100% correctNi kweli usemayo lakini naongelea hata kabla sijaolewa. Sijawahi kustruggle kutafuta wa kunioa...
Siwezi kusema mengi hapa lakini najua kabisa nikiachika leo na umri huu nikitaka kuolewa tena nitaolewa, na mtu mpya kabisa ambae nitakutana nae baada yakuachika.
Kupata mume ni vile unavyojiweka.
Unalala umejaradia unategemea huo mzuka wa kukuzagamua na kukupelekea moto atautoa wapiPoleni na majukumu, wiki kama mbili zimepita nilikuja kuomba ushauri kuwa mme wangu hataki tushiriki tendo la ndoa, nashukuru wote mlionishauri na kunitia moyo. Mungu awabariki sana.
Mrejesho upo hivi; baada ya kukaa naye chini kumuuliza shida ni nini ameishia kunijibu kuwa anatumia eti dozi ya kupunguza mwili akimaliza dozi mambo yatakuwa mazuri kama mwanzo.
Kiukweli bado sijaridhika na hili jibu, naona kama ni usanii vile. Hivi kuna dozi ya kupunguza mwili ambayo mtumiaji anakatazwa kufanya mapenzi na mke wake? Naona tu kama mapicha picha bado yanaendelea.
Naombeni mnisaidie, vipi kutakuwa na ukweli wowote kuhusu haya majibu yake?
Duh!!..Huyo hana nguvu za kiume.
Mkuu unalionaje hili suala la miss chuga?Duh!!..
[emoji39][emoji39][emoji39]Am not beautiful kawaida tu.
Lakini muonekano wangu na ongea yangu utaka tu kuniweka ndani[emoji1787][emoji1787], sasa utakayakuta huko baada ya kunioa mi sijui..
Nijisifie tu mimi ni wife material najijua, hata mkibisha shauri lenu..
Ila ni chizi flani hivi[emoji28][emoji28][emoji28]
Fundiiiiiiii😅😅
Uhusiano una mengi sana, huwenda anayoweka hapa ni machache, Hila la nguvu za kiume limaweza kuwepo au lingine pia..Mkuu unalionaje hili suala la miss chuga?
Nikiachana na mwanamke nikimuona anapendeza namtamani tena.Ni kweli usemayo lakini naongelea hata kabla sijaolewa. Sijawahi kustruggle kutafuta wa kunioa...
Siwezi kusema mengi hapa lakini najua kabisa nikiachika leo na umri huu nikitaka kuolewa tena nitaolewa, na mtu mpya kabisa ambae nitakutana nae baada yakuachika.
Kupata mume ni vile unavyojiweka.
Inaweza kuwa dawa....Unalala umejaradia unategemea huo mzuka wa kukuzagamua na kukupelekea moto atautoa wapi
Ukiwa nae ndani tembea uchi mwanzo mwisho alafu subiri kinachofuata namaanisha tembea uchi tena uwe unajipanuapanua, utatuletea mrejesho
Umenisisimua vilivyo hapa fundi mkuu wangu [emoji39][emoji39][emoji39][emoji1751]Fundiiiiiiii[emoji28][emoji28]
Sisimka tu bwana, ni vizuri kwa afya 😅Umenisisimua vilivyo hapa fundi mkuu wangu [emoji39][emoji39][emoji39][emoji1751]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huu ni zaidi ya ushauri, mle mada chukua huu ushauri wa kwenye kitchen party ndivyo mnavyoelekezwa hivi ila mna vichwa vigumu kuelewaUnalala umejaradia unategemea huo mzuka wa kukuzagamua na kukupelekea moto atautoa wapi
Ukiwa nae ndani tembea uchi mwanzo mwisho alafu subiri kinachofuata namaanisha tembea uchi tena uwe unajipanuapanua, utatuletea mrejesho
WEE LALA UCHI WA MNYAMATunalala kitanda kimoja Ila ukitaka tu kumgusa anakuwahi anakutoa mkono
Hahahah una tuvitu flani hivi ambavyo wahuni tunapendaga😂!Am not beautiful kawaida tu.
Lakini muonekano wangu na ongea yangu utaka tu kuniweka ndani🤣🤣, sasa utakayakuta huko baada ya kunioa mi sijui..
Nijisifie tu mimi ni wife material najijua, hata mkibisha shauri lenu..
Ila ni chizi flani hivi😅😅😅
Fuata ushauri wa The Boss hapo juu post namba 7.Kuna vitu huwa wanaume tunaona aibu kuwaambia wanawake direct ambavyo kiujumla huwa vina kera sana,hata kusababisha hamu inakatika kabisa,harufu ya jasho mwilini,harufu kali ya maeneo,harufu ya kinywa,unene uliopitiliza mpaka umepoteza mvuto n.k.Kaa ongea naye vizuri ujuwe shida ni nini.Pia yawezekana alikuwa na mchepuko kamchezea akili na yeye anafikiri tu kapoteza hamu kumbe kafungwa kimazingara asiwe na hamu na wewe...,Na kweli ngoja tu nichepuke maana hamna namna majibu yake yenyewe ya kisanii Kuna wakati nawaza labda kalogwa