Mrejesho: Safari yangu ya kwenda kulima mkoa wa Katavi - Wilaya ya Tanganyika, kijiji cha Mwese 4

Uko vizuri sana, barikiwa.
 
Mkuu mi naomba connection ya huyo mtaalamu kama yuko vizuri haswa.
 
✅🙏🙏🙏
 
Mkuu ninakupongeza sana! Hii ni wake up call kwa vijana wanaong'ang'ania mjini wajiongeze.

Ila kwa mazingira unayoelezea vijana wengi wa mjini laini laini hawataweza labda wawe na mitaji waje walime kwa trekta na waweke vibarua. Yaani wao kazi yao iwe ni usimamizi tu! Na usishangae hata hilo wanaweza kufeli....tuna vijana wa kiume wa hovyo sana ...soft skin, weak and lazy. Kazi wanayoweza ni kuweka bundle kuponda vitu vya maendeleo kama hivi na kuchangia katika mada za celebrities wa mjini na mipira tu. Huu uzi wataupita kama hawauoni au watakuponda tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…