MREJESHO: Simuelewi mume wangu

Nilishawahi kipindi kimoja kutumia PEP, nikiamua kusafiri kipindi chote hicho 28 days. Shida yangu ilikuwa hivi, itawezekanaje kutumia mpira kwa mrs???? Nitampa sababu ipi??? So nikaona isiwe tabu, nikamuaga naenda safari, kweli nilitoka kanda ya ziwa nikaend Mkulanga, baadae huyo Mpanda..siku zikaisha, nikatiq timu home.

Inawezekana hili pia limemfika mmeo, huwezi jua..
 
Sina harufu Wala tatizo lolote nipo tu vizuri alafu pia hanaga kinyaa maana kipindi tunafanya kuwa alikuwa anapiga deki kila sehemu Mimi kilichobaki sahivi nahisi tu Kuna mtu kamloga maana nishajikatia tamaa
Nimesikitika hapo kumpigisha deki. Umemlisha uchafu mumeo. Achaneni na huo upuuzi.
 
🤣🤣 yupo kwenye dozi ya perp guadiola ,kitu dengu mzee ,inaonekana aliteleza na wese jingi ila huo utelezi ulikuwa si salama
 
Ngoja arud nimwambie anioneshe maana nimetafuta nyumba nzima sijaona dawa zozote zile nahisi hapa Kuna kausanii kanaendelea

Na ukomae kabisa kuweka wazi kwamba unaipenda ndoa Yako na uko tayari kujitetea Kwa yeye kuweka Bayana shida ni Nini, bila hivyo mwambie unaondoka. Na kurudi itabidi mshirikishe watu wazima.

Hatukatai kuwa na changamoto au tatizo, tunachogomba ni kukaa kimya au kutoa utetezi wa kitoto.

Kwa ilivyoelezwa hapa inaonekana kabisa una Nia ya dhati kunusuru ndoa na unaipenda ndoa Yako, fight for it.
 
Sina harufu Wala tatizo lolote nipo tu vizuri alafu pia hanaga kinyaa maana kipindi tunafanya kuwa alikuwa anapiga deki kila sehemu Mimi kilichobaki sahivi nahisi tu Kuna mtu kamloga maana nishajikatia tamaa

Haijawahi kutokea tafrani inahisisha yeye kutilia shaka unacheouka? Kwa mwanaume anaempenda mtu ikitokea hizo mambo za kutoka na mwingine inavuruga Kila sekta na taasisi zote za mwili.
 
Yatanikutaje mimi Mwanaume. Sawa, je umeshawahi ongea na Mshenga wenu, kanisani au kwa ndugu na jamaa wa karibu ili kama kuna tatizo mliweke sawa kuliko kuja huku JF na kushauriwa uchepuke? Nifahamuvyo, mashaka ya ndoa yana utaratibu wa kuya handle. Kwanza ni nyie kwa nyie then kama inashindikana mnataka na kushirikisha wengine kama mshenga,kanisa/msikiti, wazee wenye hekima, rafiki mnaoheshimiana au hata wazazi na sio kukurupuka. Ndoa itakushinda.
 
Una watoto?
 
Inaonyesha unapenda minyanduano i
 
Ndio wale wale akina Joyce Kiria. Katika vitu ambavyo Mungu alinipa hekima ni kwenye maswala ya ndoa. Nifahamuvyo, issue za kindoa zina channel za kusuruhisha kama kuna tatizo. Kwanza alitakiwa kuongea na mwenza kujua nini tatizo ikishindikana ashirikishwe mshenga au wazee wa karibu wenye hekima au viongozi wa dini au hata wazazi ila sio kukurupuka huku nakushauriwa na Demi achepuke. Akifumaniwa ndio atadharirika zaidi na hakuna mtu atakayemuelewa akisema mme hakumgusa mwaka mzima. Nimekudharau sana leo Dada kwa ushauri wako eti achepuke
 
Mpe mda zaidi labdah kuna mambo hayajakaa sawaaa.....usikimbilie kuchepuka au kufanya jambo baya
 
Sina harufu Wala tatizo lolote nipo tu vizuri alafu pia hanaga kinyaa maana kipindi tunafanya kuwa alikuwa anapiga deki kila sehemu Mimi kilichobaki sahivi nahisi tu Kuna mtu kamloga maana nishajikatia tamaa
Alikua anapiga deki KILA SEHEMU[emoji2960]
 
Nidharau vyovyote upendavyo.
Lakini ukweli utabaki pale pale usipomtimizia haja zake mkeo tena bila sababu za msingi wahuni watamtenda tena ile kinomanoma.

Hao washenga na viongozi wa dini hawajawahi kuwasaidia watu matatizo yao sana sana wanayazidisha.

Na watatangaza matatizo yako kwa watu wengine. Hawana msaada wowote zaidi ya kukupa vifungu vya maandiko na kukulazimisha uvumilie.

Na wao ndoa zao zipo juu ya mawe kama wengine.
Halafu utawapelekea mangapi? Mwishowe watakupuuza maana matatizo hayaishi yapo kila siku.

Kama nyie wawili mmeshindwa kusolve matatizo yenu kaa ukijua hakuna mwingine anayeweza.

Baki na mawazo yako nibaki na ya kwangu.

Sitakudharau wala kukulazimisha uone nipo sahihi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…