MREJESHO: Simuelewi mume wangu

100% correct

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unalala umejaradia unategemea huo mzuka wa kukuzagamua na kukupelekea moto atautoa wapi

Ukiwa nae ndani tembea uchi mwanzo mwisho alafu subiri kinachofuata namaanisha tembea uchi tena uwe unajipanuapanua, utatuletea mrejesho
 
[emoji39][emoji39][emoji39]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikiachana na mwanamke nikimuona anapendeza namtamani tena.
 
Unalala umejaradia unategemea huo mzuka wa kukuzagamua na kukupelekea moto atautoa wapi

Ukiwa nae ndani tembea uchi mwanzo mwisho alafu subiri kinachofuata namaanisha tembea uchi tena uwe unajipanuapanua, utatuletea mrejesho
Inaweza kuwa dawa....
 
Unalala umejaradia unategemea huo mzuka wa kukuzagamua na kukupelekea moto atautoa wapi

Ukiwa nae ndani tembea uchi mwanzo mwisho alafu subiri kinachofuata namaanisha tembea uchi tena uwe unajipanuapanua, utatuletea mrejesho
Mkuu huu ni zaidi ya ushauri, mle mada chukua huu ushauri wa kwenye kitchen party ndivyo mnavyoelekezwa hivi ila mna vichwa vigumu kuelewa

Ukiwa ndani muonyeshe mumeo chakula chake kilivyo ili umpe appetite ya kukupelekea moto sio unajifunikafunika tu
 
Hahahah una tuvitu flani hivi ambavyo wahuni tunapendaga😂!
Sifa kuu ya wife material haboi.
 

Mie sijatulia ila ni hazibandi material.
Ukitaka univuruge niletee visingizio kwenye hii tasnia pendwa ( hata kama tuna ugomvi au tofauti flani, ikifika hicho kipindi ziweke pembeni, tutendeane haki ndio tupinge upya bifu). Na nilishaweka dhahiri Bayana pasi shaka kwamba siku akiona naumwa, au nna stress kiasi Cha kushindwa kabisa burudani pendwa, aanze kuulizia password za ATM, mirathi na wosia, kuandaa maturubai na kutoa taarifa Kwa ndugu kwamba Kuna jambo Zito linaikumba familia.

Yaani niwe na stress kiasi Cha kushindwa kabisaaaa? Hiyo haipo na sijui kama itakuja kutokea.
 
Na kweli ngoja tu nichepuke maana hamna namna majibu yake yenyewe ya kisanii Kuna wakati nawaza labda kalogwa
Fuata ushauri wa The Boss hapo juu post namba 7.Kuna vitu huwa wanaume tunaona aibu kuwaambia wanawake direct ambavyo kiujumla huwa vina kera sana,hata kusababisha hamu inakatika kabisa,harufu ya jasho mwilini,harufu kali ya maeneo,harufu ya kinywa,unene uliopitiliza mpaka umepoteza mvuto n.k.Kaa ongea naye vizuri ujuwe shida ni nini.Pia yawezekana alikuwa na mchepuko kamchezea akili na yeye anafikiri tu kapoteza hamu kumbe kafungwa kimazingara asiwe na hamu na wewe...,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…