlipata geto mwese japo binafsi sijapakubali mwese kivile kama lubalisi
Lubalis unyama huyo ameondoka Alikuwa fair sema nae single mama alimkuta hapo akaishi nae kamuacha huy manzi pini balaaaaaa sema Yuko bush lubalis paukwel nimelima maharage hapo heka kadhaaa nimevuna now Nina project ya nguruwe Kwa mbele
 
Back
Top Bottom