miss chuga
JF-Expert Member
- Dec 25, 2019
- 303
- 660
- Thread starter
-
- #61
Kwa kifupi hataki nimguse kwahiyo sijui Kama hata hiyo mashine inasimama au haisimami pengne ukute hata haipo ilishakatwa na wauni maana sijaiona mda sasa Yan ni mambo ya kushngaza kwakweli na ya aibumiss chuga kuna mtu kauliza hapa vipi jamaa anadindisha au mashine imesizi muda wote?
Kwa maana hiyo siku hizi hata deki hapigi?"Alikuwa anapiga deki kila sehemu ", hahaha!!
🤣🤣🤣 ngoja nisikilizie maana kutakuwa na foreni kwa sasaZama kwa waziri mkuu tuone nini unaweza kusaidia kwa kipindi hiki anachopitia bidada mkuu😀
na huenda ameupatia ndani ya ndoa embu jiweke kwenye nafasi ya huyo bwana!Jamaa ana ngonjwa la zinaa anajitibu akipona mbususu ikae mkao wa kuliwa
Inawezekana unachosema ni kweli hata na Mimi Kuna wakati nawaza hivyo Ila Kama ni hivyo Mimi ni mke wake kwanini asinishirikishe ili tutatue tatizo kwa pamoja haoni sasa ukimya wake unanitesa mpaka nishapata msongo wa mawazoMawazo yote waliyocoment wadau yanaweza kuwa sahihi ila Mimi nakuja kinyume.@miss chuga hivi huwezi fikiri labda mumeo amegundua anaumwa maradhi fulani hivyo anakwepa kukutomb* ili asije kukuambukiza.
Hebu jaribu kufikiri sawasawa bila kuongozwa na mihemuko ya wivu na dududu.
Ebu nisaidie Kama unachosema ni kweli inaweza ikawa ni Kama magonjwa gani maana nawaza Kama ni ukimwi kwahiyo atanizungusha maisha yote au ni hivi vi magonjwa vya mda mfupi naomba nisaidie hapa kunipa mawazo akili yangu ishachokaMawazo yote waliyocoment wadau yanaweza kuwa sahihi ila Mimi nakuja kinyume.@miss chuga hivi huwezi fikiri labda mumeo amegundua anaumwa maradhi fulani hivyo anakwepa kukutomb* ili asije kukuambukiza.
Hebu jaribu kufikiri sawasawa bila kuongozwa na mihemuko ya wivu na dududu.
Kachepuka huyo kapata nje si kwa mkewena huenda ameupatia ndani ya ndoa embu jiweke kwenye nafasi ya huyo bwana!
Njoo nkutoe kutu mama shida za nn?Na kweli ngoja tu nichepuke maana hamna namna majibu yake yenyewe ya kisanii Kuna wakati nawaza labda kalogwa
Na Mimi nahisi ishanipanda kichwani maana siku hizi na hasira nagombana na kila mtu yani nimekuwa mtu wa kukwazika bila sababuHivi kumbe nyege nikwawote nilijua ni kwetu mwanaume tu tena ikizidi huwa inapanda kichwani
Njoo PM......inawezekana mumeo ni mtoto WA mwisho kwao yaani juniorPoleni na majukumu, wiki Kama mbili zimepita nilikuja kuomba ushauri kuwa mme wangu hataki tushiriki tendo la ndoa. nashukuru wote mlionishauri na kunitia moyo Mungu awabariki sana.
Mrejesho upo hivi baada ya kukaa naye chini kumuuliza shida ni Nini ameishia kunijibu kuwa anatumia eti dozi ya kupunguza mwili akimaliza dozi mambo yatakuwa mazuri Kama mwanzo, kiukweli bado sijaridhika na hili jibu naona Kama ni usanii vile hivi kuna dozi ya kupunguza mwili ambayo mtumiaji anakatazwa kufanya mapenzi na mke wake naona tu Kama mapicha picha bado yanaendelea.
Naombeni mnisaidie vipi kutakuwa na ukweli wowote kuhusu haya majibu yake
Na Mimi leo nimewaza kitu Kama hiki Kuna uwezekano akawa ameanza mambo ya kishirikina maana hayo mambo ya kuniambia yupo kwenye doz na mashaka nayo dozi gani ambazo mtu unanyimwa kufanya mapenzi na mkeoSidhani kama ni kweli, lbd ungesema "anatii masharti ya mganga wa kienyeji" hapo ningekubali.
Una miezi mingapi uja sex mpendwaNa Mimi nahisi ishanipanda kichwani maana siku hizi na hasira nagombana na kila mtu yani nimekuwa mtu wa kukwazika bila sababu
inawezekana na pia isiwezekana..Kachepuka huyo kapata nje si kwa mkewe
Yaani hapo hapo!Na Mimi leo nimewaza kitu Kama hiki Kuna uwezekano akawa ameanza mambo ya kishirikina maana hayo mambo ya kuniambia yupo kwenye doz na mashaka nayo dozi gani ambazo mtu unanyimwa kufanya mapenzi na mkeo
Huyo jamaa anafeli wapi tena unaonekana mtamu sana tena upo chugaNa Mimi nahisi ishanipanda kichwani maana siku hizi na hasira nagombana na kila mtu yani nimekuwa mtu wa kukwazika bila sababu
Kwajinsi ambavyo hata hataki nimguse sasa Mimi nitajuaje Kama hiyo mashine inasimama
Aisee pole sana, jaribu pia kua unamshawishi mara kwa maraSina harufu Wala tatizo lolote nipo tu vizuri alafu pia hanaga kinyaa maana kipindi tunafanya kuwa alikuwa anapiga deki kila sehemu Mimi kilichobaki sahivi nahisi tu Kuna mtu kamloga maana nishajikatia tamaa