MREJESHO: Simuelewi mume wangu

MREJESHO: Simuelewi mume wangu

Nimeshafanya mbinu zote ndugu yangu Ila hamna lolote Kuna wakati nawaza kalogwa bana eh! Nshajikatia tamaa mtu gani huyu Kuna siku niliamka na hasira nikataka kuondoka alichanganyikiwa kiukweli alivyosikia naondoka bahati nzuri Kuna mtu mzima aliingilia kutusuluisha nikamwelezea matatizo yang na mme wangu akiwepo uzuri yule baba ni mtu mzima Kama baba yetu akamwambia mwanangu jitahidi umridhishe mke wako usipofanya hivyo unamtengenezea mazingira ya kuanza kukusaliti alitushauri tu vitu vingi. akanambia mke wangu naomba usiondoke baada ya hapo nikajua hata tutafanya Ila wapi ana kazi tu ya kunipet pet nisiondoke inakera kwakweli Kuna muda kichwa kinajaa mawazo natamani hata nipige ukunga
Wee mkomalie bwana yaani mwambie hapa leo bila mgegedo mie naenda kutombwer nje huko. Uone kama hajakugegeda. Inabidi unadilike uwe mbogo mwanamke. Ndoa ni kugegedana bwana ndicho ulichofuata na sio chakula maana kwenu ulikuwa unakula.
 
Poleni na majukumu, wiki kama mbili zimepita nilikuja kuomba ushauri kuwa mme wangu hataki tushiriki tendo la ndoa, nashukuru wote mlionishauri na kunitia moyo. Mungu awabariki sana.

Mrejesho upo hivi; baada ya kukaa naye chini kumuuliza shida ni nini ameishia kunijibu kuwa anatumia eti dozi ya kupunguza mwili akimaliza dozi mambo yatakuwa mazuri kama mwanzo.


Kiukweli bado sijaridhika na hili jibu, naona kama ni usanii vile. Hivi kuna dozi ya kupunguza mwili ambayo mtumiaji anakatazwa kufanya mapenzi na mke wake? Naona tu kama mapicha picha bado yanaendelea.

Naombeni mnisaidie, vipi kutakuwa na ukweli wowote kuhusu haya majibu yake?
Huyo mume wako Kuna sehemu aliingia bila kondom akaambukizwa gonjwa la zinaa. Hizo dawa anazokunywa kwa kisingizio Cha kupunguza uzito Ni dawa ya gono au kaswende au UTI sugu.
Dada nikuambie ukweli tu Ni kwamba, siku hizi ukitembea na mchepuko bila Kinga, baada ya siku mbili abdala kichwa wazi ataanza kutoa discharge na ka muwasho katamu kwenye njia ya mkojo.
Mumeo amenasa hataki kukuambukiza. Anajua akikuambukisa kaswende ukigundua patachimbika bila jembe.
Vumilia akipona atapiga punyeto siku mbili tatu kujiridhisha, then he will be as good as new.
Kama unafikiri nasema urongo mwambie akupe uinyonye uone atakavyoruka hatua Mia.
 
Poleni na majukumu, wiki kama mbili zimepita nilikuja kuomba ushauri kuwa mme wangu hataki tushiriki tendo la ndoa, nashukuru wote mlionishauri na kunitia moyo. Mungu awabariki sana.

Mrejesho upo hivi; baada ya kukaa naye chini kumuuliza shida ni nini ameishia kunijibu kuwa anatumia eti dozi ya kupunguza mwili akimaliza dozi mambo yatakuwa mazuri kama mwanzo.


Kiukweli bado sijaridhika na hili jibu, naona kama ni usanii vile. Hivi kuna dozi ya kupunguza mwili ambayo mtumiaji anakatazwa kufanya mapenzi na mke wake? Naona tu kama mapicha picha bado yanaendelea.

Naombeni mnisaidie, vipi kutakuwa na ukweli wowote kuhusu haya majibu yake?
Mtafutie dawa ambayo ukimmixia kwenye msosi usiku, mnara utasoma 4g.

Utanishukuru baadae.
 
Poleni na majukumu, wiki kama mbili zimepita nilikuja kuomba ushauri kuwa mme wangu hataki tushiriki tendo la ndoa, nashukuru wote mlionishauri na kunitia moyo. Mungu awabariki sana.

Mrejesho upo hivi; baada ya kukaa naye chini kumuuliza shida ni nini ameishia kunijibu kuwa anatumia eti dozi ya kupunguza mwili akimaliza dozi mambo yatakuwa mazuri kama mwanzo.


Kiukweli bado sijaridhika na hili jibu, naona kama ni usanii vile. Hivi kuna dozi ya kupunguza mwili ambayo mtumiaji anakatazwa kufanya mapenzi na mke wake? Naona tu kama mapicha picha bado yanaendelea.

Naombeni mnisaidie, vipi kutakuwa na ukweli wowote kuhusu haya majibu yake?

Hakuna mwanaume atakayepuuza tendo la ndoa, Lazima Ana sababu, hata wahuni wakitoka nje hurudi na kulala na wake zao kwa bidii.

Yaweza kuwa sababu zifuatazo:

- He is total not in love with you, labda sababu ya wewe kubadilika ki maumbile na Mwili, labda umekuwa mnene sana na hana hisia kabisa na wewe.

2. Hakuwaga muhuni, kakutana na mwanamke ambaye kamchanganya mazima au even kumloga mpaka a naona kulala na wewe ni kama kero.

Mimi ni mwanaume, na na elewa wanaume wengi kwenye mijadala yetu, it's not normal kwa mwanaume kuacha kulala na mke wake.

Huyu jamaa asikuchoshe, maisha ndo haya haya, akizingua wewe toka nje under protocol ya siri sana, huna haja ya kufuja maisha yako.
 
Labda Una tatizo la harufu
Jichunguze...
Watu wenye kinyaa hisia zao zinapotea haraka Sana Kama kuna kitu kuhusu usafi au harufu kinamkwaza.... otherwise labda ana stress kubwa ya hela...
This is a possibility
 
Kwakweli bado na mpaka sasa sijui ana mpango gani yani ndoa ni ngumu sana basi tu Kama ningejuaga mapema nisingeolewa
Sijui kama familia yao inaexist au lah.

Ila tafuta mtu wa kumfikishia malalamiko yako huko kwenye familia yake. I'm sure mtapata ufumbuzi.

Kuchepuka won't be a solution for really. Unaweza kuishia tu kuregret mwisho wa siku.
 
Na Mimi pia nawaza hivyo pia na mpango siku ikitokea akianza kutaka na Mimi nimnyime nimwambie nipo kwenye dozi ili na yeye ajionee ni jinsi gani inaumiza
Kuwa makini sana na maamuzi unayotaka kufanya.
 
Labda Una tatizo la harufu
Jichunguze...
Watu wenye kinyaa hisia zao zinapotea haraka Sana Kama kuna kitu kuhusu usafi au harufu kinamkwaza.... otherwise labda ana stress kubwa ya hela...
This is a bigger point . Thanks bro
 
Poleni na majukumu, wiki kama mbili zimepita nilikuja kuomba ushauri kuwa mme wangu hataki tushiriki tendo la ndoa, nashukuru wote mlionishauri na kunitia moyo. Mungu awabariki sana.

Mrejesho upo hivi; baada ya kukaa naye chini kumuuliza shida ni nini ameishia kunijibu kuwa anatumia eti dozi ya kupunguza mwili akimaliza dozi mambo yatakuwa mazuri kama mwanzo.


Kiukweli bado sijaridhika na hili jibu, naona kama ni usanii vile. Hivi kuna dozi ya kupunguza mwili ambayo mtumiaji anakatazwa kufanya mapenzi na mke wake? Naona tu kama mapicha picha bado yanaendelea.

Naombeni mnisaidie, vipi kutakuwa na ukweli wowote kuhusu haya majibu yake?
Siku moja mwekee dawa ya usingizi, akiwa usingizini geuza kalio hesabu mafinda uake kama yapo kamili kwa idadi timilifu. Hilo la msingi sana maana siku hizi wanaume wengi waliomo kwenye ndoa wamegeuzwa kuelekea ushoga hivyo kuwapa wakati mgumu wake zao.

Jambo la pili kama yupo bien na hataki kamnyoso, watafute wakwe waelezee tatizo, suluhu itapatikana
 
Sina harufu Wala tatizo lolote nipo tu vizuri alafu pia hanaga kinyaa maana kipindi tunafanya kuwa alikuwa anapiga deki kila sehemu Mimi kilichobaki sahivi nahisi tu Kuna mtu kamloga maana nishajikatia tamaa
Kwa niaba ya jukwaa naomba kuthibitisha hii kauli yako.

Wengi hawajaamini. Let me be
 
Shoga angu hapo kuna ma3 kama sio ma4
1. Yuko na penzi jipya huko nje na linafanya vizuri kwa sasa
2. Amekukinai (pengine umebweteka, umepoa, mashsham huna tena au udambu udambu hakuna )

3. Ameenza michezo mibaya (kapewa jicho huko nje )
4. Yuko na stress zake(ila sidhani[emoji28][emoji28])
Fanya kuchunguza, mtoto wa kike play smart, badilisha mbinu, au hujui power of P**sy
Ila pia mpe muda


NB: ni kwa uelewa wangu mdogo tu shoga angu me sijaolewa syajui ya ndoani[emoji28][emoji28]

Joanah njoo utoe ushauri
Nimekuelewa, km hujaolewa na umeyatambua hayo bas unafaa kuolewa
 
Kwakweli bado na mpaka sasa sijui ana mpango gani yani ndoa ni ngumu sana basi tu Kama ningejuaga mapema nisingeolewa
Wapumbavu hujifikirisha hivyo. Tatizo ni wewe mwenyewe. Jichunguze kauli zako
Kauli hii, inaonyesha negativity , huyo mwanaume ana receive negative charge kila wakati toka kwako. Hawezi Fanya mapezi kukiwa na negative charge.
Ili faru John aamuke usingizini sharti apate positive
 
Back
Top Bottom