Ina maana hamlali kitanda kimoja?Kwajinsi ambavyo hata hataki nimguse sasa Mimi nitajuaje Kama hiyo mashine inasimama
Fundi mkuu nakupa hi,Mke wako akiwa na harufu si unamwambia? Kukaa kimya unajenga ama unabomoa?
Angekua ameambiwa anaijua sababu sidhani kama angeleta haya malalamiko mara ya pili sasa.
Pole bby kweli nilipotea lakini ninkwa mema, nnimeanza kujenga bangalow letu bby. Sii unawajua mafundiz wetu lazima ukae nao benet. Mzima weweBaby ulipotea
Wee mkomalie bwana yaani mwambie hapa leo bila mgegedo mie naenda kutombwer nje huko. Uone kama hajakugegeda. Inabidi unadilike uwe mbogo mwanamke. Ndoa ni kugegedana bwana ndicho ulichofuata na sio chakula maana kwenu ulikuwa unakula.Nimeshafanya mbinu zote ndugu yangu Ila hamna lolote Kuna wakati nawaza kalogwa bana eh! Nshajikatia tamaa mtu gani huyu Kuna siku niliamka na hasira nikataka kuondoka alichanganyikiwa kiukweli alivyosikia naondoka bahati nzuri Kuna mtu mzima aliingilia kutusuluisha nikamwelezea matatizo yang na mme wangu akiwepo uzuri yule baba ni mtu mzima Kama baba yetu akamwambia mwanangu jitahidi umridhishe mke wako usipofanya hivyo unamtengenezea mazingira ya kuanza kukusaliti alitushauri tu vitu vingi. akanambia mke wangu naomba usiondoke baada ya hapo nikajua hata tutafanya Ila wapi ana kazi tu ya kunipet pet nisiondoke inakera kwakweli Kuna muda kichwa kinajaa mawazo natamani hata nipige ukunga
Huyo mume wako Kuna sehemu aliingia bila kondom akaambukizwa gonjwa la zinaa. Hizo dawa anazokunywa kwa kisingizio Cha kupunguza uzito Ni dawa ya gono au kaswende au UTI sugu.Poleni na majukumu, wiki kama mbili zimepita nilikuja kuomba ushauri kuwa mme wangu hataki tushiriki tendo la ndoa, nashukuru wote mlionishauri na kunitia moyo. Mungu awabariki sana.
Mrejesho upo hivi; baada ya kukaa naye chini kumuuliza shida ni nini ameishia kunijibu kuwa anatumia eti dozi ya kupunguza mwili akimaliza dozi mambo yatakuwa mazuri kama mwanzo.
Kiukweli bado sijaridhika na hili jibu, naona kama ni usanii vile. Hivi kuna dozi ya kupunguza mwili ambayo mtumiaji anakatazwa kufanya mapenzi na mke wake? Naona tu kama mapicha picha bado yanaendelea.
Naombeni mnisaidie, vipi kutakuwa na ukweli wowote kuhusu haya majibu yake?
Mtafutie dawa ambayo ukimmixia kwenye msosi usiku, mnara utasoma 4g.Poleni na majukumu, wiki kama mbili zimepita nilikuja kuomba ushauri kuwa mme wangu hataki tushiriki tendo la ndoa, nashukuru wote mlionishauri na kunitia moyo. Mungu awabariki sana.
Mrejesho upo hivi; baada ya kukaa naye chini kumuuliza shida ni nini ameishia kunijibu kuwa anatumia eti dozi ya kupunguza mwili akimaliza dozi mambo yatakuwa mazuri kama mwanzo.
Kiukweli bado sijaridhika na hili jibu, naona kama ni usanii vile. Hivi kuna dozi ya kupunguza mwili ambayo mtumiaji anakatazwa kufanya mapenzi na mke wake? Naona tu kama mapicha picha bado yanaendelea.
Naombeni mnisaidie, vipi kutakuwa na ukweli wowote kuhusu haya majibu yake?
Kwanini uchepuke?Na kweli ngoja tu nichepuke maana hamna namna majibu yake yenyewe ya kisanii Kuna wakati nawaza labda kalogwa
Ushauri mzuri sana.Mapenzi ni hisia,
Huyo hana feeling na wewe teba,toka usingizini,pia usije ukajiongopea kua kuchepuka ndio solution ya tatizo lako,
Yangu ni hayo tu,the rest is up to you
Poleni na majukumu, wiki kama mbili zimepita nilikuja kuomba ushauri kuwa mme wangu hataki tushiriki tendo la ndoa, nashukuru wote mlionishauri na kunitia moyo. Mungu awabariki sana.
Mrejesho upo hivi; baada ya kukaa naye chini kumuuliza shida ni nini ameishia kunijibu kuwa anatumia eti dozi ya kupunguza mwili akimaliza dozi mambo yatakuwa mazuri kama mwanzo.
Kiukweli bado sijaridhika na hili jibu, naona kama ni usanii vile. Hivi kuna dozi ya kupunguza mwili ambayo mtumiaji anakatazwa kufanya mapenzi na mke wake? Naona tu kama mapicha picha bado yanaendelea.
Naombeni mnisaidie, vipi kutakuwa na ukweli wowote kuhusu haya majibu yake?
This is a possibilityLabda Una tatizo la harufu
Jichunguze...
Watu wenye kinyaa hisia zao zinapotea haraka Sana Kama kuna kitu kuhusu usafi au harufu kinamkwaza.... otherwise labda ana stress kubwa ya hela...
Sijui kama familia yao inaexist au lah.Kwakweli bado na mpaka sasa sijui ana mpango gani yani ndoa ni ngumu sana basi tu Kama ningejuaga mapema nisingeolewa
Kuwa makini sana na maamuzi unayotaka kufanya.Na Mimi pia nawaza hivyo pia na mpango siku ikitokea akianza kutaka na Mimi nimnyime nimwambie nipo kwenye dozi ili na yeye ajionee ni jinsi gani inaumiza
This is a bigger point . Thanks broLabda Una tatizo la harufu
Jichunguze...
Watu wenye kinyaa hisia zao zinapotea haraka Sana Kama kuna kitu kuhusu usafi au harufu kinamkwaza.... otherwise labda ana stress kubwa ya hela...
Siku moja mwekee dawa ya usingizi, akiwa usingizini geuza kalio hesabu mafinda uake kama yapo kamili kwa idadi timilifu. Hilo la msingi sana maana siku hizi wanaume wengi waliomo kwenye ndoa wamegeuzwa kuelekea ushoga hivyo kuwapa wakati mgumu wake zao.Poleni na majukumu, wiki kama mbili zimepita nilikuja kuomba ushauri kuwa mme wangu hataki tushiriki tendo la ndoa, nashukuru wote mlionishauri na kunitia moyo. Mungu awabariki sana.
Mrejesho upo hivi; baada ya kukaa naye chini kumuuliza shida ni nini ameishia kunijibu kuwa anatumia eti dozi ya kupunguza mwili akimaliza dozi mambo yatakuwa mazuri kama mwanzo.
Kiukweli bado sijaridhika na hili jibu, naona kama ni usanii vile. Hivi kuna dozi ya kupunguza mwili ambayo mtumiaji anakatazwa kufanya mapenzi na mke wake? Naona tu kama mapicha picha bado yanaendelea.
Naombeni mnisaidie, vipi kutakuwa na ukweli wowote kuhusu haya majibu yake?
Umenena vema saaanaMapenzi ni hisia,
Huyo hana feeling na wewe teba,toka usingizini,pia usije ukajiongopea kua kuchepuka ndio solution ya tatizo lako,
Yangu ni hayo tu,the rest is up to you
Ila kwakwel[emoji53][emoji45]dada achana nae me nipo teyal kukupokea hautakiwi kuteseka katika dunia ambayo unaish mara moja tu.
Nipokee nikupokee
Kwa niaba ya jukwaa naomba kuthibitisha hii kauli yako.Sina harufu Wala tatizo lolote nipo tu vizuri alafu pia hanaga kinyaa maana kipindi tunafanya kuwa alikuwa anapiga deki kila sehemu Mimi kilichobaki sahivi nahisi tu Kuna mtu kamloga maana nishajikatia tamaa
Nimekuelewa, km hujaolewa na umeyatambua hayo bas unafaa kuolewaShoga angu hapo kuna ma3 kama sio ma4
1. Yuko na penzi jipya huko nje na linafanya vizuri kwa sasa
2. Amekukinai (pengine umebweteka, umepoa, mashsham huna tena au udambu udambu hakuna )
3. Ameenza michezo mibaya (kapewa jicho huko nje )
4. Yuko na stress zake(ila sidhani[emoji28][emoji28])
Fanya kuchunguza, mtoto wa kike play smart, badilisha mbinu, au hujui power of P**sy
Ila pia mpe muda
NB: ni kwa uelewa wangu mdogo tu shoga angu me sijaolewa syajui ya ndoani[emoji28][emoji28]
Joanah njoo utoe ushauri
Ndoa sio ngumu ila umeolewa na mtu asie sahihi,sio kila Mwanaume ana sifa na uwezo wa kuwa mume na pia sio kila Mwanamke ana sifa za kuwa mkeKwakweli bado na mpaka sasa sijui ana mpango gani yani ndoa ni ngumu sana basi tu Kama ningejuaga mapema nisingeolewa
Wapumbavu hujifikirisha hivyo. Tatizo ni wewe mwenyewe. Jichunguze kauli zakoKwakweli bado na mpaka sasa sijui ana mpango gani yani ndoa ni ngumu sana basi tu Kama ningejuaga mapema nisingeolewa